Kwanini G-NAKO hajawahi kutoa HITSONG?

Write your reply... RIGHT HERE feat chindo man umbaxx sio hit song? au umemjulia weusi?
 
Hitsong wala hauitaji kuingia youtube uijue! Hitsong ni utaijua tu hata kama sio msikilizaji wa music.
Ipi kati ya hizo ina sifa ya kuitwa hitsong?
Mzee ulichoandika hapa ni ukweli mtupu, v money, jux, g nako hawana hit song hata Mona ila wana nyimbo nzuri baadhi na sio hit
 

Umemaliza mkuu! Hitsong haiihitaji kuitafuta kweny mitandao, ni utaijua tu taka usitake
 
Wakuu warawara anazo hit zake
Ila kama mnataka ziwe hit kama kwangwaru basi hakuna msanii weusi mwenye hit
 
mwenye suti ya maroon ndo G NAKO....ana swag ana flow Kali....anabadilika kwenye kila ngoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…