Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ngoja tuoneNa leo mama yake lazima atalia tena, dogo hana njia ya kuepuka kipigo
Pambano gumu sana.Na leo mama yake lazima atalia tena, dogo hana njia ya kuepuka kipigo
Ila Hyo Dogo Kalegea Mno.Pambano gumu sana.
Si mbongo 😂 na anadundwaIla Hyo Dogo Kalegea Mno.
.
Ila watangazi Wa Azam si wanapashwa Kuwa Natural Kwa Nini wanaonekana Wako Kwa Tony Pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tonny anacheza na mtaalamu sana wa huu mchezo, jamaa ameingia huku anajua nini anachokifanya hana papara amerelax, benchi letu la ufundi lilitarajia Bongan angecheza mchezo waliomuona nao pambano la kwanza lakini jamaa kawabadilishia gia angani...... Tuendelee kuangaliaPambano gumu sana.
Huyu Dogo Tony anatakiwa apate elimu ya ngumi kutoka kwa makocha zaidi ya mmoja.Tonny anacheza na mtaalamu sana wa huu mchezo, jamaa ameingia huku anajua nini anachokifanya hana papara amerelax, benchi letu la ufundi lilitarajia Bongan angecheza mchezo waliomuona nao pambano la kwanza lakini jamaa kawabadilishia gia angani...... Tuendelee kuangalia
Tonny anacheza na mtaalamu sana wa huu mchezo, jamaa ameingia huku anajua nini anachokifanya hana papara amerelax, benchi letu la ufundi lilitarajia Bongan angecheza mchezo waliomuona nao pambano la kwanza lakini jamaa kawabadilishia gia angani...... Tuendelee kuangal
Mpaka sasa Tony amepigwa rounds zote ngoja tuone hii round ya 11 atafanya nini.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwishoni mwa raundi ya 10 Bongan amesukuma mashambulizi ya kikatili sana, kingine hawa watangazaji wanakera "AMBAKATI" ndio nini sasa wanashindwa nini kusema UPERCUT
Ikiisha salama hii round ya mwisho, ili kuondoa aibu kwa Taifa Tonny atapewa ushindi wa point
Round ya ngapi saivi?Ikiisha salama hii round ya mwisho, ili kuondoa aibu kwa Taifa Tonny atapewa ushindi wa point
Pambano limeshaisha.Round ya ngapi saivi?
Tony amepigwa sana.