Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu kijana alidundwa nchini Tanzania , sasa nashangaa tena eti Re match inapigwa tena Tanzania ! kwani mpinzani wake hana nchi ?
Au ni lazima tuvunje mayai njia panda ili tushinde ?
Jifunzeni kuwaandaa mabondia wenu kucheza ugenini , kila siku siyo jumapili , unaweza kudundwa hata mara kadhaa kwenu , Acholile Kachora .
Au ni lazima tuvunje mayai njia panda ili tushinde ?
Jifunzeni kuwaandaa mabondia wenu kucheza ugenini , kila siku siyo jumapili , unaweza kudundwa hata mara kadhaa kwenu , Acholile Kachora .