Kwanini gari aina ya Nissan X-trial used zinauzwa cheep sana?

Kwanini gari aina ya Nissan X-trial used zinauzwa cheep sana?

Kunae baba yangu mdogo yeye ni mjeda gari yake ya kwanza aliagiza x-trail ile gen ya kwanza kama hio aliopost mtoa mada. Akatembelea akauza enzi ile alisajili namba B akaja akaagiza hili la 2009 DQ analo mpaka sasa ila nilichojifunza tu ni kuwa ana hela ya kuyahudumia hayo magari na alimu influence dingi yangu mkubwa akayanunua mawili nae ana la namba B na jingine D aliyapenda sana japo ni mtu wa Toyota toka 90's! Alianzaga na Nissan Terrano box Air suspension akalizimia sana. Spare ndio zilikuwa kipengele ila hela ipo so anayamudu.

Wote wawili hawa hela sio tatizo kwao kwahio kimsingi Nissan hizo zinatusumbua wadau ambao hatuna hela ya ku upkeep costs of running sababu ziko juu sana. Tunataka counterfeit parts za bei kitonga, fluids za bei rahisi kinyume na manufacturer standards kitu ambacho gari pekee inayoweza kuvumilia hilo ni Toyota.
"
kimsingi Nissan hizo zinatusumbua wadau ambao hatuna hela ya ku upkeep costs of running sababu ziko juu sana. Tunataka counterfeit parts za bei kitonga, fluids za bei rahisi kinyume na manufacturer standards kitu ambacho gari pekee inayoweza kuvumilia hilo ni Toyota."

😄😄😄😄 Naaam sasa hapo ndipo kiini chenyewe Cha tatizo kilipo mkuu 😄😄
 
"
kimsingi Nissan hizo zinatusumbua wadau ambao hatuna hela ya ku upkeep costs of running sababu ziko juu sana. Tunataka counterfeit parts za bei kitonga, fluids za bei rahisi kinyume na manufacturer standards kitu ambacho gari pekee inayoweza kuvumilia hilo ni Toyota."

😄😄😄😄 Naaam sasa hapo ndipo kiini chenyewe Cha tatizo kilipo mkuu 😄😄
Yah kwahio tatizo sio gari tatizo ni hela tu mkuu, hata hizi za wajerumani naona watu wanaendesha tu sikuhizi bila kujali. Ni gari nzuri sana japo upkeep costs zake ziko juu ila kama million 2-3 hazisumbui huezi kuona kero kumiliki audi au benz.
 
Hii gari imefeli mno kwenye majaribio ya kiajali, body frame yake ni karatasi, it's not a safe car hasa kubebea family. Kama fedha sio tatizo nenda na Toyota
Uongo huo mzee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kwenye ulazima wa ku change oil kila km 3000 bado pia ni kasoro,usiitetee kuwa ni gari nzuri,ukiwa na Toyota ambayo unatakiwa uchange engine oil km 3000 unaweza kujisahau ukafikisha mpaka km 5000 na bado gari ina dunda,sasa kwanini uing'ang'anie hiyo Nissan...
Huyo ameongelea kwa preference zake ila si mandatory kwamba unatakiwa ubadili oil after every 3000km.

Kuna engine oil ambazo zinalast zaidi ya muda huo.
 
Nissan X trail ni slay queen unataliwa kila muda unampeti peti akililia pipi unatakiwa kuwa na box tofauti na happy unatakiwa kumukimbia tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wakati unawaza kuulinda mfumo wa CVT transmission Kwa kutumia oil iliyokuwa unatakiwa na manufacturers pia bei ya spea iko juuu pia mafundi sio wa chini ya mti
Inategemea na X trail ipi. Sababu si zote zinatumia mfumo wa CVT.
 
Hapo kwenye ulazima wa ku change oil kila km 3000 bado pia ni kasoro,usiitetee kuwa ni gari nzuri,ukiwa na Toyota ambayo unatakiwa uchange engine oil km 3000 unaweza kujisahau ukafikisha mpaka km 5000 na bado gari ina dunda,sasa kwanini uing'ang'anie hiyo Nissan...
"Kujisahau"

Kwanini ujisahaulishe jambo la msingi kama hili?

Au ni uwezo hakuna?
 
Nyingine iyo namba C
Screenshot_20220620-181454.jpg
 
Mimi nadhani mahitaji ya aina ya Gari huathiriwa na tabia au utamaduni tu wa Jamii au taifa husika...mengine huwa ni uvumi tu unaenezwa.

Na kwa vyovyote brand ambayo haina Watumiaji wengi sehemu husika lazima na ufundi na spare zitakuwa shida kwani Wauzaji wana dili na bidhaa zenye Watumiaji wengi.
Wanasema utamu WA ngoma ingia ucheze
 
Back
Top Bottom