new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Dah....Hapo kwenye ulazima wa ku change oil kila km 3000 bado pia ni kasoro,usiitetee kuwa ni gari nzuri,ukiwa na Toyota ambayo unatakiwa uchange engine oil km 3000 unaweza kujisahau ukafikisha mpaka km 5000 na bado gari ina dunda,sasa kwanini uing'ang'anie hiyo Nissan...
Km3000 ni preventive tu mkuu you can go hata 10,000km interval ili mradi engine haichomi oil, but that will be at the expense of your car's engine life.