new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Dah....Hapo kwenye ulazima wa ku change oil kila km 3000 bado pia ni kasoro,usiitetee kuwa ni gari nzuri,ukiwa na Toyota ambayo unatakiwa uchange engine oil km 3000 unaweza kujisahau ukafikisha mpaka km 5000 na bado gari ina dunda,sasa kwanini uing'ang'anie hiyo Nissan...
Nissan xtrail ya kwanza haitumii cvt gear box, ila hizi za sasa ndo zinakuja na gearbox ya cvt, ambapo kuna zinatumia NS-2 or NS-3 transmission fluid, ila Nissan xtrail ya kwanza inatumia matic J fluid.Nissan X trail ni slay queen unataliwa kila muda unampeti peti akililia pipi unatakiwa kuwa na box tofauti na happy unatakiwa kumukimbia tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wakati unawaza kuulinda mfumo wa CVT transmission Kwa kutumia oil iliyokuwa unatakiwa na manufacturers pia bei ya spea iko juuu pia mafundi sio wa chini ya mti
Hahahahah komaa ligi ya pekeakoNimejitoa kwenye mashindano ya Toyota na Nissan nipo na ISUZU Bighorn na pia Vitara
Bighorn je?Zina demand ndogo sana kwenye soko la second hand cars kwa Tanzania kwa sababu inaaminika kuwa ni mabovu (mafundi watakwambia ni mabovu sana, na watu wengi watakwambia hivyo). Pia, spare zake ni bei ya juu kuliko spare ya Toyota. Tatu, hizi gari mafundi wanaoziwezea wako wachache ukilinganisha na gari za Toyota, hivyo ikizingua unaweza ukahangaika sana na labda usipate kabisa fundi atakaemaliza tatizo lako, au ukapata fundi wakiwa wameshaliharibu sana. Sababu hizo hufanya demand yake kuwa ndogo sana, hivyo kusababisha bei yake kuwa chini sana zinapouzwa mkononi.