Kwanini gari aina ya Nissan X-trial used zinauzwa cheep sana?

Dah....

Km3000 ni preventive tu mkuu you can go hata 10,000km interval ili mradi engine haichomi oil, but that will be at the expense of your car's engine life.
 
Nissan xtrail ya kwanza haitumii cvt gear box, ila hizi za sasa ndo zinakuja na gearbox ya cvt, ambapo kuna zinatumia NS-2 or NS-3 transmission fluid, ila Nissan xtrail ya kwanza inatumia matic J fluid.
 
Binafsi nina marafiki wachache wanapenda sana hizi gari..japo kuzielewa why ukiuza haziuziki bado sijajua---kwenye soko la compact SUV's--nyingi ni ghali sana kama zikiwa na 4X4--Xtrail ina 4X4 nzuri tu--na kuwa na plastiki ndani inaosheka vizuri kama una shughuli za kuchafua gari.Labda ni mafundi wanaoharibu hii biashara,
 
Bighorn je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…