Kwanini hadi leo NATO na Israel haijangia kwa miguu gaza?

Kwanini hadi leo NATO na Israel haijangia kwa miguu gaza?

Sasa mbona mnakuja kulia lia mitandaoni kutafuta huruma ya dunia na waislamu wanaandamana nini?kama mnayaweza

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
maandamano maandamano kitu gani.
Tazama maandamano haya Tel aviv bendera ni mbili tu za Israel na za waxenge,👇soma mabango hayo.

images (7).jpeg
 
Na kabla sijakaa sawa Makonda akalamba uteuzi.Ama kweli jana nimeteseka sana ndugu yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
serikali ina watu wa kupanga matukio yani😅,wakati watu wamebebwa na upepo wa Simba na Al ahly,kabla apajapoa wakasaini mkataba wa bandari,,mjadala wa kusaini kabla aujachanganya wakamtupia Makonda.vichwa vinauma mno yani😅😂
 
Mohammed hapo hapo ni mtume, hapo hapo ni amiri jeshi mkuu, anahubiri saa ngapi?, mbona unadharirisha mtume wenu?
 
Du mtoa mada unamanisha ukipigwa unaonewa na ukiachwa unaogopwa.
 
Mohammed hapo hapo ni mtume, hapo hapo ni amiri jeshi mkuu, anahuviri saa ngapi?, mbona unadharirisha mtume wenu?
Mtume saw alipigana vita pindi vita vilipokuja,hakuwa kiongozi wa kukaa ikulu na kupiganisha wengine
 
Sasa mnatupigia makelele ya nini na kutuonyesha maiti za watoto mnaowatumia kama kinga mnapotandikwa nyie HAMAS.Kumbe mnastahili kabisa hiki kipigo ili muendelee kuanika maiti za watoto hovyo mitandaoni kwakuwa mnadhani hiyo ndiyo propaganda inayowasaidia.Kufeni kabisa kama nzinge.
Israel anaua raia kujipunguzia hasira ya kushindwa kwake.
Ila kiutafiti inaonesha maroketi ya Hamas yanarushwa mbali ni maeneo ya raia na tangu mashambulizi ya anga yafanywe hakuna maiti ya askari was Hamas iliyookotwa.
HIVYO ILAUMU ISRAEL KWA KUWA NA INTELIJENSIA ILIYOFELI
 
Tunaisafisha Gaza yote, tunaondoa uchafu wote na kuirudisha kwa Taifa la 🇮🇱.

God Bless Israel

🇮🇱🇮🇱🇮🇱
 
Israel hawezi kuingia Gaza kama anaenda mbugani kuangalia wanyama.. Jeshi la kizayuni linajua Ili kuishinda HAMAS lazima wapoteze wanajeshi wengi zaidi ya Hawa waliopoteza maisha hivi majuzi...
 
Wanawashughulikia kwanza angani kisha wanaingia kwa ground baadae hamas na magaidi wenzake wakishatepeta
Hakuna nchi inashinda vita kwa anga lazima waingize miguu yao chini.

Hebu piga hesabu boom moja la us linalo tumika kuangusha majumba ya Ghaza hata liwe ghorofa 12 lina cost ngapi.

Missile moja ya Hamasi haicost hata 1000 dollars Irone dom ina cost moja 100,000

Umeona majumba ya Asqalan, ghalaf gaza,Sedod, na Beir 7 au hujasikia habari zake.

Umeona sehemu Missiles za Hamasi zilivyo vuruga Tela Aviv au hujaona.

We unajua cost ya ndege za kivita kwa siku zina cost kiasi gani ku operate, navy na ground force.

Hivi hao ground force chakula Chao tu kwa siku unajua inawagharamia ngapi, na ulinzi wao 😂 vita inataka akili sio kelele kwenye media.


Poleni sana zile kambi za jeshi na base zilizo pigwa sijui zitawagharamia mabillion mangapi America peleka tu pesa kama hatujaona wa America wapo mpagala wanauza samaki wa kuchoma 😂
 
NATO na Wanamgambo wa Israel Wanaogopa kipigo cha mbwa mwizi
Umeibuka mrusi wa Iguguno🤣🤣Hivi NATO walikufanya Nini??ila mshkaji wangu kila upande unaokuaga mnakula kichapo kikali,kwanini unapenda sana kuwa pande za kumshindwashindwa kila siku?
 
Umeibuka mrusi wa Iguguno[emoji1787][emoji1787]Hivi NATO walikufanya Nini??ila mshkaji wangu kila upande unaokuaga mnakula kichapo kikali,kwanini unapenda sana kuwa pande za kumshindwashindwa kila siku?
Haha haha alisikika mwakilishi wa Wanamgambo wa Ukraine toka Namabengo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... sababu sifati mkumbo nafata reality
 
Haha haha alisikika mwakilishi wa Wanamgambo wa Ukraine toka Namabengo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... sababu sifati mkumbo nafata reality
🤣🤣🤣🤣Kwa Nini Namabengo lakini??poleni sana kipigo ni kikali
 
Uzi ulikuwa una hoja na mantiki nzuri ,ulipoingiza mambo yako kidini ya upumbavu upumbavu na ujinga umeuharibu.

Kwani Waafrika mna utahira na laana gani,kwa nini mnaziabudu dini za wenzenu mpaka zinawatoa mishapa.
 
Ukweli wa haki wanaogopa,mtu kaja kwako kakuchapa alafu kabeba mkeo na mabinti zako kaenda kuwapiga miti usiku kucha, vipi huyo mtu ukikanyaga kwake?.

Intarahamwe hawaapa wana patrol Gaza.
👇
View attachment 2789966
Wana ubavu wa ku patrol gaza kwa sasa?!! Hahaaa ila kama ni kipondo kinatolewa!! Leo tu wapalestina 436 wameuawa, na KAMANDA WA IDF, anasema sasa ndio wanajiandaa kwa vita!! Yaaani watu zaidi ya 5000 wameshauawa, bado jamaa ndio linasema kuwa vita ndio inaenda kuanza?!!! Ila mijaa ni mikatilii balaaa pale unapoyachokoza!!! Kule Lebanon nako kimeshawaka,
 
Back
Top Bottom