Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
maandamano maandamano kitu gani.Sasa mbona mnakuja kulia lia mitandaoni kutafuta huruma ya dunia na waislamu wanaandamana nini?kama mnayaweza
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
serikali ina watu wa kupanga matukio yani😅,wakati watu wamebebwa na upepo wa Simba na Al ahly,kabla apajapoa wakasaini mkataba wa bandari,,mjadala wa kusaini kabla aujachanganya wakamtupia Makonda.vichwa vinauma mno yani😅😂Na kabla sijakaa sawa Makonda akalamba uteuzi.Ama kweli jana nimeteseka sana ndugu yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
TakbiiiiirrUkweli wa haki wanaogopa,mtu kaja kwako kakuchapa alafu kabeba mkeo na mabinti zako kaenda kuwapiga miti usiku kucha, vipi huyo mtu ukikanyaga kwake?.
Intarahamwe hawaapa wana patrol Gaza.
👇
View attachment 2789966
Kwa hiyo hamas walitumwa na allah kwenda kuwachapa Israeli kisha kuchukua mabinti Saa 6 na kuwabaka?!nakuchapa kwenu kisha nabeba mabinti chuchu saa sita nawapeleka geto.icho ndio walichofanya Hamas
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanasawazisha magorofa ya Gaza kwanza ili wadunguaji wa Hamas wakose pakukaa waonekane kwenye vifusi ndio ground force wanaingia na kupambana vizuri na Hamas
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Wakishaingia mnaanza kulialia Tena humu. Hata hamueleweki wavaa kobazi
Mtume saw alipigana vita pindi vita vilipokuja,hakuwa kiongozi wa kukaa ikulu na kupiganisha wengineMohammed hapo hapo ni mtume, hapo hapo ni amiri jeshi mkuu, anahuviri saa ngapi?, mbona unadharirisha mtume wenu?
Israel anaua raia kujipunguzia hasira ya kushindwa kwake.Sasa mnatupigia makelele ya nini na kutuonyesha maiti za watoto mnaowatumia kama kinga mnapotandikwa nyie HAMAS.Kumbe mnastahili kabisa hiki kipigo ili muendelee kuanika maiti za watoto hovyo mitandaoni kwakuwa mnadhani hiyo ndiyo propaganda inayowasaidia.Kufeni kabisa kama nzinge.
Hakuna nchi inashinda vita kwa anga lazima waingize miguu yao chini.Wanawashughulikia kwanza angani kisha wanaingia kwa ground baadae hamas na magaidi wenzake wakishatepeta
NATO na Wanamgambo wa Israel Wanaogopa kipigo cha mbwa mwiziAcha ujinga,kuingia Kwa miguu kufanya Nini kama unaweza kuwashughulikia huku unakunywa gahawa?
Umeibuka mrusi wa Iguguno🤣🤣Hivi NATO walikufanya Nini??ila mshkaji wangu kila upande unaokuaga mnakula kichapo kikali,kwanini unapenda sana kuwa pande za kumshindwashindwa kila siku?NATO na Wanamgambo wa Israel Wanaogopa kipigo cha mbwa mwizi
Haha haha alisikika mwakilishi wa Wanamgambo wa Ukraine toka Namabengo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... sababu sifati mkumbo nafata realityUmeibuka mrusi wa Iguguno[emoji1787][emoji1787]Hivi NATO walikufanya Nini??ila mshkaji wangu kila upande unaokuaga mnakula kichapo kikali,kwanini unapenda sana kuwa pande za kumshindwashindwa kila siku?
🤣🤣🤣🤣Kwa Nini Namabengo lakini??poleni sana kipigo ni kikaliHaha haha alisikika mwakilishi wa Wanamgambo wa Ukraine toka Namabengo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... sababu sifati mkumbo nafata reality
Wana ubavu wa ku patrol gaza kwa sasa?!! Hahaaa ila kama ni kipondo kinatolewa!! Leo tu wapalestina 436 wameuawa, na KAMANDA WA IDF, anasema sasa ndio wanajiandaa kwa vita!! Yaaani watu zaidi ya 5000 wameshauawa, bado jamaa ndio linasema kuwa vita ndio inaenda kuanza?!!! Ila mijaa ni mikatilii balaaa pale unapoyachokoza!!! Kule Lebanon nako kimeshawaka,Ukweli wa haki wanaogopa,mtu kaja kwako kakuchapa alafu kabeba mkeo na mabinti zako kaenda kuwapiga miti usiku kucha, vipi huyo mtu ukikanyaga kwake?.
Intarahamwe hawaapa wana patrol Gaza.
👇
View attachment 2789966