Kwanini hadi leo NATO na Israel haijangia kwa miguu gaza?

nakuchapa kwenu kisha nabeba mabinti chuchu saa sita nawapeleka geto.icho ndio walichofanya Hamas
Mawazo ya kipumbavu sana haya!! Yaani kama Israel wangekuwa na akili kama hizi, hata wangetaka wana wake wote wa Gaza wangewachukua na kuwafanyia hivyo!! Ila wao wameamua kutoa kipondo tu, hadi akili zamu hii ziwakae sawa, na NETANYAHU amewaambia zamu hii anataka awaachie fundisho hadi wajukuu zenu wasije thubutu kufanya ujinga huu tena!! Leo hii karibia watu 5500(Wapalestina) wameuawa, na kwanza vita haijaanza rasmi!!
 
Sawa we enedelea kuchekelea nyuma ya keyboard ila ujue wenzako wanachukua kipigo hapa Gaza
 
Mtume saw alipigana vita pindi vita vilipokuja,hakuwa kiongozi wa kukaa ikulu na kupiganisha wengine
Mtume wa Mungu anatakiwa awe matumaini kwa wanadamu na sio kushiriki kumwaga damu. Kama kweli ni mtume hiyo vita aikabidhi kwa Mungu
 
Ni suala la muda tu uvamizi upo pale pale kwa njia zote kuanzia Angani, baharini na ardhini mpaka magaidi yote ya sambaratishwe gaza
 
Mtume wa Mungu anatakiwa awe matumaini kwa wanadamu na sio kushiriki kumwaga damu. Kama kweli ni mtume hiyo vita aikabidhi kwa Mungu
Hivi binadamu anaweza himili hasira na ghadhabu ya Mungu??
Pia mtume anatakiwa kuwa tumaini kwa wale wenye kuamini na sio kuwachekea wale wanaokandamiza watu na kusudi la Mungu.
Vita zote alizopigana mtume ni za kutetea watu dhidi ya ukandamizaji wa wengine.
Utakua muumini wa aina Gani kama huwezi kulinda amana ya Mungu??
Mungu ni mkubwa sana kwetu kumkabidhi vita zetu.
 
ona sasa yale yale tunayo ya kataa ya hadithi za kusadikika na kulishana matango pole...enhee kwa hiyo MUNGU alituma jeshi la malaika siyoo! ulishuhudia kwa macho yako?
 
Hiyo inahusiana nini na mada??
Kitu gani unajaribu kukilenga au kukifafanua??
Sawa waarabu mashoga wapo aya unalenga Nini??
Bwana mdogo kuwa na mipaka unapojibishana na kuniuliza uliza maswali hovyo hovyo. Kwanza kiumri nimekuzidi, kifedha nimekuzidi, kielimu nimekuzidi na exposure pia.

Sipendi upuuz . I demand an apology NOW.

Sauh'waah?!
 
kwaiyo vita ya ardhini ndo maraika wanaweza kuingiia ila ya angani awawez....kweli Africa kunatatizo😄😄
 
Bwana mdogo kuwa na mipaka unapojibishana na kuniuliza uliza maswali hovyo hovyo. Kwanza kiumri nimekuzidi, kifedha nimekuzidi, kielimu nimekuzidi na exposure pia.

Sipendi upuuz . I demand an apology NOW.

Sauh'waah?!
WE NI MPUMBAVU USIEJIELEWA.
NA MPUMBAVU HUJIBIWA KWA UPUMBAVU.
PIA MWENYE PESA HAJITAMBI KIJANA.
 
Bwana mdogo kuwa na mipaka unapojibishana na kuniuliza uliza maswali hovyo hovyo. Kwanza kiumri nimekuzidi, kifedha nimekuzidi, kielimu nimekuzidi na exposure pia.

Sipendi upuuz . I demand an apology NOW.

Sauh'waah?!
Una hela gani ww mbeba box na machamba mavi ya mabibi wa kizungu?😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Kuna haja Gani ya kupoteza Risasi wakati SIEGE INATOSHA! [emoji38][emoji38][emoji38]
mwanadamu Akikosa Kabisa Kabisa Maji, chakula, mwanga, Dawa...Akiishi zaidi ya siku.7 Kuna hoja Kwa Waumini[emoji15]
Unajidanganya sana wewe. Eti wafe kwa njaa, hawakufa afaghanistan miaka 15. Waislam sii wa kufa na njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…