secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Msaliti gani mnalipa laki7 nyinyi wahuni!!Manara ni msaliti amekamatwa na Barbara🤣🤸🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaliti gani mnalipa laki7 nyinyi wahuni!!Manara ni msaliti amekamatwa na Barbara🤣🤸🐒
Sportpesa siyo kampuni ya Tarimba, yeye pale kaajiliwaMbona Tarimba mwana yanga kindaki ndaki na kampuni yake wanaidhamini simba.
Ni mkataba aliosaini kwa hiariMsaliti gani mnalipa laki7 nyinyi wahuni!!
Mbona Tarimba mwana yanga kindaki ndaki na kampuni yake wanaidhamini simba.
Haji amewashawishi GSM na Azam kuwa yeye ana watu kwa kuwaonyesha account ya Instagram kuwa Ina followers wengi, na hiyo ni kweli kwakuwa account ya Haji wapo wa Simba na hata wa Yanga wanaokwenda ama kumsikikiza au kumwambia, kumjibu na kumkosoa.Kwani maji ya Mo yana mkataba na Simba, anachokosea Haji Manara ni kushindwa kutofautisha ajira yake na mikataba yake binafsi. Bakhresa na Gsm wanatamani kutangaza bidhaa zao kupitia washabiki wa Simba lakini wanajua itakuwa vigumu kupata hiyo nafasi
Bakhresa sababu mwekezaji wa Simba ana bidhaa shindani dhidi yake wakati Gsm anajulikana ni mshabiki na mfadhili wa yanga walichofanya ni kumtumia Haji ama kwa kujua au bila kujijua.
Mfano halisi ni siku Simba wanapokea kombe baada ya mechi na Namungo badala ya Haji kuizungumuzia Simba anaanza kupromot bidhaa za Azam.
Haji akifukuzwa au kujitoa Simba dili zote zitakufa maana walengwa watakuwa hawapatikani na ndio maana alikuwa na kiburi cha kukataa kusaini mkataba wa mshahara wa milioni 4akijua fika atakosa malupulupu mengine.
Kipindi kile anapelekwe Spain wakati kaajiliwa alichukua likizo au alikuwa akitumikia mabwana wawiwi.
Circle ipo hivi...
MO anaweka pesa Simba, Simba inaperform vizuri kutokana na hela za MO inakuwa timu maarufu.
Manara anapata umaarufu kutokana na simba inayoperform vizuri ( chanzo ni hela za MO), anautumia huo umaarufu kutangaza bidhaa za GSM na Azam, hivyo hela za MO zinasaidia kutangaza bidhaa za GSM na Azam kwa mlango wa nyuma.
Ni zwazwa tu atakubali hili swala.
Tarimba sio kiongozi Yanga, kama akiwania uongozi Yanga huo mgongano wa maslahi utamwandama. Akitaka agombee TFF lakini sio Yanga, labda kama atajiuzulu ukurugenzi wa Sportpesa na kumkabidhi mwanawe au mtu mwingine kama alivyofanya Trump alipochaguliwa kuwa RaisMbona Tarimba mwana yanga kindaki ndaki na kampuni yake wanaidhamini simba.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Barbara mtoto wa mjiniManara ni msaliti amekamatwa na Barbara🤣🤸🐒
Hiki ndicho kinachomuuma Barbara na pengine Mo na friends of Simba wote na sio kuihujumu Simba kwa kutoa Siri za club, kwa vyovyote vile Haji hawezi kukubali Simba ifungwe kupitia yeye, lakini anaihujumu timu kwa kupunguza mapato ya mo anaeigharimia mishahara ya wachezaji kwa kutangaza maji na juice za Azam na ASAS badala ya kutangaza maji ya masafi, mo juice na energy ambazo ni bidhaa shindani sokoni.Circle ipo hivi...
MO anaweka pesa Simba, Simba inaperform vizuri kutokana na hela za MO inakuwa timu maarufu.
Manara anapata umaarufu kutokana na simba inayoperform vizuri ( chanzo ni hela za MO), anautumia huo umaarufu kutangaza bidhaa za GSM na Azam, hivyo hela za MO zinasaidia kutangaza bidhaa za GSM na Azam kwa mlango wa nyuma.
Ni zwazwa tu atakubali hili swala.
Umeiweka sawasaw hili wachambuzi wengi hawalioni hiliCircle ipo hivi...
MO anaweka pesa Simba, Simba inaperform vizuri kutokana na hela za MO inakuwa timu maarufu.
Manara anapata umaarufu kutokana na simba inayoperform vizuri ( chanzo ni hela za MO), anautumia huo umaarufu kutangaza bidhaa za GSM na Azam, hivyo hela za MO zinasaidia kutangaza bidhaa za GSM na Azam kwa mlango wa nyuma.
Ni zwazwa tu atakubali hili swala.
Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"
Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.
Hii imekaaje kikanuni?
ninavyofahamu mimi mkataba wa NIKE na barca unaanzia juu unaishia kwenye soski, ADIDAS wanahusika kwenye viatu tuNike wana mkataba wa kutengeneza jezi na barcelona lakini lionel messi ana mkataba binafsi na adidas kama nitakuwa sahihi.
Kuna sehemu yoyote simba wamemlaumu haji kwa kutangaza hizo bidhaa? Simba wanamtuhumu haji kuihujumu timuKuna kitu kinaitwa "conflict of interest"
Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.
Hii imekaaje kikanuni?
Si alipewa mkataba wa milioni 4....akang'ang'ania hiyo hiyo "seven hundred" ili ale vinono vya GSM, msaliti ni msaliti tu...kakutana na Barbra mtoto wa mjini aliyeenda shule...kaanza kulia lia kwenye voice note🐒🤣Msaliti gani mnalipa laki7 nyinyi wahuni!!
Barbara ni mtoto wa mjini aliyeenda shule...Manara na mikwara yote kaishia kujirekodi mwenye simu analia ili wamuonee huruma😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Barbara mtoto wa mjini
Si alipewa mkataba wa milioni 4....akang'ang'ania hiyo hiyo "seven hundred" ili ale vinono vya GSM, msaliti ni msaliti tu...kakutana na Barbra mtoto wa mjini aliyeenda shule...kaanza kulia lia kwenye voice note[emoji205][emoji1787]![]()
View attachment 1866206
Ni njaa TU, lakini Haji anafanana na Yanga zaidi kuliko Simba. Hakuna kitu kibaya kama unazaliwa TU Cha kwanza kuona ni jeez ya baba yako ya rangi ya njano na kijani. Ina maana Haji alianza lini kuichukia Yanga, maana yake kumchukia baba yake mzazi uwanjani na nyumbani?Barbra mtata sana kamfinya manara kidogo tu jamas kapiga ukunga huo
Jamani sio kwenye msiba hapa. Haji anamfahamu Gharib zaidi kuliko mo,Yuko karibu na Gharib zaidi kuliko mo, alimfahamu Gharib zamani kuliko mo.Si alipewa mkataba wa milioni 4....akang'ang'ania hiyo hiyo "seven hundred" ili ale vinono vya GSM, msaliti ni msaliti tu...kakutana na Barbra mtoto wa mjini aliyeenda shule...kaanza kulia lia kwenye voice note🐒🤣![]()
View attachment 1866206
Na hata Yanga anaifahamu kuliko Simba, yupo karibu zaidi na Yanga kuliko Simba ndio maana ni rahisi kuisaliti Simba kwa ajili ya Yanga🤣Jamani sio kwenye msiba hapa. Haji anamfahamu Gharib zaidi kuliko mo,Yuko karibu na Gharib zaidi kuliko mo, alimfahamu Gharib zamani kuliko mo.