Kwanini Haji Manara anatangaza maji ya Uhai ya Azam badala ya maji ya Masafi ya Mo?

Kwanini Haji Manara anatangaza maji ya Uhai ya Azam badala ya maji ya Masafi ya Mo?

Una maanisha nini? Kama timu unayoifanyia kazi bosi wake ni mo kipi wewe mo asiwe boss wako. Kama A=B na B=C kwanini A isiwe sawa sawa na C pia?

Asikudanganye mtu mashabiki wa Simba wanakuja uwanjani kwakuwa Simba inashinda mechi zake. Timu inashinda kwakuwa Ina wachezaji wazuri na wachezaji wazuri nacheza vizuri kwakuwa wamelipwa na anaewalipa ni mo, na mo anapata pesa za kuwalipa wachezaji wazuri kutokana na kuuza maji ya masafi, na Haji anauza maji ya Uhai ya Azam sokoni ili mo asipate hela za kuwalipa vizuri wachezaji. Kwa hili Haji ni msaliti wa Simba bila kupepesa macho Wala kupindisha maneno.

Haji alitakiwa kudai mshahara na mkataba kwa Simba hata kupitia vyombo vya Sheria lakini sio kufanyakazi za mshindani wa mo. Kumfukuza Haji Simba ni halali kabisaa.
Simba ni Simba na Mo ni MO.Pia HAJI sio mfanyakazi wa MO company ,wala Simba haina mkataba wa kazi na Haji,
 
Kama hukubaliani na mshahara acha kazi au tafuta haki yako kwenye vyombo vya kudai haki upewe haki yako, sio vinginevyo. Haji kakosea sana. Huko kunaitwa kujichukulia sheria mkononi.
Miaka sita hana Mkataba wa kazi .wewe unaweza kukaa na Mhindi kama Mo bila mkataba?
 
Simba ni Simba na Mo ni MO.Pia HAJI sio mfanyakazi wa MO company ,wala Simba haina mkataba wa kazi na Haji,
Kwahiyo Haji alikuwa anaripoti kwa Nani? Je, Haji alikuwa akipangiwa kazi na Nani kwa makubaliano gani tangu l
Miaka sita hana Mkataba wa kazi .wewe unaweza kukaa na Mhindi kama Mo bila mkataba?
Mo kaja juzi TU, malalamiko yake angeyaelekeza kwa Mangungu angeleeweka haraka
 
Back
Top Bottom