Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanza kabisa inabidi ujue Ezekieli hakuwa muisrael kama ulivyoaminishwa?

Nabii Ezekieli ni mtoto wa ndungu yake na ibrahimu aliekuwa anaitwa Nahori alizaa na milka mtoto alieitwa buzi

uyu buzi ndiye aliyekuja kuwa baba wa Ezekieli soma Ezekieli 1;3

Na unapokataa muisraeli sio mweusi sijui nikuelewaje? yakobo alizaa watoto 12 kwa wanawake wanne, na kati ya hao wawili ambao ni bilha na zilpa walikuwa ni mabinti weusi tiii kutoka misri;

uyo musa ambae anatoka kabila la lawi alikuwa na watoto weusi aliozaa na spora binti wa kikushi soma hesabu 12;1

Suleimani pia alizaa watoto wengi sana na binti za kiafrika kama meneleki aliyezaa na malikia wa sheba,

kwaiyo unapoongelea israel unaongea taifa ambalo ni mchanganyiko wa rangi weusi na waarabu,

na unaposema samweli hakuwa nabii [emoji15][emoji15][emoji15] inaonesha wewe hujui chochote kuhusu ukristo

Vitabu havijathibitisha mkuu
 
mungu hakuumba mwafrica hao walitokea katika kizazi cha nuhu baada ya kutokumheshimu baba yao mungu akawalaani. pili manabii waafrika wapo wakina mwaposa nigeria wamejaa. unataka manabii wapi tena
 
Ukweli ni kwamba hakukuwa na mtume muafrika kati ya wale mitume wa Yesu
Ila Kuna mitume walikuwa special for gentlies (watu wa mataifa) amabao sio Israel mfano ni mtume Petro.
Kumbuka Yesu alizaliwa alizaliwa Bethlehem huko Nazareth Israel ingawa alibeba package ya Dunia nzima
Ndio maana baada ya wao kujazwa nguvu za Roho mtakatifu aliwaambia
Nendeni muwe mashahidi wa mambo haya hata mwisho wa nchi
So Yesu akawa Mbegu ambayo Leo hii tumekuwa mashahidi wengi wengi Sana bila kujali Rangi, Kabila, Taifa,

unasema mungu baba yesu alizaliwa bethlehemu. kumbe mungu huzaliwa. kabla ya kuzaliwa mungu yesu nani alikuwa akiendesha dunia na nani aliyekuwa anaeteremsha mvua kwa makadirio na ni nani alikuwa akiwa riziki wanyama wadudu na watu kabla hajazaliwa
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) Kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi Waafrika

(3) Au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) Labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili; hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) Na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Muulizaji kabla hujapata majibu yako ebu jibu maswali haya kwanza, je kwann hakuna mitume wa jamii ya kichina, kijapan, kikorea na n.k. pia kwann hakuna mtume wa kihindi, mwingereza , mrusi, mjeruma na kadha wakadha?
 
Unaposema vitabu havijathibitisha unamaanisha vitabu vip?

Vinavyoaminika ambavyo ni vya dini zinazofuatwa hapa duniani.. au umeelewa vipi? Mkuu au una andiko lolote lime mmention nabii au mtume aliyetokea AFRICA mashariki ya kati mkuu
 
mungu hakuumba mwafrica hao walitokea katika kizazi cha nuhu baada ya kutokumheshimu baba yao mungu akawalaani. pili manabii waafrika wapo wakina mwaposa nigeria wamejaa. unataka manabii wapi tena

Hawa manabii wajanja wajanja ni wezi wa posho zetu mkuu
 
Muulizaji kabla hujapata majibu yako ebu jibu maswali haya kwanza, je kwann hakuna mitume wa jamii ya kichina, kijapan, kikorea na n.k. pia kwann hakuna mtume wa kihindi, mwingereza , mrusi, mjeruma na kadha wakadha?

Hizo pande ulizozitaja wapo manabii wao wanaowaamini na mitume wao.. ila mada imehoji kutoka kwenye vitabu tunavyoviamini na kuvifuata kama vya dini hapa duniani kwa kigezo hicho hata AFRICA basi tunao wakina mwamposa, kakobe na mtiririko wao mkuu
 
Muulizaji kabla hujapata majibu yako ebu jibu maswali haya kwanza, je kwann hakuna mitume wa jamii ya kichina, kijapan, kikorea na n.k. pia kwann hakuna mtume wa kihindi, mwingereza , mrusi, mjeruma na kadha wakadha?

Kama na wewe unahoji kama mimi.. tushirikiane mpaka tupate majibu mkuu
 
Vinavyoaminika ambavyo ni vya dini zinazofuatwa hapa duniani.. au umeelewa vipi? Mkuu au una andiko lolote lime mmention nabii au mtume aliyetokea AFRICA mashariki ya kati mkuu

Musa Amezaliwa Afrika Akakulia Afrika Akapewa Unabii Akiwa Afrika,
 
mungu hakuumba mwafrica hao walitokea katika kizazi cha nuhu baada ya kutokumheshimu baba yao mungu akawalaani. pili manabii waafrika wapo wakina mwaposa nigeria wamejaa. unataka manabii wapi tena

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Muulizaji kabla hujapata majibu yako ebu jibu maswali haya kwanza, je kwann hakuna mitume wa jamii ya kichina, kijapan, kikorea na n.k. pia kwann hakuna mtume wa kihindi, mwingereza , mrusi, mjeruma na kadha wakadha?

Umefanya risech ukadhibitisha hawapo?
 
Hizo pande ulizozitaja wapo manabii wao wanaowaamini na mitume wao.. ila mada imehoji kutoka kwenye vitabu tunavyoviamini na kuvifuata kama vya dini hapa duniani kwa kigezo hicho hata AFRICA basi tunao wakina mwamposa, kakobe na mtiririko wao mkuu
Vilevile hata hayo maeneo manabii wao wanaowaamin hawapo ktk vitabu tunaviamin, so km utawaamin manabii wao basi nawew mwamin mwamposa
 
Vilevile hata hayo maeneo manabii wao wanaowaamin hawapo ktk vitabu tunaviamin, so km utawaamin manabii wao basi nawew mwamin mwamposa

Mkuu ndio maana nikaielekeza hoja kwenye vitabu na dini tunazozifuata na kuziamini mkuu.. kwa hivyo kama kuna aya au ufunuo wowote waweza kutupa tufungue kitabu tujiridhishe
 
Kwanza kabisa inabidi ujue Ezekieli hakuwa muisrael kama ulivyoaminishwa?

Nabii Ezekieli ni mtoto wa ndungu yake na ibrahimu aliekuwa anaitwa Nahori alizaa na milka mtoto alieitwa buzi

uyu buzi ndiye aliyekuja kuwa baba wa Ezekieli soma Ezekieli 1;3

Na unapokataa muisraeli sio mweusi sijui nikuelewaje? yakobo alizaa watoto 12 kwa wanawake wanne, na kati ya hao wawili ambao ni bilha na zilpa walikuwa ni mabinti weusi tiii kutoka misri;

uyo musa ambae anatoka kabila la lawi alikuwa na watoto weusi aliozaa na spora binti wa kikushi soma hesabu 12;1

Suleimani pia alizaa watoto wengi sana na binti za kiafrika kama meneleki aliyezaa na malikia wa sheba,

kwaiyo unapoongelea israel unaongea taifa ambalo ni mchanganyiko wa rangi weusi na waarabu,

na unaposema samweli hakuwa nabii [emoji15][emoji15][emoji15] inaonesha wewe hujui chochote kuhusu ukristo
Ezekiel huyo ni Ezekiel unayemjua wewe,Ezekiel amekuja kutokea kipindi cha ufalme wa Yuda ukiwa Babeli,kulinganisha mtu aliyeishi kipindi cha Ibrahim na Kipindi cha uhamisho wa Babeli ni uchizi.

Samweli alikuwa kuhani hakuwa nabii.Unabii (Prophesying)ni kipawa kilichokuwa kinakuja na kuondoka kwa baadhi ya watu lakini sio wote walikuwa manabii.Mfano Sauli mfalme wa kwanza wa Israel hakuwa nabii lakini ukisoma habari zake utaona na yeye alitabiri (Prophesied) ambayo ndio role za manabii.

Watu mnashindwa kuwatambua watu na kudhani kila aliyeandikwa kwenye vitabu vya Mungu ni nabii hapana.Kuna waliokuwa makuhani tu,Mitume na wengine Manabii.Hata Ibrahimu,Isaka wala Yakobo hapakuwa na nabii,kuhani wala mtume kati yao.

Kitabu ulichotumia moja ya vigezo vinavyopelekea kionekane hakiko sawa ni ishu ya historical innacuracies ambayo moja wapo ni hii ya Ezekiel unayotumbia.
 
Back
Top Bottom