Kwanini Halima Mdee na wenzake ni lazima wafukuzwe?

Kwanini Halima Mdee na wenzake ni lazima wafukuzwe?

Faida ya Kwanza wakifukuzwa ni kwamba Watakosa uhalali wa kisheria kuwa wabunge wanaowakilisha CHADEMA Bungeni hata wakilindwa na Serikali.
Mtawafukuza uanachama, wataenda mahakamani kuweka pingamizi mpaka miaka yao mitano itakwisha.. Waacheni.. Wamecheza karata yao vizuri kwa kuonesha kuwa Mboe na Mnyika si lolote si chochote.. Chama sio mali binafsi.. Hata Mboe na Mnyika wanaweza kufukuzwa uanachama kwa kutozingatia goals za chama ambazo wanatakiwa kuzizingatia.
Goalz za chama chochote Duniani ni kukamata dola.. Hata jeshi linapoenda vitani haliteki maeneo yote kwa mara moja.. Linateka mkoa mmoja, linaweka base, linaendelea mbele mwishowe linateka nchi nzima.
Harakati za vyama pia ziko hivyo, mnapoukosa urais, basi angalau mnahakikisha mnateka viti kadhaa vya ubunge, udiwani nk. Kwa mtazamo wa kuja kuteka dola siku za usoni.
 
Mtawafukuza uanachama, wataenda mahakamani kuweka pingamizi mpaka miaka yao mitano itakwisha.. Waacheni.. Wamecheza karata yao vizuri kwa kuonesha kuwa Mboe na Mnyika si lolote si chochote.. Chama sio mali binafsi.. Hata Mboe na Mnyika wanaweza kufukuzwa uanachama kwa kutozingatia goals za chama ambazo wanatakiwa kuzizingatia.
Goalz za chama chochote Duniani ni kukamata dola.. Hata jeshi linapoenda vitani haliteki maeneo yote kwa mara moja.. Linateka mkoa mmoja, linaweka base, linaendelea mbele mwishowe linateka nchi nzima.
Harakati za vyama pia ziko hivyo, mnapoukosa urais, basi angalau mnahakikisha mnateka viti kadhaa vya ubunge, udiwani nk. Kwa mtazamo wa kuja kuteka dola siku za usoni.
 

Attachments

  • IMG_20201127_110244_941.jpg
    IMG_20201127_110244_941.jpg
    59 KB · Views: 2
Yeriko umeandika vizuri sn, fukuzeni hao malaya wa kisiasa, pili msiende mahakamani mtapoteza muda na pesa na wakati hakuna mahakama kuna mashina ya CCM, kazi yenu iwe moja tu kuwafuta uanachama wabaki wanachama wa Ndugai. Over
Hajafukuzwa na hafukuzwi mtu
 
Mbona mwenye kukiandika hajawahi kuwa raisi? Au ndio yale ya mfinyanzi hulia gaeni, kinyozi hajinyoi , mganga hajigangi.
Ahahahahahah! Halafu mwandishi ni "Afisa Mwandamizi wa Chadema" lakini chama chake kinashindwa urais kila uchaguzi! Ahahahahahaha!
 
Back
Top Bottom