Kwanini Halima Mdee na wenzake ni lazima wafukuzwe?

Kwanini Halima Mdee na wenzake ni lazima wafukuzwe?

Umeandika kweli. Watu wanasahau kuwa hata kwenye biblia Yesu Kristu ilikua lazma asalitiwe afe ndy afufuke wengine wakombolewe!! Kuogopa 19specimen eti Chama kuperish ni kukosa ujasir. Futilia mbali hizo specimen ili kujenga Imani miongoni mwa millions of followers. Kamati kuu tendeni lililojema kuabolish utamaduni wa usaliti mbele ya safar ya kisiasa Chamani!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Ni vyema kujadili hoja zako tukiwa sober na tukizingatia historia ya harakati za kisiasa Tanzania.

1. Hizo dalili za serikali kutaka maridhiano ni zipi?
2. Serikali ya magharibi zilishatambua hii serikali na ndio maana walishiriki uapisho wa rais.
3. EU haijaweka vikwazo vyovyote Tanzania. Na hata hao wote hawawezi wekea vikwazo sababu kuu hakuna maslahi yao yaliyohatarishwa. Wazungu hawaweki vikwazo kisa tu CCM imeiba kura.
3. Historia. Unachosahau (najua ni kwa makusudi kabisa), huu ni mgogoro uliotengenezwa kwa makusudi kabisa na dola. Na unajua dola wanapoamua hatima yake huwaje. Rejea NCCR na CUF.
 
Kenan ni viti maalum?
Amechaguliwa lakini CHADEMA si inasema haikubalian na uchaguzi? Kama haikubali uchaguzi maana yake ni kwamba hata yeye alitakiwa Basi aitwe,, unadhani uongozi wa chadema haujawabariki kina Halima?? Kamati kuu mbona haijakaa??? Kama imekaa imekaa wapi na inaongozwa na Nani?? MWISHO WA SIKU UKUMBUKE KUNA KITU INAITWAGA RUZUKU
 
Wala sintakaa niwalaumu hao wanawake maana sijui waliyopitia, ninawalaumu viongozi wao na wanaowashambulia Kama vile hawana uchungu nao hivi taa nyekundu zilizowashwa Kuna wakuwalaumu hao wanawake kweli? Kama mnauchungu kweli Sasa hivi mngeshawaepusha na yanayowasibu , siyo msubiri habari ya tone la damu eti unatetea chama, hao wanawake wanatakiwa kutetewa na Kila mtu anajali usalama wao maana hatujui waliyopitia mpaka kufanya hivyo.
 
Wengi hawafahamu kwamba kwasasa "DEREVA" gari limeshamshinda, linayumba yumba barabarani tu (Things Are Out Of His Hands And Out Of Control - The Country Is In Deep Murmuring Chaos).

Na kawaida gari linapomshinda dereva basi kila atakachotaka kufanya ili kulikweka sawa na kila anavyopapatua, ndio anapo haribu zaidi na kulitoa nje ya barabara.

Sasa hivi kila mtu anajifanya mjuzi kuliko dereva, na ndio wanazidi kumchanganya na kumptoteza kabisa dereva. Huyu kawasha end-cator, yule kapiga honi, huyu kakunja sight-mirror zote (Waziri Wa Mambo Ya Nje alichokonoa mambo vibaya. AG na SPEAKER leo ndio "WAMECHOMOA BETRI" kabisa).

Kwa tulipofikia, gari linasubiri sababu tu lianguke na kuua abiria. Hakuna hatua yoyote ya kuliokoa gari wala kumsaidia dereva. Zaidi ya kumwomba mungu idadi ya wafu na majeruhi iwe ndogo.

● Kwa wenye akili na maarifa (hata wana CCM wenyewe) ndio maana wamekaa kimya na kujiweka pembeni. Wanatazama tu. Wanajua impact itakayotusibu kama taifa.

● Cha kujiuliza,

1) Kwanini siku ya leo "SERIKALI IMEONESHA INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???

2) Na kwanini bunge (Speaker) ameonesha "INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???

■ Nchi ina mihimili mitatu. Mihimili miwili tayari (Serikali na Bunge) vimeshakuwa "BIASED". Umebakia mhimili mmoja tu "MAHAKAMA".

■■■ Kwanini nasema "KWA TULIPOFIKIA, GARI LINATAFUTA SABABU TU YA KUANGUKA NA KUUA ABIRIA"???

PRINCIPLE KUU YA UTAWALA

"Binaadamu ana mahitaji makuu, ambayo ni "Chakula, Matibabu na kuijua kesho yake". Binaadamu hawatawaliwi kwa nguvu bila hayo matatu na utawala ukafanikiwa.

Nature ya binaadamu, akiwa "AMESHIBA (Ana chakula/pesa) basi anakua binaadamu na anatawalika kirahisi, ila akiwa na "NJAA (Hana chakula/pesa)" akili inafanya kazi kupita kiasi na anakua mnyama asiekua na uoga wowote na muogope kama Covid-19 au HIV AIDS!!!

Kifupi, binaadamu mwenye njaa hatawaliki na yuko radhi kufanya lolote.

Nchi yetu raia hawana kipato na hawana mwelekeo kwa sasa. Mbele yao ni giza nene. Muda si mrefu hawata tawalika wala kutii serikali.

JIBU.

Sisi kama taifa, asilimia 98% ya raia wanalalamika hali ni ngumu kupita kiasi (Hawana pesa kukidhi "Kupata chakula, matibabu na hawaijui kesho yao). Serikali nayo haina pesa kujiendesha yenyewe kupelekea kuongeza kodi kwa raia wasio na kipato.

Raia wangekua na pesa ya kukidhi mahitaji yao. Basi dereva angefanikiwa kuliweka gari sawa.

Hili ni "TIME BOMB (BOMU)" kwa serikali yetu, bomu hili linalosubiri muda/kiberiti tu liripuke. Kinachochelewesha ni raia kuwa "WAOGA" bado, ila uoga ukitoweka kwa raia bomu linaripuka.

USHAURI KWA CHADEMA.

Wakikaidi na kuachana na "VITISHO VYA A.G na SPEAKER" kisha wakafanya maamuzi ya kuwafukuza "UWANACHAMA" hao 19 waliosaliti, kisha wakaongeza "PRESSURE ZAIDI NA ZAIDI" kwa dereva. Dereva watamchanganya zaidi na kupindua gari ndani ya muda mfupi sana.

Katika mapambano yoyote (hata mpira wa miguu), adui yako mwenye nguvu anapokua na "PRESSURE NA KUJIKANYAGA KANYAGA", usimpe nafasi ya kujipanga, ongeza pressure na mashambulizi zaidi ili aharibu zaidi na umjeruhi zaidi. Na kamwe usilipe fadhila ya kumpunguzia mashambulizi.

CHADEMA wakiamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite (Wasipo wafukuza hao wasaliti 19 uwanachama) basi gari litapunguza kasi kidogo, pengine dereva akajitambua na gari litadondoka upande waliokaa wao CHADEMA na kuwaua (Chama kitakufa na kupoteza wanachama kama CUF ya Lipumba).

ZINGATIO

Ili CHADEMA na ACT WAZALENDO kuleta madhara zaidi na zaidi kwa Serikali ya CCM, Chadema "KUWAFUKUZA UWANACHAMA HAO WASALITI 19" haitoshi, japo ndio maamuzi sahihi ya kuchukua.

Baada ya kuwafukuza hao 19, kama vyama vya upinzani vikuu vinapaswa kuongeza "PRESSURE ZAIDI NA ZAIDI (ADD MORE PREESURE AND MORE PRESSURE) kwa serikali na NEC kutoa majibu ya hao waliopeleka hayo majina na kusign hizo form. Isiipe serikali nafasi ya kuvuta pumzi hata kidogo wala nafasi ya kujipanga.

Serikali na NEC isipotoa majibu ya kuridhisha, basi iendelee kupiga "KELELE" katika mataifa yenye nguvu duniani pamoja na AU/UN kuingilia kati.
Hizo ni blah blah tu
 
Wengi hawafahamu kwamba kwasasa "DEREVA" gari limeshamshinda, linayumba yumba barabarani tu (Things Are Out Of His Hands And Out Of Control - The Country Is In Deep Murmuring Chaos).

Na kawaida gari linapomshinda dereva basi kila atakachotaka kufanya ili kulikweka sawa na kila anavyopapatua, ndio anapo haribu zaidi na kulitoa nje ya barabara.

Sasa hivi kila mtu anajifanya mjuzi kuliko dereva, na ndio wanazidi kumchanganya na kumptoteza kabisa dereva. Huyu kawasha end-cator, yule kapiga honi, huyu kakunja sight-mirror zote (Waziri Wa Mambo Ya Nje alichokonoa mambo vibaya. AG na SPEAKER leo ndio "WAMECHOMOA BETRI" kabisa).

Kwa tulipofikia, gari linasubiri sababu tu lianguke na kuua abiria. Hakuna hatua yoyote ya kuliokoa gari wala kumsaidia dereva. Zaidi ya kumwomba mungu idadi ya wafu na majeruhi iwe ndogo.

● Kwa wenye akili na maarifa (hata wana CCM wenyewe) ndio maana wamekaa kimya na kujiweka pembeni. Wanatazama tu. Wanajua impact itakayotusibu kama taifa.

● Cha kujiuliza,

1) Kwanini siku ya leo "SERIKALI IMEONESHA INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???

2) Na kwanini bunge (Speaker) ameonesha "INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???

■ Nchi ina mihimili mitatu. Mihimili miwili tayari (Serikali na Bunge) vimeshakuwa "BIASED". Umebakia mhimili mmoja tu "MAHAKAMA".

■■■ Kwanini nasema "KWA TULIPOFIKIA, GARI LINATAFUTA SABABU TU YA KUANGUKA NA KUUA ABIRIA"???

PRINCIPLE KUU YA UTAWALA

"Binaadamu ana mahitaji makuu, ambayo ni "Chakula, Matibabu na kuijua kesho yake". Binaadamu hawatawaliwi kwa nguvu bila hayo matatu na utawala ukafanikiwa.

Nature ya binaadamu, akiwa "AMESHIBA (Ana chakula/pesa) basi anakua binaadamu na anatawalika kirahisi, ila akiwa na "NJAA (Hana chakula/pesa)" akili inafanya kazi kupita kiasi na anakua mnyama asiekua na uoga wowote na muogope kama Covid-19 au HIV AIDS!!!

Kifupi, binaadamu mwenye njaa hatawaliki na yuko radhi kufanya lolote.

Nchi yetu raia hawana kipato na hawana mwelekeo kwa sasa. Mbele yao ni giza nene. Muda si mrefu hawata tawalika wala kutii serikali.

JIBU.

Sisi kama taifa, asilimia 98% ya raia wanalalamika hali ni ngumu kupita kiasi (Hawana pesa kukidhi "Kupata chakula, matibabu na hawaijui kesho yao). Serikali nayo haina pesa kujiendesha yenyewe kupelekea kuongeza kodi kwa raia wasio na kipato.

Raia wangekua na pesa ya kukidhi mahitaji yao. Basi dereva angefanikiwa kuliweka gari sawa.

Hili ni "TIME BOMB (BOMU)" kwa serikali yetu, bomu hili linalosubiri muda/kiberiti tu liripuke. Kinachochelewesha ni raia kuwa "WAOGA" bado, ila uoga ukitoweka kwa raia bomu linaripuka.

USHAURI KWA CHADEMA.

Wakikaidi na kuachana na "VITISHO VYA A.G na SPEAKER" kisha wakafanya maamuzi ya kuwafukuza "UWANACHAMA" hao 19 waliosaliti, kisha wakaongeza "PRESSURE ZAIDI NA ZAIDI" kwa dereva. Dereva watamchanganya zaidi na kupindua gari ndani ya muda mfupi sana.

Katika mapambano yoyote (hata mpira wa miguu), adui yako mwenye nguvu anapokua na "PRESSURE NA KUJIKANYAGA KANYAGA", usimpe nafasi ya kujipanga, ongeza pressure na mashambulizi zaidi ili aharibu zaidi na umjeruhi zaidi. Na kamwe usilipe fadhila ya kumpunguzia mashambulizi.

CHADEMA wakiamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite (Wasipo wafukuza hao wasaliti 19 uwanachama) basi gari litapunguza kasi kidogo, pengine dereva akajitambua na gari litadondoka upande waliokaa wao CHADEMA na kuwaua (Chama kitakufa na kupoteza wanachama kama CUF ya Lipumba).

ZINGATIO

Ili CHADEMA na ACT WAZALENDO kuleta madhara zaidi na zaidi kwa Serikali ya CCM, Chadema "KUWAFUKUZA UWANACHAMA HAO WASALITI 19" haitoshi, japo ndio maamuzi sahihi ya kuchukua.

Baada ya kuwafukuza hao 19, kama vyama vya upinzani vikuu vinapaswa kuongeza "PRESSURE ZAIDI NA ZAIDI (ADD MORE PREESURE AND MORE PRESSURE) kwa serikali na NEC kutoa majibu ya hao waliopeleka hayo majina na kusign hizo form. Isiipe serikali nafasi ya kuvuta pumzi hata kidogo wala nafasi ya kujipanga.

Serikali na NEC isipotoa majibu ya kuridhisha, basi iendelee kupiga "KELELE" katika mataifa yenye nguvu duniani pamoja na AU/UN kuingilia kati.
Nakubaliana nawe kwa asilimia kubwa sana!
 
Mliingia kwenye UCHAGUZI Bila tume huru mkitaraji kuna wananchi wenye kujitoa muhanga.

Leo mmegundua wanachi waoga wa virungu mnahitaji TUME HURU baada ya kupigwa NA GREEN.

BIASHARA YA UANDISHI INAKUFAA SANA NDUGU YERICKO
 
Maandamano ya kupinga Mdee mnaenda ila ya kupinga matokeo kila mtu anakaa jf tu

Wapi umeona watu wanaenda kwenye maandamano ya kumpinga Mdee? Na maandamano ya kupinga uchaguzi kila mtu aliogopa kupoteza maisha yake na wala sio kuridhika na kilichotokea?
 
Mdee inawezekana atakuwa kapewa mlungula mrefu.
Mrefu sana mzee kweli kila mtu ana bei yake. Na Ccm walivyowajanja usikute yule bulaya aliolewa makusudi toka TISS Kuja kumaliza na mdee kamaliza kazi dah hata mdee
 
Back
Top Bottom