Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu mama afukuzwe haraka sana na hakuna kupeleka majina mengineKama mlungula walipewa kamati kuu coz walishakubali kupeleka majina ila sio Yale ambayo Mdee amepeleka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama afukuzwe haraka sana na hakuna kupeleka majina mengineKama mlungula walipewa kamati kuu coz walishakubali kupeleka majina ila sio Yale ambayo Mdee amepeleka
Mpuuzi ww ambae unaropoka tu utopolo kama uko FacebookRais kwenye familia yako, sitoki hii nchi siyo ya maza ako mpuuzi wewe
Endelea kuishi kwa shemeji yakoMpuuzi ww ambae unaropoka tu utopolo kama uko Facebook
Then ela ya kulipa wafanyakazi wa chama utatoa ww?Huyu mama afukuzwe haraka sana na hakuna kupeleka majina mengine
Anataka kuvunja rekodi ya Guinness mengine yupo sahihi ila kwenye bei ya vitabu jamaa anautafuta ubilionea kupitia uandishi wa kukopi maandishi toka mitandaoni anajiona guru la uandishi KIYOSAKI BEN CARSON hawauzi vutabu kwa bei hiyoKitabu namba mbili unauza million na laki saba Kwa nakala?Au umekosea??
Hata hujakosea, huyu jamaa anahangaika tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitabu namba mbili unauza million na laki saba Kwa nakala?Au umekosea??
Akili yako ndio imeishia hapoEndelea kuishi kwa shemeji yako
Fyekelea mbaliSioni sababu yoyote ya kuwaacha Akina mdee ndani ya chama.
Mpuuzi wewe unyanyasike sababu ya kulipa kodi? kwani hawezi kufanyia kazi majumbani kwao?Then ela ya kulipa wafanyakazi wa chama utatoa ww?
Ela ya kulipa kodi za Vyumba vya office utalipia ww?
Sasa kwa good memories za hizo damu basi futeni chama kabisaHalima Mdee na wenzake ( Sidhani kama Nusrat alijua kinachoendelea) ni lazima waadhibiwe kwa kushirikiana na watesi kuhalalisha udhalimu. Bado hatujasahau damu ya Akwilina iliyomwagwa kutokana na dhulma , damu ya Tundu Lissu na mateso ya kuugua zaidi ya miaka miwili na, kuwashikilia mahabusu viongozi wa chama na dhulma nyingine nyingi.
Hata kama jiwe anadai analeta maendeleo lakini si kwa dhulma hizi wanaofanyiwa wapinzani ambazo tangu mfumo wa vyama vingi uanze hazijawahi kuonekana.
Hizo nyumba uliwapa?Mpuuzi wewe unyanyasike sababu ya kulipa kodi? kwani hawezi kufanyia kazi majumbani kwao?
Hahahahahaha, kwakwakwakwakwakwa! Kweli, wafanyie nyumbani. Kwakwakwakwakwa. Una akili sana wewe. Makao Makuu ya Chama nyumbani kwa Mnyika, house girl wake mfagizi wa ofisi, maisha yanaenda. Bonge la ideaMpuuzi wewe unyanyasike sababu ya kulipa kodi? kwani hawezi kufanyia kazi majumbani kwao?
Aliyefanya dhulma hizo ndiye anayetakiwa kufutwa. .Sasa kwa good memories za hizo damu basi futeni chama kabisa
Nenden basi mkamtoeAliyefanya dhulma hizo ndiye anayetakiwa kufutwa. .