Hawa Hamas ni kiboko, hivi mmejiuliza mateka alikuwa amewaficha wapi na kula na kushiba na kulala baada ya makombora yote hayo
Bado mateka wanatoka wanafuraha
Bado najiuliza hayo ma banker ni zege la aina gani
Ila wenye chuki wanaweza kusema waliwapeleka Misri, hawashindwi
Kushinda vita bila kifaru wala madege dhidi ya mwenye nayo imekaa kiroho zaidi.Endeleeni kujipongeza wakati HAMAS ameshinda vita
HAMAS hana ndege Wala kifaru. Hapati maji, chakula, mafuta, umeme Wala internet:
What to Know About U.S. Military Support to Israel
Hakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?
Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.
Wameufyata mazayuni waliojidai hakuna kuongea mpaka HAMAS WAISHE, HAKUNA KUBADILISHANA MATEKA MPPAKA hAMAS WAISHE. Kiko wapi?1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.
2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!
3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:
a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?
4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.
5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.
6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.
7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.
8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!
View attachment 2827378
Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Angalia paragraph ya mwisho hapa kama Ina maana yoyote kwako:Uliwafuatilia ukajua hawapati maji n.k?
Maji yalifungwa yote, muujiza ukatokea, mabomu yao wenyewe mazayuni yakatoboa kisima hakijawahi kuwepo. Huyu ndiyo Allah:Uliwafuatilia ukajua hawapati maji n.k?
Huwezi kuvamia raia kuua na kuteka halafu wakakuita shujaa sbb hauna tofauti na majambazi.Sidhani kama Russia au Iran wanamwunga mkono HAMAS kama wanavyofanya Kwa Assad.
HAMAS hana supply yoyote ya silaha. Hana ndege ya vita wala kifaru. Hana kambi ya jeshi mahali. Hawa ni wanamgambo wazalendo tu.
Walipo sasa wameitwa magaidi na wakubwa. Wao wamepewa hukumu ya kifo popote walipo.
Inasikitisha.
Cc: Zawadini, FaizaFoxy
Kwamba hamas kauwa askari wa IDF zaidi ya 3000 mpaka sasa, kwamba israeli kaangamiza vifaru na magari zaidi ya 350 mpaka sasa, kwamba Hamas karusha zaidi ya rocket 5000 ndani ya Israel on target na off target madhara yanafichwa na vyombo vya habari vya israeli.
Sawa mwaarabu mweusi wa buza na msemaji mkuu wa kikundi cha kiislamu cha kigaidi cha HamasMedia zinawapotosha wayahudi weusi
Qur'an haisemi kitu chenye shaka.Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
Baada ya kupata chakula cha misaada naona umepata nguvu tena.
Hayupo wa kumtoa Israel pale. Kasome Six days war
Hao ndugu zenu mbona mliwafukuza Zanzibar? Zanzibar revolution
jambo wasiloelewa, kuna faida gani kumwachia mtu amaye nyumba yake imevunjwa na any time anaweza kuigwa risasi akiwa nje, si bora angebaki ndani tu? hao walioachiwa utasikia muda si mrefu wameuawa.1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.
2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!
3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:
a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?
4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.
5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.
6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.
7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.
8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!
View attachment 2827378
Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Ni kweli kabisa ila wao ndio wanajua zaidi makubaliano yao, ndio maana pande zote hawajasema waliafikiana nini mpaka kuachia matekaHakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?
Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.
Ni kweli mpk nimejisuta. Hata huko peponi wanaume watapewa mabikra 72. Wanaume wakiislsmu watakuwa wanafanya ngono muda wote yaani huko peponi itakuwa itakuwa inasikika milio ya watu wakifanya ngono. Hakika Quran ni kitabu kisicho nashaka ndani yake.Qur'an haisemi kitu chenye shaka.
Mwenyewe hapo umejisuta.
Hizi ni story za kudanganyana, Israel alitumia muda mrefu kufanya mashambulizi ya angani kulenga ngome za Hamas. Vita ya ardhini ina wiki tatu na eneo la Hamas lishakatwa vipande viwili. Israel anatiwa presha kufanya mazungumzo na mataifa ambayo raia wake walitekwa na Hamas pamoja na maandamano ndani ya Israel. Israel hakuwa na mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Hamas.Mimi na wewe tumpongeze Kwa kweli Hamas,siku zaidi ya 46 waisrael wamekosa Mateka wao.
Hivi angesaidiwa ingekuaje.(Kwa maelezo yako)
Hamas ishapotea, kilichobakia ni kurusharusha miguu tu.Kwenye hii vita Israel kachapika sana kuliko vita yoyote ile aliyopigana na Hamas.
Wanajeshi wake wengi wameuwawa na vifaru vyake mwenywewe ndio alikuwa anaona funga kazi, vimeonekana si lolote si chochote yaani vinabondwa kama vile vimetengenezwa kwa kutumia udongo na ndio baada ya kuona mtanange unamtoa jasho amaamua kupiga/kuuwa ovyo ovyo watoto, wamama na wagonjwa
Hii kusema mtanange bado unaendelea ni kama vile kujitoa kimasomaso kwa aibu kibwa aliyoipata na kwasababu anakiburi, basi ktk hii vita Israel inakwenda kuumbuka vibaya sana
Hahahaaa!1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.
2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!
3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:
a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?
4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.
5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.
6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.
7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.
8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!
View attachment 2827378
Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Kwenye hii vita Israel kachapika sana kuliko vita yoyote ile aliyopigana na Hamas.
Wanajeshi wake wengi wameuwawa na vifaru vyake mwenywewe ndio alikuwa anaona funga kazi, vimeonekana si lolote si chochote yaani vinabondwa kama vile vimetengenezwa kwa kutumia udongo na ndio baada ya kuona mtanange unamtoa jasho amaamua kupiga/kuuwa ovyo ovyo watoto, wamama na wagonjwa
Hii kusema mtanange bado unaendelea ni kama vile kujitoa kimasomaso kwa aibu kibwa aliyoipata na kwasababu anakiburi, basi ktk hii vita Israel inakwenda kuumbuka vibaya sana
Allah Akbar.Maji yalifungwa ayote, muujiza ukatokea, mabomu yao wenyewe maazayuni yakatoboa kisima hakijawahi kuwepo. Huyu ndiyo Allah:
View attachment 2827901