Swali: Huyo Israel anaua wamama na watoto waume zao na baba watoto wakiwa wapi hadi wawatelekeze wamama na watoto? Si hao wanaume wameshapukutishwa wote? Na kama Israel imepata hasara kubwa mbona mtanange unaungurumia kwenye ardhi ya wapalestina badala ya ardhi ya Israel?
Hakuna anaetaka ama kuomba vita ila ikibidi ndio watu hutwanganaBora isiwepo vita. Watu 15,000 watoto wapata 5,000 halieezi kuwa jambo dogo la kufanyia mzaha.
Uislamu ni dini ya huruma, ukitekwa na hamas ujue utaishi kama upo nyumbani kwako. Je! Wale mashetani/mskafiri wa kiyahudi!!
Aliua kwa maneno itakuaHAMAS hana ndege Wala kifaru. Hapati maji, chakula, mafuta, umeme Wala internet:
What to Know About U.S. Military Support to Israel
Hakuna anaetaka ama kuomba vita ila ikibidi ndio watu hutwangana
Hizi ni story za kudanganyana, Israel alitumia muda mrefu kufanya mashambulizi ya angani kulenga ngome za Hamas. Vita ya ardhini ina wiki tatu na eneo la Hamas lishakatwa vipande viwili. Israel anatiwa presha kufanya mazungumzo na mataifa ambayo raia wake walitekwa na Hamas pamoja na maandamano ndani ya Israel. Israel hakuwa na mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Hamas.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
jambo wasiloelewa, kuna faida gani kumwachia mtu amaye nyumba yake imevunjwa na any time anaweza kuigwa risasi akiwa nje, si bora angebaki ndani tu? hao walioachiwa utasikia muda si mrefu wameuawa.
Huwezi kuvamia raia kuua na kuteka halafu wakakuita shujaa sbb hauna tofauti na majambazi.
Hamas wangeonekana mashujaa wangetangaza vita kwa Israel kutangaza vita mbona jambo rahisi tu
Kwamba hamas kauwa askari wa IDF zaidi ya 3000 mpaka sasa, kwamba israeli kaangamiza vifaru na magari zaidi ya 350 mpaka sasa, kwamba Hamas karusha zaidi ya rocket 5000 ndani ya Israel on target na off target madhara yanafichwa na vyombo vya habari vya israeli.
Endeleeni kujipongeza wakati HAMAS ameshinda vita
Waliovamiwa kwa miaka 75 na kutekwa ardhi yao na kufanywa waishi kwenye kambi za mateso, hamuyaoni?Huwezi kuvamia raia kuua na kuteka halafu wakakuita shujaa sbb hauna tofauti na majambazi.
Hamas wangeonekana mashujaa wangetangaza vita kwa Israel kutangaza vita mbona jambo rahisi tu
Iran Reginal power gan uliona wap maskin akawa Reginal power,angejib kipindi kile trump alikuwa madarakan alipouwawa suleman ,reginal power ukisema saud arabia ntakuambia Sawa na yeye akishajiunga na Israel Iran ameishaWanahitaji mazungumzo ya amani hili suala la vita litulie na liishe ni ngumu kuifuta hamas na pia ni rahisi kuitumbukiza dunia ktk vita ya tatu na pia wanahatarisha uchumi wa dunia kupata mkwamo kama vita itaendelea na kusambaa basi ile strait ya hormuz na strait ya bab al mandeb zitakuwa shida kupitika na kusababisha uhaba wa mafuta na nchi zinazoendelea tutapata shida zaidi na uchumi kuyumba. walichoshindwa kukipata ndani ya siku 50 hawataweza kukipata tena kwenye vita ya ukraine imekuwa ngumu kuisha kwa kuwa usa super power anasupport ukraine na hivyo hivyo kwa kuwa hamas anapata support ya Iran na Russia hii ni ngumu kwa hamas kumalizwa kwa kuwa iran ni regional power na russia ni super power mfano mzuri ni syria assad regime ipo hadi leo kwa kuwa kunasupport ya russia na iran la angekuwa historia kama gaddafi.
Vita ipi HAMAS ashinde Kwa mraji huu?
Israel arrests almost as many Palestinians as it has released during truce
Duuu yaani wewe ndiyo mtumishi hasa wa yule Shetani Mkubwa yaani ALLAHThe World Must Wake Up to Israel's Lies
HAMAS:
1. Hawakuuwa watoto.
2. Hawakuchinja watu.
3. Hawakuchoma mtu moto.
4. Hospitaii hazikuwa command center.
5. Uongo baada ya uongo.
Pale Uganda ilituma makomandoo kuwaokoa mateka Israel.Israel anatiwa presha kufanya mazungumzo na mataifa ambayo raia wake walitekwa na Hamas pamoja na maandamano ndani ya Israel.
Sidhani kama upo sahihi katika mambo mengi uliyosema.1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.
2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!
3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:
a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?
4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.
5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.
6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.
7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.
8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!
View attachment 2827378
Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Hata idadi ya vifo wanabadilisha takwimu Kila Siku.The World Must Wake Up to Israel's Lies
HAMAS:
1. Hawakuuwa watoto.
2. Hawakuchinja watu.
3. Hawakuchoma mtu moto.
4. Hospitaii hazikuwa command center.
5. Uongo baada ya uongo.
Sawa mwaarabu mweusi wa buza na msemaji mkuu wa kikundi cha kiislamu cha kigaidi cha Hamas
Duuu yaani wewe ndiyo mtumishi hasa wa yule Shetani Mkubwa yaani ALLAH
SAHIH AL- BUKHARI 4950