Kwanini hawa rafiki zangu wanaumia sana mioyo yao

Kwanini hawa rafiki zangu wanaumia sana mioyo yao

Wakuu nipo Daressalam yapata mwezi sasa, nilitoka mkoani kuja huku kufukuzia fursa mbalimbali na kuongeza exposure.

Ukizingatia mimi sio mtu wa kuishi sehemu moja kwa muda mrefu, kule mkoani kuna ishu zangu ambazo huwa nafanya na zinaniingizia pesa ya kuendesha maisha yangu.

Toka nimekuja huku daressalam sijaweza kufanikiwa kwa lolote, naona watu wengi huku wanaishi kinafiki Sana, kuna rafiki yangu nimejiegesha kwake kwa muda yaani mimi ni kulala tu.. mambo mengine yote namaliza mwenyewe.

Sasa kinachoniacha hoi ni kuhusu hawa rafiki zangu wa dar😀😀 nikinunua kitu kizuri mfano kiatu au simu unaona kabisa wanaumia.

Bajeti yangu toka nimefika hapa huwa nanunua ile chupa kubwa ya maji lita 13 ...napo pia naona wanaumia nahisi walitegemea niteseke😀😀😀😀..
wana roho ndogo sana hao. pambana uchomoke hapo ili usiendelee kuwategemea
 
Yaani ulishindwa kupanga chumba cha bei rahisi ununue na kagodoro kadogo uegeshe kwako ukimaliza mishe unaondoka.. Hii inanikumbusha juzi tu madereva wawili ofisini tumewashauri wapange tu chumba maana toka waje wanalala lodge elfu kumi kila siku sasa Kwa mwezi ni laki tatu ambazo ushapata chumba na godoro hata ukiliweka chini poa tu.
 
Jitahidi ubadlishe hayo mawazo

Ukiona watu wanateseka maana yake wewe ndo unateseka

Usiishi hayo maisha play low key ,jishushe Sana live like a commoner you will get alot

Then don't complaining and blaming anybody.

However don't resent anybody

Kill ur Ego.

All peoples are static its up to you to be dynamic as to fit in theirs shoes.
 
Wakuu nipo Daressalam yapata mwezi sasa, nilitoka mkoani kuja huku kufukuzia fursa mbalimbali na kuongeza exposure.

Ukizingatia mimi sio mtu wa kuishi sehemu moja kwa muda mrefu, kule mkoani kuna ishu zangu ambazo huwa nafanya na zinaniingizia pesa ya kuendesha maisha yangu.

Toka nimekuja huku daressalam sijaweza kufanikiwa kwa lolote, naona watu wengi huku wanaishi kinafiki Sana, kuna rafiki yangu nimejiegesha kwake kwa muda yaani mimi ni kulala tu.. mambo mengine yote namaliza mwenyewe.

Sasa kinachoniacha hoi ni kuhusu hawa rafiki zangu wa dar[emoji3][emoji3] nikinunua kitu kizuri mfano kiatu au simu unaona kabisa wanaumia.

Bajeti yangu toka nimefika hapa huwa nanunua ile chupa kubwa ya maji lita 13 ...napo pia naona wanaumia nahisi walitegemea niteseke[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..
Kapange chumba chako mkuu.
Unawabana watu
 
Wakuu nipo Daressalam yapata mwezi sasa, nilitoka mkoani kuja huku kufukuzia fursa mbalimbali na kuongeza exposure.

Ukizingatia mimi sio mtu wa kuishi sehemu moja kwa muda mrefu, kule mkoani kuna ishu zangu ambazo huwa nafanya na zinaniingizia pesa ya kuendesha maisha yangu.

Toka nimekuja huku daressalam sijaweza kufanikiwa kwa lolote, naona watu wengi huku wanaishi kinafiki Sana, kuna rafiki yangu nimejiegesha kwake kwa muda yaani mimi ni kulala tu.. mambo mengine yote namaliza mwenyewe.

Sasa kinachoniacha hoi ni kuhusu hawa rafiki zangu wa dar😀😀 nikinunua kitu kizuri mfano kiatu au simu unaona kabisa wanaumia.

Bajeti yangu toka nimefika hapa huwa nanunua ile chupa kubwa ya maji lita 13 ...napo pia naona wanaumia nahisi walitegemea niteseke😀😀😀😀..
Sasa hela unazo bado unavizia kulala kitanda cha watu, pia unaleta mbwembwe za kununua vitu ilihal usikute unae lala kwake hana hata umeme wa luku lazima akumainidi, japange hotel brother kufikia kwa watu unawanyima uhuru
 
Sasa hela unazo bado unavizia kulala kitanda cha watu, pia unaleta mbwembwe za kununua vitu ilihal usikute unae lala kwake hana hata umeme wa luku lazima akumainidi, japange hotel brother kufikia kwa watu unawanyima uhuru
Simu ya laki mbili inakuumiza roho VIP.... Mimi sio mkaaji wa dar napita tu, nikiishi dar nitakuwa masikini
 
Jitahidi ubadlishe hayo mawazo

Ukiona watu wanateseka maana yake wewe ndo unateseka

Usiishi hayo maisha play low key ,jishushe Sana live like a commoner you will get alot

Then don't complaining and blaming anybody.

However don't resent anybody

Kill ur Ego.

All peoples are static its up to you to be dynamic as to fit in theirs shoes.
Hapana mkuu Kuna watu huwa wanateseka na vitu vidogo vidogo.... Hasa hawa waswahili wa daressalam...... Sijui ni kwa sababu ya ugumu wa maisha? Mbaya zaidi wengi wao bongo zoo zipo dormant akiferi ameferi Hawana plan b
 
Back
Top Bottom