Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mpitaji tu mkuu sijaja kuishi dar.......Tafuta makazi yako mkuu
wana roho ndogo sana hao. pambana uchomoke hapo ili usiendelee kuwategemeaWakuu nipo Daressalam yapata mwezi sasa, nilitoka mkoani kuja huku kufukuzia fursa mbalimbali na kuongeza exposure.
Ukizingatia mimi sio mtu wa kuishi sehemu moja kwa muda mrefu, kule mkoani kuna ishu zangu ambazo huwa nafanya na zinaniingizia pesa ya kuendesha maisha yangu.
Toka nimekuja huku daressalam sijaweza kufanikiwa kwa lolote, naona watu wengi huku wanaishi kinafiki Sana, kuna rafiki yangu nimejiegesha kwake kwa muda yaani mimi ni kulala tu.. mambo mengine yote namaliza mwenyewe.
Sasa kinachoniacha hoi ni kuhusu hawa rafiki zangu wa dar😀😀 nikinunua kitu kizuri mfano kiatu au simu unaona kabisa wanaumia.
Bajeti yangu toka nimefika hapa huwa nanunua ile chupa kubwa ya maji lita 13 ...napo pia naona wanaumia nahisi walitegemea niteseke😀😀😀😀..
Hapo ndo nakuelewa sasa....sema mwezi kupita tu ni muda mrefu kwa watu.Mimi ni mpitaji tu mkuu sijaja kuishi dar.......
Kwamba keshalipiwa.Kama unapenda kulelewa kuna servant kota njoo ukae bure kabisa kila kitu bure umeshalopiwa hadi hayo maji ya chupa kubwa.
Yaani ni wewe tu kuja kulala.
Baba zima unajiegesha kwa watu?kuna rafiki yangu nimejiegesha kwake kwa muda yaani mimi ni kulala tu.. mambo mengine yote namaliza mwenyewe.
Kapange chumba chako mkuu.Wakuu nipo Daressalam yapata mwezi sasa, nilitoka mkoani kuja huku kufukuzia fursa mbalimbali na kuongeza exposure.
Ukizingatia mimi sio mtu wa kuishi sehemu moja kwa muda mrefu, kule mkoani kuna ishu zangu ambazo huwa nafanya na zinaniingizia pesa ya kuendesha maisha yangu.
Toka nimekuja huku daressalam sijaweza kufanikiwa kwa lolote, naona watu wengi huku wanaishi kinafiki Sana, kuna rafiki yangu nimejiegesha kwake kwa muda yaani mimi ni kulala tu.. mambo mengine yote namaliza mwenyewe.
Sasa kinachoniacha hoi ni kuhusu hawa rafiki zangu wa dar[emoji3][emoji3] nikinunua kitu kizuri mfano kiatu au simu unaona kabisa wanaumia.
Bajeti yangu toka nimefika hapa huwa nanunua ile chupa kubwa ya maji lita 13 ...napo pia naona wanaumia nahisi walitegemea niteseke[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..
Sasa hela unazo bado unavizia kulala kitanda cha watu, pia unaleta mbwembwe za kununua vitu ilihal usikute unae lala kwake hana hata umeme wa luku lazima akumainidi, japange hotel brother kufikia kwa watu unawanyima uhuruWakuu nipo Daressalam yapata mwezi sasa, nilitoka mkoani kuja huku kufukuzia fursa mbalimbali na kuongeza exposure.
Ukizingatia mimi sio mtu wa kuishi sehemu moja kwa muda mrefu, kule mkoani kuna ishu zangu ambazo huwa nafanya na zinaniingizia pesa ya kuendesha maisha yangu.
Toka nimekuja huku daressalam sijaweza kufanikiwa kwa lolote, naona watu wengi huku wanaishi kinafiki Sana, kuna rafiki yangu nimejiegesha kwake kwa muda yaani mimi ni kulala tu.. mambo mengine yote namaliza mwenyewe.
Sasa kinachoniacha hoi ni kuhusu hawa rafiki zangu wa dar😀😀 nikinunua kitu kizuri mfano kiatu au simu unaona kabisa wanaumia.
Bajeti yangu toka nimefika hapa huwa nanunua ile chupa kubwa ya maji lita 13 ...napo pia naona wanaumia nahisi walitegemea niteseke😀😀😀😀..
wana roho ndogo sana hao. pambana uchomoke hapo ili usiendelee kuwategemea nahisi kutokana na movement
Nanunua chakula mwenyeweChakula?
😀😀😀Hili jamaa jinga ni la kufukuza
Simu ya laki mbili inakuumiza roho VIP.... Mimi sio mkaaji wa dar napita tu, nikiishi dar nitakuwa masikiniSasa hela unazo bado unavizia kulala kitanda cha watu, pia unaleta mbwembwe za kununua vitu ilihal usikute unae lala kwake hana hata umeme wa luku lazima akumainidi, japange hotel brother kufikia kwa watu unawanyima uhuru
Hapana mkuu Kuna watu huwa wanateseka na vitu vidogo vidogo.... Hasa hawa waswahili wa daressalam...... Sijui ni kwa sababu ya ugumu wa maisha? Mbaya zaidi wengi wao bongo zoo zipo dormant akiferi ameferi Hawana plan bJitahidi ubadlishe hayo mawazo
Ukiona watu wanateseka maana yake wewe ndo unateseka
Usiishi hayo maisha play low key ,jishushe Sana live like a commoner you will get alot
Then don't complaining and blaming anybody.
However don't resent anybody
Kill ur Ego.
All peoples are static its up to you to be dynamic as to fit in theirs shoes.
Kwa lipi sasa..... Sina mpango wa kuishi daressalam.... Labda nipange nyumba ya kuwa Nafikia nikija dar😁😁😁 ili nipunguze maneno ya wanyonge wa MagufuriJipange
Cha kwako au cha wote?Nanunua chakula mwenyewe