GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwezi Mmoja uliopita huko Mitandaoni tulionyeshwa Picha Mjongeo ya Marehemu Mzee King Kikii na hali yake ya Kiafya na wenye Maono tukajua ni suala la muda tu Israeli atafanya yake na imekuwa. Muda si mrefu tena (yaani leo) kuna Picha Mjongeo nyingine inamuonyesha Mwanamuziki mahiri kipindi chake Mzee Zahir Ally na yenyewe kila nikiiona na kutumia Maono yangu naona huenda tufululiza tu Kuvimba Macho kwa Kulia baada ya Israel kama kawaida kufanya yake.
Leo GENTAMYCINE nauliza huku Kudhoofu kunakopitiliza hadi unaona Mifupa yote ya Mwili kwa hawa Wanamuziki (hasa wa Miziki ya Dansi) nchini Tanzania unatokana na nini? Kama vipi Watu wa NIMR na Wizara ya Afya wafanye Utafiti kujua huku Kudhoofu Kwao kunasababisha labda na Mdudu au Kirusi gani?
Leo GENTAMYCINE nauliza huku Kudhoofu kunakopitiliza hadi unaona Mifupa yote ya Mwili kwa hawa Wanamuziki (hasa wa Miziki ya Dansi) nchini Tanzania unatokana na nini? Kama vipi Watu wa NIMR na Wizara ya Afya wafanye Utafiti kujua huku Kudhoofu Kwao kunasababisha labda na Mdudu au Kirusi gani?