Pre GE2025 Kwanini hawakamatwi kwenda kulisaidia Jeshi la Polisi baada ya kutenguliwa? Ni mpaka wawe wapinzani?

Pre GE2025 Kwanini hawakamatwi kwenda kulisaidia Jeshi la Polisi baada ya kutenguliwa? Ni mpaka wawe wapinzani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha kuwaza njia zilizoshindikina, TUMIA NJIA BORA ZAIDI YAO.... wanadhania wao ndo wanakuwa zaidi ya WENGINE...

Wasipokaa mguu sawa ndio mambo yanaekelea huko, watu watake matters into their own hands
 
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?
Wako Wengi saaana ila pia Jeshi la Polisi wanahusika
 
K
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?

View: https://vm.tiktok.com/ZMrKd6we3/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data - Apps on Google Play
 
Sasa shida yake ni nini? Mtu akiwa na mawazo todauti na ulichofikiria basi ana tatizo kwenye elimu yake?
Kuwa na mawazo tofauti siyo vibaya. Vibaya ni kuwa na mawazo yasiyo sahihi au kutokuona jambo lililo dhahiri. Hivi kweli mlikuwa mnasubiri huyu DC awaambie kuwa mwaka 2020 CCM waliweka mazingira ya kuengua wapinzani na madiwani walipitishwa kwa nguvu? Mbona hili lilikuwa dhahiri kabisa? Hofu yangu ni kuwa kitu ambacho kilitokea dhahiri tena hadharani kama hicho tulikuwa hatukijui basi tuna shida kubwa. NB: tusifiche ujinga wetu kwenye kivuli cha mawazo mbadala!!
 
Siasa za Vyama vya Upinzani katika nchi za Kiafrika ni Ngumu sana sana.
Ndio maana akina Mchungani wanarudia Chama tawala.
RIP Mchungaji Christopher Mtikila.
 
Back
Top Bottom