Gari za kike.Hebu fafanua, hapo kubeba kikapu unamaanisha nini
Wajuzi wanasema hii gari ikifika speed 130 inakosa balansi kabisa tofauti na wenzake Kuna runx na AlexHabari wana jukwaa, moja kwa moja kwenye mada.
Kuna aina hii ya magari yanaitwa TOYOTA FIELDER naona kwa hapa bongo ni machache sana na ukikaa barabarani kuyaonayanapita ni nadra sana. Shida ni nini? Pia nimefatilia yanapouzwa yanakuwa na kilometer nyingi sana, mengi siyo chini ya 100,000km.
Kwa nini watanzania hawayapendi sana
View attachment 2785595View attachment 2785596View attachment 2785597View attachment 2785598
View attachment 2785594
Nakupa sababu zangu,hapa sina lengo baba ila ni maoni binafsi tu. 1.Mwonekano sio mzuriHabari wana jukwaa, moja kwa moja kwenye mada.
Kuna aina hii ya magari yanaitwa TOYOTA FIELDER naona kwa hapa bongo ni machache sana na ukikaa barabarani kuyaonayanapita ni nadra sana. Shida ni nini? Pia nimefatilia yanapouzwa yanakuwa na kilometer nyingi sana, mengi siyo chini ya 100,000km.
Kwa nini watanzania hawayapendi sana
View attachment 2785595View attachment 2785596View attachment 2785597View attachment 2785598
View attachment 2785594
Nimeshapiga road test na exact model kama uliyoweka pichani lake ni la 2012.Habari wana jukwaa, moja kwa moja kwenye mada.
Kuna aina hii ya magari yanaitwa TOYOTA FIELDER naona kwa hapa bongo ni machache sana na ukikaa barabarani kuyaonayanapita ni nadra sana. Shida ni nini? Pia nimefatilia yanapouzwa yanakuwa na kilometer nyingi sana, mengi siyo chini ya 100,000km.
Kwa nini watanzania hawayapendi sana
View attachment 2785595View attachment 2785596View attachment 2785597View attachment 2785598
View attachment 2785594
Mbona Avensis kuanzia T250 iko poa sana na ina muonekano tofauti na hizo zingine ulizotaja?Fielder,Mark X zio,Alteza guita,Toyota Avensis- Gari fulani zenye muonekano wa gari za kubeba kikapu.
Hawa wajuzi watakuwa ni wale wajuaji ambao gari ikiwa chini wanainyanyua.Wajuzi wanasema hii gari ikifika speed 130 inakosa balansi kabisa tofauti na wenzake Kuna runx na Alex