Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Loooo hapo utakuwa unajitafutia mwenyewe kuulizwa uraia wako.Eti kofia moja, kwa utaratibu wa chama chetu.
Tuanze na Mwenyekiti ajivue au mmvue cheo kimojawapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loooo hapo utakuwa unajitafutia mwenyewe kuulizwa uraia wako.Eti kofia moja, kwa utaratibu wa chama chetu.
Tuanze na Mwenyekiti ajivue au mmvue cheo kimojawapo
Naona ni kati ya vijna wa form 4 walio kosa ajira za polisUnaota wewe, au sijui unadhani uko Facebook/meta?
Chama cha kina HamzaUnapingana na mwongozo wa Chama?
Chadema haiwezi kuwa na mazuzu kama wewe.Mimi pia ni CHADEMA mwenzio
Wewe kweli ni chawa mwenye njaaa.Magufuli safari na kazi yake alishaimaliza tumuache apumzike kwa amani huko aliko kwa sasa hana kauli tena!
Na waliifanya kwa ustadi mkubwa sana ndiyo tunawaona kina covid 19 pale mjengoni na hawaguswiKazi waliyotumwa walishaimaliza, Biashara ya Utumwa ilifanywa na hao watu.
Ndiyo maana leo hii mh Mbowe yupo lupango akiteseka kama mhalifu kisa tu aliwakatalia kununuliwa kama watumwa.Ni wakati sasa CCM iwaulize balozi Bashiru na Mwalimu Polepole namna walivyoweza kununua wapinzani kutoka CHADEMA...
Mungu ndio ajuaye!Hawezi kupumzika kwa amani mtu mshenzi kama yule.
Asante Mungu kwa kutuondolea huyu shetani bila umwagaji damu.[emoji120][emoji120]
Mtazamo!Hapana, hana amani yoyote ile
Polepole, alisogezwa Bungeni, ili kwenda kusimamia ile "ATAKE ASITAKE, TUTAMLAZIMISHA!".Ni wakati sasa CCM iwaulize balozi Bashiru na Mwalimu Polepole namna walivyoweza kununua wapinzani kutoka CHADEMA...
Ili iwe fundishoMtasema yote mwaka huu
Uishi milele .Hawezi kupumzika kwa amani mtu mshenzi kama yule.
Asante Mungu kwa kutuondolea huyu shetani bila umwagaji damu.🙏🙏
Ulitaka kuandika nini yatima? Nenda kafanye hija chato kwenye kabuli la huyo jahili wenu aliyepo kuzimu.Uishi mile.
Bora umemueleza.Chadema haiwezi kuwa na mazuzu kama wewe.
Anazingua sana na kutuona hatuna akili ya kujua upi mchele zipi pumbaBora umemueleza.
Ww ndo hujui kbs yaan Mbowe asipende hela hahahahaNi wakati sasa CCM iwaulize balozi Bashiru na Mwalimu Polepole namna walivyoweza kununua wapinzani kutoka CDM.
Kila mwanasiasa ana dau la kununuliwa. Mfano Dkt.Slaa, Dk.Masinji, Lijualikali, Halima Mdee, Yule aliyekuwa mbunge wa Alumeru n.k
Nawakubali Tundu Lissu na Mbowe maana hawana dau labda wazibwe midomo.
Nashindwa kukuelewa, wewe ni kinyonga au popo??? Simamia na kuitetea unachokiamini. Ref Uzi wako wa Juzi.Magufuli safari na kazi yake alishaimaliza tumuache apumzike kwa amani huko aliko kwa sasa hana kauli tena!