Kwanini Hayati Dkt John Pombe Magufuli aliwafuta uongozi Humphrey Polepole na Dkt Bashiru Ally?

Hoja ni kwamba hawa watu ni Magufuli Hayati ndio aliwaondoa kwenye chama wala si Mama Samia Suluhu
 
Sawa umesomeka na ndivyo ilivyo!
 
Br Bashiru anahasira sana
 
Mmemsikia Mzee Wasira kwenye issue hii ya bashiru??? Bora walimalize ila wakilifanyia kazi Bashiru kakalia kuti kavu.
 
Mmemsikia Mzee Wasira kwenye issue hii ya bashiru??? Bora walimalize ila wakilifanyia kazi Bashiru kakalia kuti kavu.
Team jiwe yote lazima isambaratishwe kabisa ndiyo nchi itakaa sawa
 
Umebakia Jina tu baada ya mjomba wako Michombero kukuwacha yatima
Nasikia alikuacha na mimba? Lakini usijali tupo tutasaidia kulea hiyo mimba. Kwa sasa tupo Shabaha Mbezi beach njoo uchukue pesa ya matumizi.
 
Nasikia alikuacha na mimba? Lakini usijali tupo tutasaidia kulea hiyo mimba. Kwa sasa tupo Shabaha Mbezi beach njoo uchukue pesa ya matumizi.
Sukuma gang kwisha habari zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…