Kwanini Hayati Magufuli aliamua kumlinda Askofu Malasusa kwa nguvu zote?

Kwanini Hayati Magufuli aliamua kumlinda Askofu Malasusa kwa nguvu zote?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
 
Rais hawezi kumlinda yeyote kwenye mambo ya kiroho.
Na kama ilikuwa ni criminal case, huyo Malasusa si angepelekwa polisi/mahakamani tu?
Magufuli alizuia hilo?
 
Kwenye dini kuna makachero, kwenye kazi za serikali kote usalama wapo, shuleni wapo, bank wapo, kuna mmoja anajifanya chizi yupo maeneo flani. Kuna siku namkuta eneo la mkuu wa usalama aliniangalia nikatabasamu na kumpita.
Matumbo haya, shida kweli!

Kujifanya chizi siyo mchezo. Na hao kama kituo chake ni Dar, familia anaiacha Musoma. Akirudi likizo, familia wanajua kuwa Baba ana ofisi Dar. Kumbe ofisi ni barabarani na majalalani. Na likizo ikiisha anaiambia familia, lazima niondoke kesho, maana nahitajika kuripoti ofisini keshokutwa.
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwa nini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Waumini wepi na wa sharika zipi walimkataa na kwa kikao kipi?

Mnasahau Mwamposa aliua watu kwa mafuta yake Moshi, na akakimbilia Dar.
Polisi waliamuriwa kumwachia walipomkamata.

Mchungaji Lusekelo amejengewa barabara hadi kanisani kwake Kibangu, hamkumbuki.

Msikiti wa kimataifa kwa ufadhili wa Morocco umejengwa Dodoma, hamkumbuki!

Poleni kwa kuuguza maumivu ya Eliona Kimaro.
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwa nini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?


Magufuli anajua tumeambiwa

ZABURI 105:15
"Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu."
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Si busara kutoa tuhuma dhanifu kwa mtu ambaye hayupo na hawezi kujitetea!. Sii kazi ya serikali kuingilia uendeshaji wa ndani wa taasisi za kidini unless kunapotokea mgogoro unaoweza kuhatarisha amani!.

Huwezi kuuliza swali kwa marehemu huku sio kumtendea haki marehemu!.
JPM aachwe apumzike!.
P
 
Matumbo haya, shida kweli!

Kujifanya chizi siyo mchezo. Na hao kama kituo chake ni Dar, familia anaiacha Musoma. Akirudi likizo, familia wanajua kuwa Baba ana ofisi Dar. Kumbe ofisi ni barabarani na majalalani. Na likizo ikiisha anaiambia familia, lazima niondoke kesho, maana nahitajika kuripoti ofusini keshokutwa.
Haluna intelligensia Tanzania ya hivyo. Danganyaneni tu. Eti jalalani.
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Watasema wewe ni Mchagga tena mfuasi wa Kimaro
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Watasema wewe ni Mchagga tena mfuasi wa Kimaro
 
Back
Top Bottom