Kwani nini asiwepo mpaka sasa ?Si busara kutoa tuhuma dhanifu kwa mtu ambaye hayupo na hawezi kujitetea!. Sii kazi ya serikali kuingilia uendeshaji wa ndani wa taasisi za kidini unless kunapotokea mgogoro unaoweza kuhatarisha amani!.
Huwezi kuuliza swali kwa marehemu huku sio kumtendea haki marehemu!.
JPM aachwe apumzike!.
P
Question