Mchunga ng'ombe sawa. Ila eti chizi wakula chakula jalalani. Bakini na story hizo vijiweni.Un
Unabisha bure mimi yupo mtu namjua anaigiza ni mchunga ng'ombe msumbiji ni watu wa 92
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchunga ng'ombe sawa. Ila eti chizi wakula chakula jalalani. Bakini na story hizo vijiweni.Un
Unabisha bure mimi yupo mtu namjua anaigiza ni mchunga ng'ombe msumbiji ni watu wa 92
Jiwe aliwapa rushwa za kila aina watumishi wa Mungu. Zikiwemo hizo ulizozitaja ili Udikteta wake utamalakiWaumini wepi na wa sharika zipi walimkataa na kwa kikao kipi?
Mnasahau Mwamposa aliua watu kwa mafuta yake Moshi, na akakimbilia Dar.
Polisi waliamuriwa kumwachia walipomkamata.
Mchungaji Lusekelo amejengewa barabara hadi kanisani kwake Kibangu, hamkumbuki.
Msikiti wa kimataifa kwa ufadhili wa Morocco umejengwa Dodoma, hamkumbuki!
Poleni kwa kuuguza maumivu ya Eliona Kimaro.
Huyo si aliwahi kumshika matakro mtikila?Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Kwanza ni uongo pili kwa nin8 unaleta hii waksti tukijua askofu anashughulika na issue ya mchungaji mmoja mjivuni kwenye diodis yakeKama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Hivi ulifikiri kabla ya kuleta uzushi huo? Sasa Magufuli, anamsaidiaje Malasusa kuhubiri? Hao waumini unaodai walimkataa walifuatwa majumbani na polisi? Na wakaamuriwa lazima wamsikilize Malasusa!! Uongo mwingine bwana, issue ya Kimaro isiwanyang'anye mpaka uwezo wa kufikiri, haya ni mambo ya kawaida. Uongozi haujasema kwa nini wamempa likizo kama ambavyo hawakusema kwa nini walimleta Kijitonyama.Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Say what?Huyo si aliwahi kumshika matakro mtikila?
Kwa sababu Malasusa ni mtiss kama alivyo Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam. Ni vitendea kazi vya CCM huko kwenye mimbari za diniKama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Kwamba bossi hiyo sikendo haukuisikia?Say what?
Swali zuri hili....Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Na alishawahi kuja kusali pale, na mkewe naye alikuwa anasali pale.Magufuli alileta fujo kwa mwingila mwenge kanisani ,akaja kufunga benki yake kwa mtutu wa bunduki
Waumini hawakumkataa, bali kulikuwa na wachafuzi wachache ambao walikuwa wanamshambulia kwa sababu binafsi, Hakuna binadamu asiye na mapungufu, wao walizidisha mashambulizi mengi yasiyo ya kweli.Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Dadavua zaidiKama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Hakuna kitu kama hicho. Yote ni uhasama tu wa chadema kwani mpango wao akitoka mkuu wa kkkt chadema aingie mchadema mwingine bagonza. Sema waomini wakamchagua tena mtu hawampendi. Ndio maana wanahamaki ovyo barabarani.Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.
Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.
Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?