Kwanini Hayati Magufuli aliamua kumlinda Askofu Malasusa kwa nguvu zote?

Kwanini Hayati Magufuli aliamua kumlinda Askofu Malasusa kwa nguvu zote?

Waumini wepi na wa sharika zipi walimkataa na kwa kikao kipi?

Mnasahau Mwamposa aliua watu kwa mafuta yake Moshi, na akakimbilia Dar.
Polisi waliamuriwa kumwachia walipomkamata.

Mchungaji Lusekelo amejengewa barabara hadi kanisani kwake Kibangu, hamkumbuki.

Msikiti wa kimataifa kwa ufadhili wa Morocco umejengwa Dodoma, hamkumbuki!

Poleni kwa kuuguza maumivu ya Eliona Kimaro.
Jiwe aliwapa rushwa za kila aina watumishi wa Mungu. Zikiwemo hizo ulizozitaja ili Udikteta wake utamalaki
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Huyo si aliwahi kumshika matakro mtikila?
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Kwanza ni uongo pili kwa nin8 unaleta hii waksti tukijua askofu anashughulika na issue ya mchungaji mmoja mjivuni kwenye diodis yake
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Hivi ulifikiri kabla ya kuleta uzushi huo? Sasa Magufuli, anamsaidiaje Malasusa kuhubiri? Hao waumini unaodai walimkataa walifuatwa majumbani na polisi? Na wakaamuriwa lazima wamsikilize Malasusa!! Uongo mwingine bwana, issue ya Kimaro isiwanyang'anye mpaka uwezo wa kufikiri, haya ni mambo ya kawaida. Uongozi haujasema kwa nini wamempa likizo kama ambavyo hawakusema kwa nini walimleta Kijitonyama.
Epukeni kuabudu na kuwategemea wanadamu, mnamkufuru Mungu Bure, kanisa linao watumishi wengi na wa kutosha.
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Kwa sababu Malasusa ni mtiss kama alivyo Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam. Ni vitendea kazi vya CCM huko kwenye mimbari za dini
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Swali zuri hili....
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Waumini hawakumkataa, bali kulikuwa na wachafuzi wachache ambao walikuwa wanamshambulia kwa sababu binafsi, Hakuna binadamu asiye na mapungufu, wao walizidisha mashambulizi mengi yasiyo ya kweli.
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Dadavua zaidi
 
JPM alikuwa na maono, ndio maana aliona maono kwa Malasusa, akaamua kumlinda.. kwa ajili ya kizazi cha kesho. Ona sasa ameibuka tena.
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Kama mnakumbuka Waumini wa kanisa la KKKT walimkataa Askofu Malasusa kutokana na tuhuma mbalimbali alizokua nazo.

Cha ajabu Serikali ya Rais Magufuli ikaamua kumlinda Askofu Malasusa kwa kumpatia ulinzi binafsi na kuhakikisha kwamba kwa lazima anaendesha ibada kinyume na matakwa ya waumini.

Hua najiuliza ni kwanini Rais Magufuli aliamua kutumia nguvu kubwa kumlinda Malasusa?
Hakuna kitu kama hicho. Yote ni uhasama tu wa chadema kwani mpango wao akitoka mkuu wa kkkt chadema aingie mchadema mwingine bagonza. Sema waomini wakamchagua tena mtu hawampendi. Ndio maana wanahamaki ovyo barabarani.
 
Back
Top Bottom