Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Joni aliwaogopa sana 1. Ben nkapa 2, jk 3. Lowasa

Hawa ndio walimdekeza. Wakina mahita, mapuli na mkama ndio wakawa mashine za kutekeleza ubabe wake.

Pinda na sumaye alikuwa anawaona kama mawaziri wenzake.

Liedo kuna siku likamtuma NW kwa john kuhusu issue fulani, ritha akijibiwa mbovu, nae akampelekea Yelo kama ilivo.

Edo akamuwakia pombe na kumtaka ajieleze kwa nin asimfutwe kazi. Joni akazima hapo hapo na kupelekwa UJEREMANI (in jiwe voice) na media zikatangaza.

Ni kweli mwamba alikuwa na kibetri mix feruz
 
Kama aliweza kuwaambia huko pwani bakini na mavi yenu atashindwa nini kuwaambia hao wazee wanye mavi yao iwe lami? Mzee alikua anapenda sana mavi hatuelewi kwanini.
😁😁😁😁😁😁 Eti ndio baba wa Pili wa wapumbavu fulani 🤣🤣
 
Weka rekodi sawa,anakubalika na wajinga wengi wasioelewa Nini wanataka
 
Sasa mtu wa hivyo Ni binadamu kweli au mnyama? Sijui aliwezaje kuwa Rais
 
Alikuwa mtoto haramu kwenye ndoa Sasa ulitaka iwaje?

Ingawa sio sawa kumkubali mtu na kumlea then umnyanyase na hii ndio imeleta tabia mbaya na roho ya ukatili kwa Mwendazake sababu ya malezi mabaya ya baba Yake wa Kambo na Ufuska wa mom yake.

Kwa.maelezo haya yako simlaumu Tena maana amekulia mazingira ya kunyanyaswa.
 
Vipi saizi miundombinu haijengwi?
Miundombinu mingi ya south ilijengwa na makaburu,Mandela ndio kabisaa hakujenga sana,bora kipindi cha muhuni Jacob Zuma,Mbeki na Mandela ni wanasiasa zaidi kuliko utendaji,sijakanyaga tangu ramaphosa awe Rais ila South ilijengwa na makaburu,ngozi nyeusi inawaza tumbo tu na kuiba
 
Hakunaga mtoto haramu wewe,, kwahiyo ulitaka mama yake afe na genye zake nyie ndo mnaofanya wanawake watoe mimba kumbe na kutupa watoto,
baba wa kambo alitakiwa kumkataa tangu mimba kumkubali kinafiki na kumpa jina lilikuwa kosa sana maana hakuishi kile alichokikubali,,

Usidhihaki wazazi wa wenzio labda kama ulijizaa peke yako,, maana ukisema ufuska wa mama yake manake na wewe mamako ni fuska vile vile huyo mama yenu aliyepo ikulu huo ufuska unamuhusu tena huyu ndo balaa,,

Nimetoa hayo maelezo ya maisha ya hayati ili kupinga aliyeingiza ishu za uchawi na bla bla nyingine hasa kuhusu mzazi na dada yake
 
Weka rekodi sawa,anakubalika na wajinga wengi wasioelewa Nini wanataka
Yani wewe unaonekana una kiwango cha juu cha ujinga. Huwezi kuona mawazo yako ndo yanafaa kuliko wengine. Kwahyo kwenye ukoo wako wote walikuwa hawampendi? Au na waliompenda pia wamo kwenye hilo kundi la wajinga? Acheni dharau halaf ukute mtu mwenyewe wa hovyo tu mdomo mzima meno yameungua chaaa
 
Kwamba corona iliua viongozi wake? Umelisema pale juu nikakuvumilia naona unalirudia.

Kama hivyo ndivyo unavyoamini nikupe pole mkuu
 
Marehemu asemwi acha chuki za kisiasa wewe!!!Hakuna aliyekamilika kaka hata wewe una mapungufu jitazame vizuri
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama hamuwezi kulipa mia mbili kwenye pantoni muogelee🤣🤣🤣🤣🤣Kigamboni hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…