Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
Screenshot_20221009-153528.png


Hii nchi kwanini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana

Kwanini Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
 
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
View attachment 2381679

Hii nchi kwa nini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana

Kwa nin Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
Shhhhh.......!!! Tafadhali usiwaseme hao ni ndugu zetu katika Imaan, na huko ndiko alikozaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) pale Macca na kufia Madina
 
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
View attachment 2381679

Hii nchi kwa nini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana

Kwa nin Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?

Wewe kila siku waarabu tu, tutafute hela aise,

Kwa taarifa yako, upende usipende waarabu ni ndugu zetu haswaa katika imani, na unavyoendelea kutiririsha mada zako za uchonganishi/ubaguzi usifikiri utatubadilisha na kufuata matendo yako, ishia huko huko mzee..

Hakuna jamii watu wake wakarimu, wana imani na huruma kama waarabu, japo sio wote, lakini most of them wako poa haswaaa.

Olenimala nkoi? Au niandike kichina utanielewa?
 
Tatizo sio wao,tatizo ni sisi...mijitu kila siku inaskia mateso ya huko na bado inaenda tu. Kama sio kukosa akili ni nini
Hapana, wengi wanaoenda huko wanakuwa hawana elimu kuhusu mateso ya huko
Serikali ilitangaza rasmi tunasusia hawa watu italeta muamko
 
Hapana, wengi wanaoenda huko wanakuwa hawana elimu kuhusu mateso ya huko
Serikali ilitangaza rasmi tunasusia hawa watu italeta muamko

Huwa unapata faida gani kuwachukia/sema waarabu vibaya? Hivi watoto wako watajifunza nini kutoka kwa baba mzazi kama wewe kila kukicha kuwasema waarabu, aise unakazi😅 Mungu aniepushie mbali haya

Bhujiku ng'waka
 
Huwa unapata faida gani kuwachukia/sema waarabu vibaya? Hivi watoto wako watajifunza nini kutoka kwa baba mzazi kama wewe kila kukicha kuwasema waarabu, aise unakazi[emoji28] Mungu aniepushie mbali haya

Bhujiku ng'waka
Ila nyie wavaa kobazi akili hamna, hivi kwa nn wewe mmakonde unajiona pia ni mwarabu kisa tu una Imani sawa na wao?
 
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
View attachment 2381679

Hii nchi kwa nini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana

Kwa nin Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
Dubai huko si wanalishwa mavi kabisa?
 
Back
Top Bottom