Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Asilimia kubwa ya watanzania ni waislamu, hivyo mtu kama wewe usipende kuunganishwa na waarabu ni wewe. Sisi waisilamu tunapenda na kufurahia kuunganishwa na hao ndugu zetu katika imani. Upende usipende wale ni ndugu zetu, tunawapenda kwa ajili ya Allah, karibu katika uisilamu bhabhaa, toleho nkoi Glenn!
Slaverly of the mind....Afadhali ile minyororo ya miguuni waliyotufunga ya kutuuza kuliko hii minyororo ya akili waliotuachia kupitia dini yao.
 
Kwani wamelazimishwa kwenda huko?

Wao wenyewe wanataka kufanyiwa hivyo ili wapate pesa wakija huku watambe.

Sio Waafrika tu hata kuna watu kutoka nchi maskini za Asia Kusini kama Sri Lanka wanafanyiwa ushenzi huohuo
 
Kuna mijamaa ya Zanzibar huwaambii kiti kuhusu waarabu
Hawana tofauti na wakristo na uyahudi/Israel,Israel hata iue watu kiasi gani,huwezi kusikia wakristo kwa umoja wao(Hawa wakristo weusi)wakilaani nchi ya Israel,ndio kwanza watatafuta vifungu vya bibilia ku justfy na kuipongeza,kama Taifa teule la Mungu!!!!
Kuna kitu hakipo Sawa katika vichwa vya watu waliotawaliwa na kufanywa watumwa kwa muda mrefu.
 
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
View attachment 2381679

Hii nchi kwanini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana

Kwanini Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
Waarabu ni watu wakatili Sana duniani na hawana hata chembe ya huruma kabisa shenz type, halafu eti ndio wamekuja na dini, Dah! Hovyo kabisa
 
Wewe kila siku waarabu tu, tutafute hela aise,

Kwa taarifa yako, upende usipende waarabu ni ndugu zetu haswaa katika imani, na unavyoendelea kutiririsha mada zako za uchonganishi/ubaguzi usifikiri utatubadilisha na kufuata matendo yako, ishia huko huko mzee..

Hakuna jamii watu wake wakarimu, wana imani na huruma kama waarabu, japo sio wote, lakini most of them wako poa haswaaa.

Olenimala nkoi? Au niandike kichina utanielewa?
Kama kweli we unaundugu na hawa kima hawa, basi na wewe ni mkatili kama wao
 
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
View attachment 2381679

Hii nchi kwanini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana

Kwanini Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
Mh mmmm. Haya
 
Wewe kila siku waarabu tu, tutafute hela aise,

Kwa taarifa yako, upende usipende waarabu ni ndugu zetu haswaa katika imani, na unavyoendelea kutiririsha mada zako za uchonganishi/ubaguzi usifikiri utatubadilisha na kufuata matendo yako, ishia huko huko mzee..

Hakuna jamii watu wake wakarimu, wana imani na huruma kama waarabu, japo sio wote, lakini most of them wako poa haswaaa.

Olenimala nkoi? Au niandike kichina utanielewa?
Mkuu mimi ni muislamu na ningependa uweke angalau ushahidi wa hadithi kuthibitisha maneno yako hasa hapo kwenye "waarabu ni ndugu zetu katika imani"

Lini uislamu uliangalia ethnicity?
 
Mkuu mimi ni muislamu na ningependa uweke angalau ushahidi wa hadithi kuthibitisha maneno yako hasa hapo kwenye "waarabu ni ndugu zetu katika imani"

Lini uislamu uliangalia ethnicity?





Historia haifutiki ya ukombozi wa visiwa vyetu vya Zanzibar kutoka katika makucha ya Wareno. Oman baada ya wao kujikombowa na madhila chini ya utawala
wa Kireno kutoka 1508 hadi 1631 ndio ikawa sababu ya
kukombolewa Zanzibar.

Imam Seif alifanya ukombozi wa visiwa hivi. Alikubali maombi ya wazee wa Visiwa hivi na akatuma majeshi na kwenda Mombasa na kuishambulia
Ngome ya Yesu katika mwaka 1661. Majeshi hayo ya Waoman waliuteka mji wa Mombasa lakini hawa kuweza kuwafukuza Wareno.

Mtawala mpya wa Oman alipopatikana Imam Seif bin
Sultan Al Yarubi (Qaidul Ardh) akatuma majahazi 18
yenye jumla ya askari 3000
kutoka makabila mbalimbali
ya Mashariki ya kati yakiongozwa na Jemedari
Mkuu wa kabila la kibulushi
Kutoka pwani ya Makarani
Jimbo la Baluchistan la Uajemi. Jemedari Amir Shahdad Chotah.

Tunakumbuka historia ya watu wa Oman na tunajuwa
na kuthamini roho za raia zao waliopoteza maisha yao kwaajili yetu Wazanzibari na hatutaweza
kusahau mchango wao watu wa Oman.

Hatutawasahau wazee walio kwenda Oman kuomba msaada wa Jeshi la kuja kutukombowa kutokana na unyama na mateso ya Wareno waliowatendea wazee wetu wa hapa Zanzibar na wa huko Oman.

UJUMBE WA WATU 8

1) Mwinyi Nguti wa Mwinyi
Mwinzangu, mzee wa Waswahili wa Mombasa.

2) Mwishihali Bin Ndari
3) Maalim Ndao Bin Haji
4) Mwinyi Mole Bin Haji
5) Shekh Ahmed Al - Malindi
6) Mtomato wa Mtorogo
7) Kubo wa Mwamzungu
( mzee wa kidigo)
8)Shahame Bin Shoka
(wa kisiwa cha Pemba)

Mwenyezi Mungu awarehemu na kuwalipa pepo maana ndio sababu ya Uislamu ukatamalak visiwani petu. Kama si Rehma zake Mwenyezi Mungu leo tungali kuwa na msalaba vifuani mwetu.

KARIBU sana Mfalme wa Oman Zanzibar tungelifurahi kama ungelitutembelea hapa visiwani. Tunamuomba Rais wetu Hussein Mwinyi aione historia yetu na ya Waoman kwa moyo na jicho lenye faraja na aweze kumualika Mfalme wa Oman kuja tembea katika visiwa vyetu vilivyo Sheni utamaduni wa nchi mbali mbali khususana wa watu wa Oman.
 
Asilimia kubwa ya watanzania ni waislamu, hivyo mtu kama wewe usipende kuunganishwa na waarabu ni wewe. Sisi waisilamu tunapenda na kufurahia kuunganishwa na hao ndugu zetu katika imani. Upende usipende wale ni ndugu zetu, tunawapenda kwa ajili ya Allah, karibu katika uisilamu bhabhaa, toleho nkoi Glenn!
Wavaa kobazi wa bongo ni wajinga, hivi kwa nn mnajihisi na nyie ni waarabu kisa dini? Mna ujinga sana.
Mlishaona mkristo akisema ndugu zake wazungu kida tu wazungu wengi ni wakristo?
 
Wavaa kobazi wa bongo ni wajinga, hivi kwa nn mnajihisi na nyie ni waarabu kisa dini? Mna ujinga sana.
Mlishaona mkristo akisema ndugu zake wazungu kida tu wazungu wengi ni wakristo?
Si kusema tu na kuolewa mnaolewa na wachungaji wa kizungu



1665401401048.png
 
Hili jamaa sijui limeolewa na muarabu?? Kila siku linakeshaga kuwasifia humu
Kwahiyo unataka niwachukie ama kusapoti haters wanaowazunguka!!

Slaverly of the mind....Afadhali ile minyororo ya miguuni waliyotufunga ya kutuuza kuliko hii minyororo ya akili waliotuachia kupitia dini yao.
Unazungumzia minyororo ipi hiyo? Unafuata zile picha za kuchorwa vitabuni ikionyesha waafrika wakiteswa!! Bado tu tuna mawazo ya namna hiyo!!!

Hebu lete picha halisi inayoonyesha waarabu wakifanya huo ushenzi mliokaririshwa!!!

Mkuu mimi ni muislamu na ningependa uweke angalau ushahidi wa hadithi kuthibitisha maneno yako hasa hapo kwenye "waarabu ni ndugu zetu katika imani"

Lini uislamu uliangalia ethnicity?
WAISILAMU WOTE NI NDUGU

Aya katika Qur'an tukufu inasema👇🏽

إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ فَأَصْلِحُوا بَيْنَ أَخَوَيْكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
Al-Hujurat 49:10
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe.


KATIKA maisha yake, mwanadamu analazimika kuwa na mahusiano baina yake na watu wengine. Mahusiano hayo kwa lugha rahisi yanaitiwa Udugu. Udugu umegawanyika katika sehemu nne. Udugu wa kuzaliwa (damu), udugu wa ndoa, udugu wa ubinadamu na udugu wa imani.


Udugu wa damu una mipaka yake, ndoa hata ubinadamu pia una mipiaka yake. Lakini udugu wenye nguvu na unaotiliwa mkazo sana na Uislamu ni udugu wa imani. Udugu huu ni ule unaotokana na watu kuwa na imani moja.

Udugu huu ndio ambao IshaAllah tutautizama katika mada yetu hii. Allah (s.w.) anatupa khabari katika Qur'an tukufu sura ya 49:10: "Kwa hakika Waislamu wote ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu (msipuuze jambo la kupatanisha) ili mrehemewe".

Kwa mujibu wa aya hii tunafahamishwa kuwa Waislamu wote ni ndugu moja, ummah mmoja na ni sawa na mwili mmoja ambao kidole kimoja tu kikipata maumivu mwili wote unakosa raha na amani.

Vile vile aya hii inatuonesha kuwa Uislamu hauna mipaka ya jiografia ya mtaa kwa mtaa, wilaya kwa wilaya, mkoa kwa mkoa, nchi kwa nchi na kadhalika. Bali Waislamu wote kokote waliko ni ndugu moja na ummah mmoja ni sawa na ndugu wa baba mmoja na mama mmoja au hata zaidi ya hapo, tatizo la mmoja wao linakuwa ni tatizo la Waislamu wote kote duniani bila kujali tofauti za kabila, rangi, hadhi nafasi na kadhalika kama tufahamishavyo katika Qur'an 49:13:

"Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanamume (mmoja, Adamu) na yule mwanamke (mmoja, Hawwa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane. Hakika ahishimiwaye sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi..." (49:13)

Kama nilivyokwishaeleza hapo juu, kuwa Uislamu ni ummah mmoja na hatuna mipaka ya jiografia. Ummah huu mmoja wa Kiislamu unaitwa "Ummat l-Islam" yaani Ummah wa Kiislamu.

Mipaka hii ya kijiografia tunayoiona leo iliwekwa na wakoloni kwa lengo la kutaka kututawala kwa kuanza kutugawa, ili kurahisisha utawala wao.

Waislamu kote ulimwenguni ni sawa na mwili mmoja, hivyo raha ya Muislamu mmoja ni raha ya wote na tatizo la Muislamu mmoja ni tatizo la wote.

Yanayotokea leo ulimwenguni dhidi ya Uislamu kama vile Chechnya, Bosnia, Cossovo, Kashmir, Afghanistan, Palestina na kadhalika yanatakiwa yamguse kila Muislamu popote alipo hapa duniani na tatizo hilo lishughulikishe hasa vichwa vya Waislamu na kuangalia jinsi ya kulipatia ufumbuzi stahiki
 
Hao waarabu baadhi yao wana roho za kishetanii kabisa najua waarabu koko wa huku lazima waje wawatetee,,,,na umasikini tu ndio unapelekea haya yote,Africa tungekua matajiri haya yote yasingetokea!
 
Back
Top Bottom