Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wapi imeandikwa "waarabu ni ndugu zetu katika imani" ? Naona unazunguka mbuyu na swali langu la pili ni lini uislamu ulikuwa ni dini ya ethnicity ?
Kingine keep in mind waarabu nao wapo wana dini nyenginezo mfano
Baháʼí , Druze, Alawites, Manichaeism, Bábism, Yazidism, Mandaeism, Yarsanism, Samaritanism, Shabakism, Ishikism, Ali-Illahism, Alevism, Yazdânism na Zoroastrianism .
Rudi ujibu swali upya .
Kitu kidogo unashindwa kuelewa
Mwarabu muislamu ni ndugu zetu katika imani, asie muislamu hana undugu na sisi,,, na kwa mzungu , mchina, mhindi hivyo hivyo
N.k n.k n.k