Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Hawana tofauti na wakristo na uyahudi/Israel,Israel hata iue watu kiasi gani,huwezi kusikia wakristo kwa umoja wao(Hawa wakristo weusi)wakilaani nchi ya Israel,ndio kwanza watatafuta vifungu vya bibilia ku justfy na kuipongeza,kama Taifa teule la Mungu!!!!
Kuna kitu hakipo Sawa katika vichwa vya watu waliotawaliwa na kufanywa watumwa kwa muda mrefu.
Kwahiyo unataka niwachukie ama kusapoti haters wanaowazunguka!!


Unazungumzia minyororo ipi hiyo? Unafuata zile picha za kuchorwa vitabuni ikionyesha waafrika wakiteswa!! Bado tu tuna mawazo ya namna hiyo!!!

Hebu lete picha halisi inayoonyesha waarabu wakifanya huo ushenzi mliokaririshwa!!!


WAISILAMU WOTE NI NDUGU

Aya katika Qur'an tukufu inasema👇🏽

إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ فَأَصْلِحُوا بَيْنَ أَخَوَيْكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
Al-Hujurat 49:10
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe.


KATIKA maisha yake, mwanadamu analazimika kuwa na mahusiano baina yake na watu wengine. Mahusiano hayo kwa lugha rahisi yanaitiwa Udugu. Udugu umegawanyika katika sehemu nne. Udugu wa kuzaliwa (damu), udugu wa ndoa, udugu wa ubinadamu na udugu wa imani.

Udugu wa damu una mipaka yake, ndoa hata ubinadamu pia una mipiaka yake. Lakini udugu wenye nguvu na unaotiliwa mkazo sana na Uislamu ni udugu wa imani. Udugu huu ni ule unaotokana na watu kuwa na imani moja.

Udugu huu ndio ambao IshaAllah tutautizama katika mada yetu hii. Allah (s.w.) anatupa khabari katika Qur'an tukufu sura ya 49:10: "Kwa hakika Waislamu wote ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu (msipuuze jambo la kupatanisha) ili mrehemewe".

Kwa mujibu wa aya hii tunafahamishwa kuwa Waislamu wote ni ndugu moja, ummah mmoja na ni sawa na mwili mmoja ambao kidole kimoja tu kikipata maumivu mwili wote unakosa raha na amani.

Vile vile aya hii inatuonesha kuwa Uislamu hauna mipaka ya jiografia ya mtaa kwa mtaa, wilaya kwa wilaya, mkoa kwa mkoa, nchi kwa nchi na kadhalika. Bali Waislamu wote kokote waliko ni ndugu moja na ummah mmoja ni sawa na ndugu wa baba mmoja na mama mmoja au hata zaidi ya hapo, tatizo la mmoja wao linakuwa ni tatizo la Waislamu wote kote duniani bila kujali tofauti za kabila, rangi, hadhi nafasi na kadhalika kama tufahamishavyo katika Qur'an 49:13:

"Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanamume (mmoja, Adamu) na yule mwanamke (mmoja, Hawwa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane. Hakika ahishimiwaye sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi..." (49:13)

Kama nilivyokwishaeleza hapo juu, kuwa Uislamu ni ummah mmoja na hatuna mipaka ya jiografia. Ummah huu mmoja wa Kiislamu unaitwa "Ummat l-Islam" yaani Ummah wa Kiislamu.

Mipaka hii ya kijiografia tunayoiona leo iliwekwa na wakoloni kwa lengo la kutaka kututawala kwa kuanza kutugawa, ili kurahisisha utawala wao.

Waislamu kote ulimwenguni ni sawa na mwili mmoja, hivyo raha ya Muislamu mmoja ni raha ya wote na tatizo la Muislamu mmoja ni tatizo la wote.

Yanayotokea leo ulimwenguni dhidi ya Uislamu kama vile Chechnya, Bosnia, Cossovo, Kashmir, Afghanistan, Palestina na kadhalika yanatakiwa yamguse kila Muislamu popote alipo hapa duniani na tatizo hilo lishughulikishe hasa vichwa vya Waislamu na kuangalia jinsi ya kulipatia ufumbuzi stahiki
Haya mfia dini
 
Kuna video niliwah kuona jamaa wa kiarabu alikuwa anakata vipande vya nyama kutoka kwenye mwili wa mtu mweusi anawatupia tai walikuwa wengi sana baadae akawaachia ule mwili waliushambulia baada ya dakika chache ikawa inaonekana mifupa tu

Nyingine nikaona jamaa anamshoot mtu mweusi tena mchana kweupe,huyo mtu alijitahid kukimbia lakin baadae lisasi zilimpata na alivyoanguka yule mwarabu akaenda tena akamumiminia lisasi nying sana
 
Huwa unapata faida gani kuwachukia/sema waarabu vibaya? Hivi watoto wako watajifunza nini kutoka kwa baba mzazi kama wewe kila kukicha kuwasema waarabu, aise unakazi😅 Mungu aniepushie mbali haya

Bhujiku ng'waka
Kwani na wao si wanajiona kama wazungu kisa eti ni wakristo?
 
Kuna video niliwah kuona jamaa wa kiarabu alikuwa anakata vipande vya nyama kutoka kwenye mwili wa mtu mweusi anawatupia tai walikuwa wengi sana baadae akawaachia ule mwili waliushambulia baada ya dakika chache ikawa inaonekana mifupa tu

Nyingine nikaona jamaa anamshoot mtu mweusi tena mchana kweupe,huyo mtu alijitahid kukimbia lakin baadae lisasi zilimpata na alivyoanguka yule mwarabu akaenda tena akamumiminia lisasi nying sana


Hii ni sandakalawe sio 😅 tutafute hela aise

Bhujiku ng'waka!
 
Yaan huyu mtu jamn khaaa anakeraa,ata upumbavu una nafuu juu yake

Kwahiyo mnalazimisha wote tuwe kitu kimoja kuwachukia hawa ndugu zetu katika imani!!!! Ili iwe furaha kwenu sio!

Qur'an 👇🏾
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqara 2:120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.


الَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ يَتْلُونَهُ حَقَّ تِلَاوَتِهِ أُولَٰئِكَ يُؤْمِنُونَ بِهِ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِهِ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ
Al-Baqarah 2:121
Wale tulio wapa Kitabu, wakakisoma kama ipasavyo kusomwa, hao ndio kweli wanakiamini. Na wanao kikataa basi hao ndio wenye kukhasiri.

يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ
Al-Baqarah 2:122
Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na hakika Mimi nikakufadhilisheni kuliko wengineo wote.

وَاتَّقُوا يَوْمًا لَا تَجْزِي نَفْسٌ عَنْ نَفْسٍ شَيْئًا وَلَا يُقْبَلُ مِنْهَا عَدْلٌ وَلَا تَنْفَعُهَا شَفَاعَةٌ وَلَا هُمْ يُنْصَرُونَ
Al-Baqarah 2:123
Na iogopeni siku ambayo hatamfaa mtu mwenziwe kwa lolote, wala hakitakubaliwa kwake kikomboleo, wala maombezi hayatamfaa, wala hawatanusuriwa.


Bhujiku ng'waka mwanike!
 
Kwa kweli unatakiwa ukapimwe,wewe hukustahili kuishi karne hii,ulitakiwa uishi karne ya utumwa ukauzwe kwa hao waarabu wakufyatue marinda mana hujitambui

Kwahiyo nikapimwe kwa sababu tu nawapenda ndugu zangu sio 😅 kwahiyo ningeonyesha kuwachukia ungekuja na hiyo sentensi!!! Hahhhhaaaa,
 
Wewe nae watu wanazungumzia ukatali umekazna na imani,wenzio kunyanyaswa ni sawa tu kisa anaowanyanyasa mko nao kiimani ,acha basi kujizima data hakuna anaependa kunyanyaswa

Una ushahidi kama wananyanyaswa? Au umesimuliwa!!!

Hebu nikuulize, huku je! Hawapati kipondo? Na mshahara wanaolipwa unafanana na uarabuni!!!
 
Hili Tatizo Tumejitakia Wenyewe Waafrika Hasa Sisi wa Africa Mashariki

Miaka ya Nyuma Hawa wafanyakazi Walikuwa wanaenda kuchukuliwa kwenye nchi kama Ufilipino,New Zealand etc ikaonekana kuwa hizo nchi ziko makini sana na raia wake usalama,Afya na malipo

Serikali zetu za Africa Mashariki Haya ni makosa yenu mwaka 2020 Nazani Shirika la Haki za Binadamu liliripoti Kesi (270)za unyanyasaji dhidi ya watu weusi Huo Saudi Arabia

Waafrika wanalipwa mishahara midogo sana $5000 Kwa mwezi kitu ambacho ni unyanyasaji lakini Kwa sababu ya Umaskini



Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Binafs niliwah kuwaokoa wadada wawili mkenya na mganda na bahati yao walituona tunapita mtaan wakiwa gorofan wakaita kwa kiswahili wasaidiwe nikaenda ubaloz wao ndio wakaokolewa walikuwa wamekondeana. Nataka niwaambie hakuna race shetan kama waarabu. Pamoja kuletewa dini lakin haijawabadilisha hawa jamaa ni mashetan mno.
 
Hili Tatizo Tumejitakia Wenyewe Waafrika Hasa Sisi wa Africa Mashariki

Miaka ya Nyuma Hawa wafanyakazi Walikuwa wanaenda kuchukuliwa kwenye nchi kama Ufilipino,New Zealand etc ikaonekana kuwa hizo nchi ziko makini sana na raia wake usalama,Afya na malipo

Serikali zetu za Africa Mashariki Haya ni makosa yenu mwaka 2020 Nazani Shirika la Haki za Binadamu liliripoti Kesi (270)za unyanyasaji dhidi ya watu weusi Huo Saudi Arabia

Waafrika wanalipwa mishahara midogo sana $5000 Kwa mwezi kitu ambacho ni unyanyasaji lakini Kwa sababu ya Umaskini



Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app

Dola 5000 ni ndogo??!!! Huwa tunawachukuliaje waarabu kwa mfano!! Tuacheni chuki, tutafute hela bwana


Waarabu ni nyoka kabisa, hawafai wana roho za kishetani

Hivi kuna wakatili duniani kama wabantu!! Japo sio wote... waarabu wametuzidi mbali mnoo, ni jamii ambayo watu wake wanaongoza duniani kwa ukarimu, ustaarabu, wana imani, huruma, roho nzuri n.k n.k. nimeishinao nawajua zaidi yako ewe unaefuata mkumbo.


Tuacheni chuki, tutafute hela mzee. Olenimala nkoi???



Binafs niliwah kuwaokoa wadada wawili mkenya na mganda na bahati yao walituona tunapita mtaan wakiwa gorofan wakaita kwa kiswahili wasaidiwe nikaenda ubaloz wao ndio wakaokolewa walikuwa wamekondeana. Nataka niwaambie hakuna race shetan kama waarabu. Pamoja kuletewa dini lakin haijawabadilisha hawa jamaa ni mashetan mno.


Ni vizuri ukaweka ushahidi, sasa hiki unachotuletea hapa tutakiamini vipi!!! Au ndio kama kawaida pamoja na wenzio kuwazushia na kuwapakazia uongo!!!! Tatizo lenu bwana mnalazimisha vitu ambavyo havipo na haviingii akilini, na mnatutaka wengine tuamini uongo na upotoshaji.


Mpende msipende hao ni ndugu zetu katika imani, tunawapenda na tuko pamoja nao, bega kwa bega.

Ewe Mwenyezi Mungu walinde ndugu zetu waislamu/waarabu popote walipo dhidi ya watu wabaya,,,Ameen


Dugwisanga nkoi
 
Dola 5000 ni ndogo??!!! Huwa tunawachukuliaje waarabu kwa mfano!! Tuacheni chuki, tutafute hela bwana




Hivi kuna wakatili duniani kama wabantu!! Japo sio wote... waarabu wametuzidi mbali mnoo, ni jamii ambayo watu wake wanaongoza duniani kwa ukarimu, ustaarabu, wana imani, huruma, roho nzuri n.k n.k. nimeishinao nawajua zaidi yako ewe unaefuata mkumbo.


Tuacheni chuki, tutafute hela mzee. Olenimala nkoi???






Ni vizuri ukaweka ushahidi, sasa hiki unachotuletea hapa tutakiamini vipi!!! Au ndio kama kawaida pamoja na wenzio kuwazushia na kuwapakazia uongo!!!! Tatizo lenu bwana mnalazimisha vitu ambavyo havipo na haviingii akilini, na mnatutaka wengine tuamini uongo na upotoshaji.


Mpende msipende hao ni ndugu zetu katika imani, tunawapenda na tuko pamoja nao, bega kwa bega.

Ewe Mwenyezi Mungu walinde ndugu zetu waislamu/waarabu popote walipo dhidi ya watu wabaya,,,Ameen


Dugwisanga nkoi
Bahat mbaya mi cbishan chief ila tafuta tovuti za serikali ya misri waarabu wenzao wamepiga marufuku watu wao kufanya dizain hizo za kazi Saudia. Unajidanganya kwamba kwasabsbu ni dini moja basi anaruhusiwa kufanya lolote. Mungu hana ushirika na dhambi chief.
 
Kwa nini Waafrika mmeshindwa kuendeleza nchi zenu mmebaki mnakimbilia kudoea nchi za watu na kufanya kazi za utumwa


Jiulize kwa nini Nyinyi mnaojifanya waafrika mkaivamia Zanzibar na kuuwa watu kwa maelfu mwisho mumeifanya nchi huijui kaskazini wala kusini kila kitu kinaenda songombingo??
 
Saudi Arabia ni jangwani kabisa, hakuna kitu kingine zaidi ya Mafuta, Africa ina kila rasilimali ikiwa ni pamoja na hayo mafuta, ina ardhi yenye rutuba, hali ya hewa nzuri na mvua zinazonyesha mwaka mzima.
Ni aibu kubwa Waafrika kukimbia bara hilo kwenda jangwani.

Kichwa cha mwafrika kimejaa mbege na gongo na majisifu mengi , kula sana ugali na kupenda ngono wakati wote
 
Back
Top Bottom