Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Kwahiyo unataka niwachukie ama kusapoti haters wanaowazunguka!!


Unazungumzia minyororo ipi hiyo? Unafuata zile picha za kuchorwa vitabuni ikionyesha waafrika wakiteswa!! Bado tu tuna mawazo ya namna hiyo!!!

Hebu lete picha halisi inayoonyesha waarabu wakifanya huo ushenzi mliokaririshwa!!!


WAISILAMU WOTE NI NDUGU

Aya katika Qur'an tukufu inasema👇🏽

إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ فَأَصْلِحُوا بَيْنَ أَخَوَيْكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
Al-Hujurat 49:10
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe.


KATIKA maisha yake, mwanadamu analazimika kuwa na mahusiano baina yake na watu wengine. Mahusiano hayo kwa lugha rahisi yanaitiwa Udugu. Udugu umegawanyika katika sehemu nne. Udugu wa kuzaliwa (damu), udugu wa ndoa, udugu wa ubinadamu na udugu wa imani.

Udugu wa damu una mipaka yake, ndoa hata ubinadamu pia una mipiaka yake. Lakini udugu wenye nguvu na unaotiliwa mkazo sana na Uislamu ni udugu wa imani. Udugu huu ni ule unaotokana na watu kuwa na imani moja.

Udugu huu ndio ambao IshaAllah tutautizama katika mada yetu hii. Allah (s.w.) anatupa khabari katika Qur'an tukufu sura ya 49:10: "Kwa hakika Waislamu wote ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu (msipuuze jambo la kupatanisha) ili mrehemewe".

Kwa mujibu wa aya hii tunafahamishwa kuwa Waislamu wote ni ndugu moja, ummah mmoja na ni sawa na mwili mmoja ambao kidole kimoja tu kikipata maumivu mwili wote unakosa raha na amani.

Vile vile aya hii inatuonesha kuwa Uislamu hauna mipaka ya jiografia ya mtaa kwa mtaa, wilaya kwa wilaya, mkoa kwa mkoa, nchi kwa nchi na kadhalika. Bali Waislamu wote kokote waliko ni ndugu moja na ummah mmoja ni sawa na ndugu wa baba mmoja na mama mmoja au hata zaidi ya hapo, tatizo la mmoja wao linakuwa ni tatizo la Waislamu wote kote duniani bila kujali tofauti za kabila, rangi, hadhi nafasi na kadhalika kama tufahamishavyo katika Qur'an 49:13:

"Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanamume (mmoja, Adamu) na yule mwanamke (mmoja, Hawwa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane. Hakika ahishimiwaye sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi..." (49:13)

Kama nilivyokwishaeleza hapo juu, kuwa Uislamu ni ummah mmoja na hatuna mipaka ya jiografia. Ummah huu mmoja wa Kiislamu unaitwa "Ummat l-Islam" yaani Ummah wa Kiislamu.

Mipaka hii ya kijiografia tunayoiona leo iliwekwa na wakoloni kwa lengo la kutaka kututawala kwa kuanza kutugawa, ili kurahisisha utawala wao.

Waislamu kote ulimwenguni ni sawa na mwili mmoja, hivyo raha ya Muislamu mmoja ni raha ya wote na tatizo la Muislamu mmoja ni tatizo la wote.

Yanayotokea leo ulimwenguni dhidi ya Uislamu kama vile Chechnya, Bosnia, Cossovo, Kashmir, Afghanistan, Palestina na kadhalika yanatakiwa yamguse kila Muislamu popote alipo hapa duniani na tatizo hilo lishughulikishe hasa vichwa vya Waislamu na kuangalia jinsi ya kulipatia ufumbuzi stahiki
Sidhani kama inawezekana mtu kuwa mpumbavu zaidi yako hata kama mtu akiwekewa dau la mabilioni.
 
Sidhani kama inawezekana mtu kuwa mpumbavu zaidi yako hata kama mtu akiwekewa dau la mabilioni.

Hatujafundishwa kuchukia mtu, awe muislamu, asie muislamu, mweupe au mweusi, kwahiyo mimi sio mpumbavu nichukie mtu bila sababu, hata kama ametokea mtu akanikosea kwa chochote kile sitamchukia bali nitachukia matendo yake.

Bhujiku ng'waka!
 
Hatujafundishwa kuchukia mtu, awe muislamu, asie muislamu, mweupe au mweusi, kwahiyo mimi sio mpumbavu nichukie mtu bila sababu, hata kama ametokea mtu akanikosea kwa chochote kile sitamchukia bali nitachukia matendo yake.

Bhujiku ng'waka!
Sawa nkoi....ila jitambue wewe ni mpumbavu. Na dini yako ndio imekufanya uwe hivo.
 
Asilimia kubwa ya watanzania ni waislamu, hivyo mtu kama wewe usipende kuunganishwa na waarabu ni wewe. Sisi waisilamu tunapenda na kufurahia kuunganishwa na hao ndugu zetu katika imani. Upende usipende wale ni ndugu zetu, tunawapenda kwa ajili ya Allah, karibu katika uisilamu bhabhaa, toleho nkoi Glenn!
Ndugu zangu pelekeni watoto shule, ona hii akili, heri Mungu anipe adhabu ya UFUKARA kuliko ya UJINGA, ujinga ni mzigo mzito mno.
FB_IMG_1664412303172.jpg
 
Asilimia kubwa ya watanzania ni waislamu, hivyo mtu kama wewe usipende kuunganishwa na waarabu ni wewe. Sisi waisilamu tunapenda na kufurahia kuunganishwa na hao ndugu zetu katika imani. Upende usipende wale ni ndugu zetu, tunawapenda kwa ajili ya Allah, karibu katika uisilamu bhabhaa, toleho nkoi Glenn!
Hahahaha!!!
 
Kwahiyo unataka niwachukie ama kusapoti haters wanaowazunguka!!


Unazungumzia minyororo ipi hiyo? Unafuata zile picha za kuchorwa vitabuni ikionyesha waafrika wakiteswa!! Bado tu tuna mawazo ya namna hiyo!!!

Hebu lete picha halisi inayoonyesha waarabu wakifanya huo ushenzi mliokaririshwa!!!


WAISILAMU WOTE NI NDUGU

Aya katika Qur'an tukufu inasema👇🏽

إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ فَأَصْلِحُوا بَيْنَ أَخَوَيْكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
Al-Hujurat 49:10
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe.


KATIKA maisha yake, mwanadamu analazimika kuwa na mahusiano baina yake na watu wengine. Mahusiano hayo kwa lugha rahisi yanaitiwa Udugu. Udugu umegawanyika katika sehemu nne. Udugu wa kuzaliwa (damu), udugu wa ndoa, udugu wa ubinadamu na udugu wa imani.

Udugu wa damu una mipaka yake, ndoa hata ubinadamu pia una mipiaka yake. Lakini udugu wenye nguvu na unaotiliwa mkazo sana na Uislamu ni udugu wa imani. Udugu huu ni ule unaotokana na watu kuwa na imani moja.

Udugu huu ndio ambao IshaAllah tutautizama katika mada yetu hii. Allah (s.w.) anatupa khabari katika Qur'an tukufu sura ya 49:10: "Kwa hakika Waislamu wote ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu (msipuuze jambo la kupatanisha) ili mrehemewe".

Kwa mujibu wa aya hii tunafahamishwa kuwa Waislamu wote ni ndugu moja, ummah mmoja na ni sawa na mwili mmoja ambao kidole kimoja tu kikipata maumivu mwili wote unakosa raha na amani.

Vile vile aya hii inatuonesha kuwa Uislamu hauna mipaka ya jiografia ya mtaa kwa mtaa, wilaya kwa wilaya, mkoa kwa mkoa, nchi kwa nchi na kadhalika. Bali Waislamu wote kokote waliko ni ndugu moja na ummah mmoja ni sawa na ndugu wa baba mmoja na mama mmoja au hata zaidi ya hapo, tatizo la mmoja wao linakuwa ni tatizo la Waislamu wote kote duniani bila kujali tofauti za kabila, rangi, hadhi nafasi na kadhalika kama tufahamishavyo katika Qur'an 49:13:

"Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanamume (mmoja, Adamu) na yule mwanamke (mmoja, Hawwa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane. Hakika ahishimiwaye sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi..." (49:13)

Kama nilivyokwishaeleza hapo juu, kuwa Uislamu ni ummah mmoja na hatuna mipaka ya jiografia. Ummah huu mmoja wa Kiislamu unaitwa "Ummat l-Islam" yaani Ummah wa Kiislamu.

Mipaka hii ya kijiografia tunayoiona leo iliwekwa na wakoloni kwa lengo la kutaka kututawala kwa kuanza kutugawa, ili kurahisisha utawala wao.

Waislamu kote ulimwenguni ni sawa na mwili mmoja, hivyo raha ya Muislamu mmoja ni raha ya wote na tatizo la Muislamu mmoja ni tatizo la wote.

Yanayotokea leo ulimwenguni dhidi ya Uislamu kama vile Chechnya, Bosnia, Cossovo, Kashmir, Afghanistan, Palestina na kadhalika yanatakiwa yamguse kila Muislamu popote alipo hapa duniani na tatizo hilo lishughulikishe hasa vichwa vya Waislamu na kuangalia jinsi ya kulipatia ufumbuzi
Wapi imeandikwa "waarabu ni ndugu zetu katika imani" ? Naona unazunguka mbuyu na swali langu la pili ni lini uislamu ulikuwa ni dini ya ethnicity ?

Kingine keep in mind waarabu nao wapo wana dini nyenginezo mfano

Baháʼí , Druze, Alawites, Manichaeism, Bábism, Yazidism, Mandaeism, Yarsanism, Samaritanism, Shabakism, Ishikism, Ali-Illahism, Alevism, Yazdânism na Zoroastrianism .

Rudi ujibu swali upya .
 




Historia haifutiki ya ukombozi wa visiwa vyetu vya Zanzibar kutoka katika makucha ya Wareno. Oman baada ya wao kujikombowa na madhila chini ya utawala
wa Kireno kutoka 1508 hadi 1631 ndio ikawa sababu ya
kukombolewa Zanzibar.

Imam Seif alifanya ukombozi wa visiwa hivi. Alikubali maombi ya wazee wa Visiwa hivi na akatuma majeshi na kwenda Mombasa na kuishambulia
Ngome ya Yesu katika mwaka 1661. Majeshi hayo ya Waoman waliuteka mji wa Mombasa lakini hawa kuweza kuwafukuza Wareno.

Mtawala mpya wa Oman alipopatikana Imam Seif bin
Sultan Al Yarubi (Qaidul Ardh) akatuma majahazi 18
yenye jumla ya askari 3000
kutoka makabila mbalimbali
ya Mashariki ya kati yakiongozwa na Jemedari
Mkuu wa kabila la kibulushi
Kutoka pwani ya Makarani
Jimbo la Baluchistan la Uajemi. Jemedari Amir Shahdad Chotah.

Tunakumbuka historia ya watu wa Oman na tunajuwa
na kuthamini roho za raia zao waliopoteza maisha yao kwaajili yetu Wazanzibari na hatutaweza
kusahau mchango wao watu wa Oman.

Hatutawasahau wazee walio kwenda Oman kuomba msaada wa Jeshi la kuja kutukombowa kutokana na unyama na mateso ya Wareno waliowatendea wazee wetu wa hapa Zanzibar na wa huko Oman.

UJUMBE WA WATU 8

1) Mwinyi Nguti wa Mwinyi
Mwinzangu, mzee wa Waswahili wa Mombasa.

2) Mwishihali Bin Ndari
3) Maalim Ndao Bin Haji
4) Mwinyi Mole Bin Haji
5) Shekh Ahmed Al - Malindi
6) Mtomato wa Mtorogo
7) Kubo wa Mwamzungu
( mzee wa kidigo)
8)Shahame Bin Shoka
(wa kisiwa cha Pemba)

Mwenyezi Mungu awarehemu na kuwalipa pepo maana ndio sababu ya Uislamu ukatamalak visiwani petu. Kama si Rehma zake Mwenyezi Mungu leo tungali kuwa na msalaba vifuani mwetu.

KARIBU sana Mfalme wa Oman Zanzibar tungelifurahi kama ungelitutembelea hapa visiwani. Tunamuomba Rais wetu Hussein Mwinyi aione historia yetu na ya Waoman kwa moyo na jicho lenye faraja na aweze kumualika Mfalme wa Oman kuja tembea katika visiwa vyetu vilivyo Sheni utamaduni wa nchi mbali mbali khususana wa watu wa Oman.

Naona haujaelewa bado swali langu ni wapi imeandikwa " waarabu ni ndugu zetu katika imani?" Kama ipo weka ushahidi .

Jua unapoongelea waarabu unaongelea ethnicity na si dini jua kutofautisha kati ya hayo mawili ,kingine ni kwamba waarabu wana dini nyingi tu ukiondoa uislamu.

Kuna wakristo ,Baháʼí Faith, Druze, Alawites, Manichaeism, Bábism, Yazidism, Mandaeism, Yarsanism, Samaritanism, Shabakism, Ishikism, Ali-Illahism, Alevism, Yazdânism na Zoroastrianism .

Uje ujibu swali vizuri , swali la nyongeza pia ni lini uislamu ukawa ni ethnic based religion?
 
Kwani wamelazimishwa kwenda huko?

Wao wenyewe wanataka kufanyiwa hivyo ili wapate pesa wakija huku watambe.

Sio Waafrika tu hata kuna watu kutoka nchi maskini za Asia Kusini kama Sri Lanka wanafanyiwa ushenzi huohuo
So walipoenda waliambiwa wazi kuwa kazi mojawapo ni kumuomyosha mmbwa . Acha kutetea uovu ndugu otherwise wewe pia utakua ni muovu.
No wonder watu wenye fikra kama zenu ndo hufanya waafillrika kudharauliwa
 
Naona haujaelewa bado swali langu unachowaza ni wapi imeandikwa " waarabu ni ndugu zetu katika imani?" Kama ipo weka ushahidi .

Jua unapoongelea waarabu unaongelea ethnicity na si dini jua kutofautisha kati ya hayo mawili ,kingine ni kwamba waarabu wana dini nyingi tu ukiondoa uislamu.

Kuna wakristo ,Baháʼí Faith, Druze, Alawites, Manichaeism, Bábism, Yazidism, Mandaeism, Yarsanism, Samaritanism, Shabakism, Ishikism, Ali-Illahism, Alevism, Yazdânism na Zoroastrianism .

Uje ujibu swali vizuri , swali la nyongeza pia ni lini uislamu ukawa ni ethnic based religion?
Hamna
 
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
View attachment 2381679

Hii nchi kwanini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana

Kwanini Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
mimi ata kama ukinipa mshahara milioni 100 kwa mwezi sifanyi kazi huko,waarabu wameshushiwa uislam lakini makatili sana aisee!!!,wanachinja wa2 da,wakti wa utumwa walikuwa wakipasua matumba ya wanawake wa kiafrika wenye mimba na kuonyesha wake zao namna mtoto anavokaa tumboni,walikuwa wakipandisha waafrika minazi na kujifunza kulenga shabaha!!!ni shida juu ya shida
 
KAMA ILIVYO KWA ENZI ZA UTUMWA, WATU WEUSI WALIHUSIKA KWENDA KUPIGANA, KUKUSANYA MATEKA NA KUWAPELEKEA WAARABU. KWA SASA KUNA MAKAPUNI YANAKUSANYA WAFANYAKAZI HUKO NA HUKO KISHA KUWAPELEKA UARABUNI KWA AHADI ZA MAISHA MAZURI.

ADUI YUKO MIONGONI MWETU!
 
Back
Top Bottom