Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Jiulize kwa nini Nyinyi mnaojifanya waafrika mkaivamia Zanzibar na kuuwa watu kwa maelfu mwisho mumeifanya nchi huijui kaskazini wala kusini kila kitu kinaenda songombingo??
Unaongelea kina nani?maana zanzibar haikuwa na waarabu wala ngoz nyeupe yoyote, walituvamia na kututawala kimabavu kupitia Usultan
 
Unaongelea kina nani?maana zanzibar haikuwa na waarabu wala ngoz nyeupe yoyote, walituvamia na kututawala kimabavu kupitia Usultan

Kwahiyo mtu mweusi tu ndie alikua na uhalali wa pale?? Huijui historia, bali unaendeshwa na chuki.
 
Bahat mbaya mi cbishan chief ila tafuta tovuti za serikali ya misri waarabu wenzao wamepiga marufuku watu wao kufanya dizain hizo za kazi Saudia. Unajidanganya kwamba kwasabsbu ni dini moja basi anaruhusiwa kufanya lolote. Mungu hana ushirika na dhambi chief.

Kuwa muislamu isimfanye muislamu huyo aende tofauti na aliyotukataza Mwenyezi Mungu, kutesa ni dhambi, kuuwa watu wasio na hatia ni dhambi n.k n.k

Sasa, unaposema wanateswa, wanauliwa, je habari hizi umezipata wapi!!! Je! Una ushahidi juu ya hilo?

Msiwe watu wa kuamini mnachokaririshwa n then mnaamini hapo hapo,, kuna viumbe vimejawa chuki kwahiyo kumezesha uongo wengine ni jambo la kawaida sana kwao.
 
Binafs niliwah kuwaokoa wadada wawili mkenya na mganda na bahati yao walituona tunapita mtaan wakiwa gorofan wakaita kwa kiswahili wasaidiwe nikaenda ubaloz wao ndio wakaokolewa walikuwa wamekondeana. Nataka niwaambie hakuna race shetan kama waarabu. Pamoja kuletewa dini lakin haijawabadilisha hawa jamaa ni mashetan mno.
Yaani nyinyi munapita nje wao wako ghorofani wakasikia munaongea kiswahili?

Hii tumbaku ya leo kwa kweli imekolea!!!!!
 
Kuna video niliwah kuona jamaa wa kiarabu alikuwa anakata vipande vya nyama kutoka kwenye mwili wa mtu mweusi anawatupia tai walikuwa wengi sana baadae akawaachia ule mwili waliushambulia baada ya dakika chache ikawa inaonekana mifupa tu

Nyingine nikaona jamaa anamshoot mtu mweusi tena mchana kweupe,huyo mtu alijitahid kukimbia lakin baadae lisasi zilimpata na alivyoanguka yule mwarabu akaenda tena akamumiminia lisasi nying sana
heee chafyaaa! tumbaku kali!
 
Unaongelea kina nani?maana zanzibar haikuwa na waarabu wala ngoz nyeupe yoyote, walituvamia na kututawala kimabavu kupitia Usultan


Historia haifutiki ya ukombozi wa visiwa vyetu vya Zanzibar kutoka katika makucha ya Wareno. Oman baada ya wao kujikombowa na madhila chini ya utawala
wa Kireno kutoka 1508 hadi 1631 ndio ikawa sababu ya
kukombolewa Zanzibar.

Imam Seif alifanya ukombozi wa visiwa hivi. Alikubali maombi ya wazee wa Visiwa hivi na akatuma majeshi na kwenda Mombasa na kuishambulia
Ngome ya Yesu katika mwaka 1661. Majeshi hayo ya Waoman waliuteka mji wa Mombasa lakini hawa kuweza kuwafukuza Wareno.

Mtawala mpya wa Oman alipopatikana Imam Seif bin
Sultan Al Yarubi (Qaidul Ardh) akatuma majahazi 18
yenye jumla ya askari 3000
kutoka makabila mbalimbali
ya Mashariki ya kati yakiongozwa na Jemedari
Mkuu wa kabila la kibulushi
Kutoka pwani ya Makarani
Jimbo la Baluchistan la Uajemi. Jemedari Amir Shahdad Chotah.

Tunakumbuka historia ya watu wa Oman na tunajuwa
na kuthamini roho za raia zao waliopoteza maisha yao kwaajili yetu Wazanzibari na hatutaweza
kusahau mchango wao watu wa Oman.

Hatutawasahau wazee walio kwenda Oman kuomba msaada wa Jeshi la kuja kutukombowa kutokana na unyama na mateso ya Wareno waliowatendea wazee wetu wa hapa Zanzibar na wa huko Oman.

UJUMBE WA WATU 8

1) Mwinyi Nguti wa Mwinyi
Mwinzangu, mzee wa Waswahili wa Mombasa.

2) Mwishihali Bin Ndari
3) Maalim Ndao Bin Haji
4) Mwinyi Mole Bin Haji
5) Shekh Ahmed Al - Malindi
6) Mtomato wa Mtorogo
7) Kubo wa Mwamzungu
( mzee wa kidigo)
8)Shahame Bin Shoka
(wa kisiwa cha Pemba)

Mwenyezi Mungu awarehemu na kuwalipa pepo maana ndio sababu ya Uislamu ukatamalak visiwani petu. Kama si Rehma zake Mwenyezi Mungu leo tungali kuwa na msalaba vifuani mwetu.

KARIBU sana Mfalme wa Oman Zanzibar tungelifurahi kama ungelitutembelea hapa visiwani. Tunamuomba Rais wetu Hussein Mwinyi aione historia yetu na ya Waoman kwa moyo na jicho lenye faraja na aweze kumualika Mfalme wa Oman kuja tembea katika visiwa vyetu vilivyo Sheni utamaduni wa nchi mbali mbali khususana wa watu wa Oman.
 
Shhhhh.......!!! Tafadhali usiwaseme hao ni ndugu zetu katika Imaan, na huko ndiko alikozaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) pale Macca na kufia Madina
Panua ubongo wewe.Ndugu zako gani hao Wakati wanawafanyia ukatili Waafrika wenzetu?.
 
Historia haifutiki ya ukombozi wa visiwa vyetu vya Zanzibar kutoka katika makucha ya Wareno. Oman baada ya wao kujikombowa na madhila chini ya utawala
wa Kireno kutoka 1508 hadi 1631 ndio ikawa sababu ya
kukombolewa Zanzibar.

Imam Seif alifanya ukombozi wa visiwa hivi. Alikubali maombi ya wazee wa Visiwa hivi na akatuma majeshi na kwenda Mombasa na kuishambulia
Ngome ya Yesu katika mwaka 1661. Majeshi hayo ya Waoman waliuteka mji wa Mombasa lakini hawa kuweza kuwafukuza Wareno.

Mtawala mpya wa Oman alipopatikana Imam Seif bin
Sultan Al Yarubi (Qaidul Ardh) akatuma majahazi 18
yenye jumla ya askari 3000
kutoka makabila mbalimbali
ya Mashariki ya kati yakiongozwa na Jemedari
Mkuu wa kabila la kibulushi
Kutoka pwani ya Makarani
Jimbo la Baluchistan la Uajemi. Jemedari Amir Shahdad Chotah.

Tunakumbuka historia ya watu wa Oman na tunajuwa
na kuthamini roho za raia zao waliopoteza maisha yao kwaajili yetu Wazanzibari na hatutaweza
kusahau mchango wao watu wa Oman.

Hatutawasahau wazee walio kwenda Oman kuomba msaada wa Jeshi la kuja kutukombowa kutokana na unyama na mateso ya Wareno waliowatendea wazee wetu wa hapa Zanzibar na wa huko Oman.

UJUMBE WA WATU 8

1) Mwinyi Nguti wa Mwinyi
Mwinzangu, mzee wa Waswahili wa Mombasa.

2) Mwishihali Bin Ndari
3) Maalim Ndao Bin Haji
4) Mwinyi Mole Bin Haji
5) Shekh Ahmed Al - Malindi
6) Mtomato wa Mtorogo
7) Kubo wa Mwamzungu
( mzee wa kidigo)
8)Shahame Bin Shoka
(wa kisiwa cha Pemba)

Mwenyezi Mungu awarehemu na kuwalipa pepo maana ndio sababu ya Uislamu ukatamalak visiwani petu. Kama si Rehma zake Mwenyezi Mungu leo tungali kuwa na msalaba vifuani mwetu.

KARIBU sana Mfalme wa Oman Zanzibar tungelifurahi kama ungelitutembelea hapa visiwani. Tunamuomba Rais wetu Hussein Mwinyi aione historia yetu na ya Waoman kwa moyo na jicho lenye faraja na aweze kumualika Mfalme wa Oman kuja tembea katika visiwa vyetu vilivyo Sheni utamaduni wa nchi mbali mbali khususana wa watu wa Oman.
Mzee wa C&P
 
Historia haifutiki ya ukombozi wa visiwa vyetu vya Zanzibar kutoka katika makucha ya Wareno. Oman baada ya wao kujikombowa na madhila chini ya utawala
wa Kireno kutoka 1508 hadi 1631 ndio ikawa sababu ya
kukombolewa Zanzibar.

Imam Seif alifanya ukombozi wa visiwa hivi. Alikubali maombi ya wazee wa Visiwa hivi na akatuma majeshi na kwenda Mombasa na kuishambulia
Ngome ya Yesu katika mwaka 1661. Majeshi hayo ya Waoman waliuteka mji wa Mombasa lakini hawa kuweza kuwafukuza Wareno.

Mtawala mpya wa Oman alipopatikana Imam Seif bin
Sultan Al Yarubi (Qaidul Ardh) akatuma majahazi 18
yenye jumla ya askari 3000
kutoka makabila mbalimbali
ya Mashariki ya kati yakiongozwa na Jemedari
Mkuu wa kabila la kibulushi
Kutoka pwani ya Makarani
Jimbo la Baluchistan la Uajemi. Jemedari Amir Shahdad Chotah.

Tunakumbuka historia ya watu wa Oman na tunajuwa
na kuthamini roho za raia zao waliopoteza maisha yao kwaajili yetu Wazanzibari na hatutaweza
kusahau mchango wao watu wa Oman.

Hatutawasahau wazee walio kwenda Oman kuomba msaada wa Jeshi la kuja kutukombowa kutokana na unyama na mateso ya Wareno waliowatendea wazee wetu wa hapa Zanzibar na wa huko Oman.

UJUMBE WA WATU 8

1) Mwinyi Nguti wa Mwinyi
Mwinzangu, mzee wa Waswahili wa Mombasa.

2) Mwishihali Bin Ndari
3) Maalim Ndao Bin Haji
4) Mwinyi Mole Bin Haji
5) Shekh Ahmed Al - Malindi
6) Mtomato wa Mtorogo
7) Kubo wa Mwamzungu
( mzee wa kidigo)
8)Shahame Bin Shoka
(wa kisiwa cha Pemba)

Mwenyezi Mungu awarehemu na kuwalipa pepo maana ndio sababu ya Uislamu ukatamalak visiwani petu. Kama si Rehma zake Mwenyezi Mungu leo tungali kuwa na msalaba vifuani mwetu.

KARIBU sana Mfalme wa Oman Zanzibar tungelifurahi kama ungelitutembelea hapa visiwani. Tunamuomba Rais wetu Hussein Mwinyi aione historia yetu na ya Waoman kwa moyo na jicho lenye faraja na aweze kumualika Mfalme wa Oman kuja tembea katika visiwa vyetu vilivyo Sheni utamaduni wa nchi mbali mbali khususana wa watu wa Oman.

Maaaachallah,, Allah akulipe kila la heri sheikh,, upo vizuri, na umejawa imani. Ahsante
 
Duh sijauliza yote hayo....narudia swali mwenyeji wa pale nani?

Narudia tena, hujui historia ya pale, waulize wenyeji wanaoijua historia kiundani ya zanzibar Mohamed Said Gavana bitimkongwe n.k n.k, vile vile asiekua mwenyeji wa pale ni kwamba amehamia na kukulia na kuzaa pale, utasema huyo sio mzanzibari/mwenyeji wa pale!!! Sisi waislamu tunajua kuishi na watu kwa vizuri, ila ninyi wengi wenu hampo hivyo, hata kama mwarabu amekuja enzi za uhuru, kabla au baada na akafa huku ameacha vizazi na vizazi vikiendelea kuzaana na bado mnawachukia na kufikia kusema warudi kwao 🤣🤣🤣 wewe na haters wenzio mutakufa mutaiacha ardhi ikiendelea kukaliwa, kwa vyovyote vile chuki haina maana.

Aise kuwa muislamu ni neema kubwa sana Alhamdulilah, na hili la mama samia na mwinyi kutembelea oman/nchi za kiarabu linawaumiza sana, poleni bhabhaa, habali ndio hiyo bhabhaa mcqueenen😅
 
Narudia tena, hujui historia ya pale, waulize wenyeji wanaoijua historia kiundani ya zanzibar Mohamed Said Gavana bitimkongwe n.k n.k, vile vile asiekua mwenyeji wa pale ni kwamba amehamia na kukulia na kuzaa pale, utasema huyo sio mzanzibari/mwenyeji wa pale!!! Sisi waislamu tunajua kuishi na watu kwa vizuri, ila ninyi wengi wenu hampo hivyo, hata kama mwarabu amekuja enzi za uhuru, kabla au baada na akafa huku ameacha vizazi na vizazi vikiendelea kuzaana na bado mnawachukia na kufikia kusema warudi kwao 🤣🤣🤣 wewe na haters wenzio mutakufa mutaiacha ardhi ikiendelea kukaliwa,

Aise kuwa muislamu ni neema kubwa sana Alhamdulilah, na hili la mama samia na mwinyi kutembelea oman/nchi za kiarabu linawaumiza sana, poleni bhabhaa, habali ndio hiyo bhabhaa mcqueenen😅
Kwahyo jibu apo ni lipi? Hivi mbn maelezo mengi wakati swali unaweza kujibu kwa neno moja tu?
Narudia tena swali...Mwenyeji pale ni race gani?
 
UJUMBE WA WATU 8

1) Mwinyi Nguti wa Mwinyi
Mwinzangu, mzee wa Waswahili wa Mombasa.

2) Mwishihali Bin Ndari
3) Maalim Ndao Bin Haji
4) Mwinyi Mole Bin Haji
5) Shekh Ahmed Al - Malindi
6) Mtomato wa Mtorogo
7) Kubo wa Mwamzungu
( mzee wa kidigo)
8)Shahame Bin Shoka
(wa kisiwa cha Pemba)
Asante sana hii historia sijawahi kuisikia, kila siku tunajifunza vitu vipya
 
Back
Top Bottom