Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Sijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio wanajadili.

Pia soma:
Au tunaongoja sheikh Mohammed Said amefariki ndio tuitane Nkurumah hall ili tukose majibu?





 

Sisi hatutaki historia ya wazee wake wala historia ya uislamu tunataka historia ya Tanganyika/Tanzania... as general
 
He's too religious
 
Kwa mtu anayeijua Kariakoo na watu wake kwa kirefu atagundua mzee Mohamed hajawahi kuandika historia ya nchi,huyo anaandika zile stories wanazosimuliana vijiweni watu jioni wanapokuwa wametoka kwenye mihangaiko yao huyu akisema hili yule akisema lile alimradi saa ziende waingie ndani kulala na wake zao.

Na kizazi kilichosimuliana hayo ni kile kilichoishia 2005 kurudi nyuma,anachofanya mzee anayakusanya anayajengea lugha ya kisomi ukichanganya na sympathy ya kidini anayoitafuta jambo linakuwa supported na jamii aliyoilenga(anaofanana nao dini) ndiyo maana ana kundi linalomsikiliza na kumuamini.
 
Research hujibiwa kwa Research. sio kwa ngonjera
 
Ngojera media zote wanazitaka ulimwengu
 
Malaria2,
Hiyo picha ya mkusanyiko wa wananchi imepigwa na Mohamed Shebe.

Shebe ndiye alikuwa mpiga picha wa kwanza wa TANU na mpiga picha wa Nyerere.

Mimi kanipiga picha yangu ya kwanza mwaka wa 1953 na ninayo hadi leo na hapa jamvini nimepata kuiweka.

Katika hiyo picha angalia mkono wa kushoto utaona kuna sehmu nyeusi.
Hapo ndipo wakikaa wanawake na huo weusi ni mabaibui.


Mohamed Shebe

Safari ya Kwanza Nyerere UNO 1955​
 
Research hujibiwa kwa Research. sio kwa ngonjera
Hakuna research pale nakwambia,research iishie wigo wa Kariakoo na Dar tu huku ikizunguka kwenye dini moja uiite research?

Utamsikia akisema hii imesomeshwa sijui chuo gani marekan mara profesa fulani aliniomba nimtumie nakala asijue wazungu humsikiliza yeyote hata kama mwendawazimu alimradi wapate kumsoma ufahamu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…