- Thread starter
- #21
Mambo mengine kuyajadili ni kupoteza muda tu, Historia ya Wazee wa Kariakoo ijadiliwe huko huko kariakoo. Nyerere aliona mbali sana
Waislam walikuwa hawana roho mbaya nae, kama nyie ingalikuwa shida tenaNyerere ali washinda abdul sykes na wazee wa pwani akili .
USifanye mchezo na elimu ya missionary wakimpika mtu anapikika kwelikweli.