Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Minjingu,
Mimi niko hapa kwa sura, sauti yangu na jina langu halisi.
Sikujificha.
Mtu anachangia anachokijua.
Mtu hachangii asichokijua.
Naamini sasa tunafahamiana.

View attachment 3188740
Mahojiano na Al Jazeera
Dar es Salaam 2006
View attachment 3188741
Mahojiano na VoA
Washington DC 2011​
Picha ,videos na audios za mahojiano na hivyo vituo ni vitu vya kawaida. Labda unioneshe ukihojiwa na BBC,DW,CNN,AL JAZEERA.
 
Picha ,videos na audios za mahojiano na hivyo vituo ni vitu vya kawaida. Labda unioneshe ukihojiwa na BBC,DW,CNN,AL JAZEERA.
Minjingu...
Rejea kwenye post yangu ya nyuma #241 nimekuwekea picha nahojiwa na Al Jazeera, Dar es Salaam 2006.

Nakuwekea picha nyingine hapo chini nahojiwa na Al Jazeera nikiwa Tanga.
Al Jazeera wamenihoji mara mbili.

1735589389841.jpeg

Al Jazeera
Sasa tuje BBC
Hapo chini ni BBC Glasgow, Scotland nafanya kipindi kinarushwa na BBC Bush House London

1735589925346.jpeg

1991
1735590161804.jpeg

Dira ya Dunia
Mahojiano na BBC London

1735590318190.jpeg

1735590515486.jpeg

Mahojiano na Regina Mziwanda
BBC Dar es Salaam
1735590801411.png

Mahojiano na DW Maktaba
1735590981642.jpeg

1735591084444.png

Mahojiano na TBC
1735591250915.jpeg

Mahojiano na Irene Azam
Kitabu cha Abdul Sykes
Minjingu,
Sijapata kuhojiwa na CNN lakini nimehojiwa na vyombo vingi sana hapa nyumbani.
 
Minjingu...
Rejea kwenye post yangu ya nyuma #241 nimekuwekea picha nahojiwa na Al Jazeera, Dar es Salaam 2006.

Nakuwekea picha nyingine hapo chini nahojiwa na Al Jazeera nikiwa Tanga.
Al Jazeera wamenihoji mara mbili.

View attachment 3188918
Al Jazeera
Sasa tuje BBC
Hapo chini ni BBC Glasgow, Scotland nafanya kipindi kinarushwa na BBC Bush House London

View attachment 3188921
1991
View attachment 3188924
Dira ya Dunia
Mahojiano na BBC London

View attachment 3188925
View attachment 3188928
Mahojiano na Regina Mziwanda
BBC Dar es Salaam
View attachment 3188931
Mahojiano na DW Maktaba
View attachment 3188934
View attachment 3188935
Mahojiano na TBC
View attachment 3188937
Mahojiano na Irene Azam
Kitabu cha Abdul Sykes
Minjingu,
Sijapata kuhojiwa na CNN lakini nimehojiwa na vyombo vingi sana hapa nyumbani.
Hii BBC ya Dira ya nini sijui si kitu kikubwa wameshahoji watu mambo ya kawaida tu. Na Voa nao huwa hawana issue sana. Yaani bado ni mambo ya kawaida tu kuhojiwa na hivyo vyombo. Mimi nadhani nikirudi nitakuonesha interviews zangu ili humu niendelee kubaki hivi hivi tu haina haja ya kujimwambafy.😁 Umri wangu ni umri wa kutopiga kelele naacha watu waone wenyewe sheikh wangu.
 
Hii BBC ya Dira ya nini sijui si kitu kikubwa wameshahoji watu mambo ya kawaida tu. Na Voa nao huwa hawana issue sana. Yaani bado ni mambo ya kawaida tu kuhojiwa na hivyo vyombo. Mimi nadhani nikirudi nitakuonesha interviews zangu ili humu niendelee kubaki hivi hivi tu haina haja ya kujimwambafy.😁 Umri wangu ni umri wa kutopiga kelele naacha watu waone wenyewe sheikh wangu.​
Minjingu...
Mimi wala sijipigii zumari langu.

Haya yote yamekuja kwa wewe kunihoji hili na lile.
Umejitakia mwenyewe.

Kwangu haya yamekuwa sehemu ya haiba na maisha yangu.

Wengi mmeumizwa na mimi kuandika historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na chama cha TANU.

Hampendezewi na huu ukweli na wengine wameonyesha uadui dhahiri dhidi yangu.

Lakini juu hayo yote ukweli ni kuwa hao walioanzisha harakati za kuunda umoja wa Waafrika wa Tanganyika kwa nia ya kudai uhuru baadhi yao ni babu zangu kwa nasaba na wengine kwa ujamaa.

Hili ndilo lililonifikisha hapa nilipo kama unavyoona vyuo nilivyoalikwa kuzungumza na vyombo vya habari vinavyokuja kunihoji.

Umewataja BBC ukidhani labda mie siwajui.

Mahojiano ya kuajiriwa nilifanyiwa na Nelville Helmes Mkuu wa Idara ya Kiswahili.

Umewataja Al Jazeera.
Hawa wamekuja nyumbani kwangu Dar es Salaam na Tanga crew nzima kunihoji.

Matayarisho ya mahojiano kwa sauti na picha ya watu hawa utastaajabu.

Wengi mfano wako wamejaribu kupambana na mimi.

Hawakuweza.
Nimewashinda kwa mbali sana.

Sababu si kuwa mimi nina akili sana.

La hasha.

Historia ya uhuru wa Tanganyika na chama cha TANU ni historia ya wazee wangu.
Nawajua.

Sihitaji kuingia maktaba kusoma chochote kuhusu wao.

Video zangu zinawavutia watazamaji wengi sana.

Nitafurahi kusikia mahojiano yako.

Kaa ukitambua kuwa, ''Mtafuta nyingi nasaba humkuta mwingi msiba.''

Tosheka na haya na endelea na maisha yako.

1735618092335.jpeg

Kulia Chama Omari Matata, Mohamed Said, Ali Saleh na aliyesimama nyuma ni (Balozi) Mohamed Maharage Juma BBC Club, Bush House, London.

1735618239876.jpeg

Hamza Kassongo Hour 2007
Taazia ya Ali Nabwa niko nyumbani kwangu Bombo Tanga,
Ali Saleh na Mohamed Ghassani wako Studio za Channel Ten Dar es Salaam​
 
Minjingu...
Mimi wala sijipigii zumari langu.

Haya yote yamekuja kwa wewe kunihoji hili na lile.
Umejitakia mwenyewe.

Kwangu haya yamekuwa sehemu ya haiba na maisha yangu.

Wengi mmeumizwa na mimi kuandika historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na chama cha TANU.

Hampendezewi na huu ukweli na wengine wameonyesha uadui dhahiri dhidi yangu.

Lakini juu hayo yote ukweli ni kuwa hao walioanzisha harakati za kuunda umoja wa Waafrika wa Tanganyika kwa nia ya kudai uhuru baadhi yao ni babu zangu kwa nasaba na wengine kwa ujamaa.

Hili ndilo lililonifikisha hapa nilipo kama unavyoona vyuo nilivyoalikwa kuzungumza na vyombo vya habari vinavyokuja kunihoji.

Umewataja BBC ukidhani labda mie siwajui.

Mahojiano ya kuajiriwa nilifanyiwa na Nelville Helmes Mkuu wa Idara ya Kiswahili.

Umewataja Al Jazeera.
Hawa wamekuja nyumbani kwangu Dar es Salaam na Tanga crew nzima kunihoji.

Matayarisho ya mahojiano kwa sauti na picha ya watu hawa utastaajabu.

Wengi mfano wako wamejaribu kupambana na mimi.

Hawakuweza.
Nimewashinda kwa mbali sana.

Sababu si kuwa mimi nina akili sana.

La hasha.

Historia ya uhuru wa Tanganyika na chama cha TANU ni historia ya wazee wangu.
Nawajua.

Sihitaji kuingia maktaba kusoma chochote kuhusu wao.

Video zangu zinawavutia watazamaji wengi sana.

Nitafurahi kusikia mahojiano yako.

Kaa ukitambua kuwa, ''Mtafuta nyingi nasaba humkuta mwingi msiba.''

Tosheka na haya na endelea na maisha yako.

View attachment 3189125
Kulia Chama Omari Matata, Mohamed Said, Ali Saleh na aliyesimama nyuma ni (Balozi) Mohamed Maharage Juma BBC Club, Bush House, London.

View attachment 3189126
Hamza Kassongo Hour 2007
Taazia ya Ali Nabwa niko nyumbani kwangu Bombo Tanga,
Ali Saleh na Mohamed Ghassani wako Studio za Channel Ten Dar es Salaam​
No. Sikulaumu sheikh wangu. Unajua ni namna tu mtu alivyozoea.ndo maana nikasema hayo bado ni ya kawaida hamna kitu kipya wameshahojiwa hata akina mpoki n.k na vyombo hivyo ni kawaida ingawa wewe vinakushtua.

Umeshawahi tembelea mbugani sheikh wangu? Kule Simba huwa hahitaji kutembea na bango kutangaza yeye ni Simba. Wewe wajipigia zumari na kucheza mwenyewe. Vijana wasema....WAJIPAKULIA MINYAMA.🤣 Next week bila shaka nitakuwa nimemaliza mapumziko nikija Tanzania nitakutafuta.

Kwa sasa nakutia moyo uendelee kumiliki jukwaa la historia.🤣 Usichoke kupost sheikh wangu.
 
No. Sikulaumu sheikh wangu. Unajua ni namna tu mtu alivyozoea.ndo maana nikasema hayo bado ni ya kawaida hamna kitu kipya wameshahojiwa hata akina mpoki n.k na vyombo hivyo ni kawaida ingawa wewe vinakushtua.

Umeshawahi tembelea mbugani sheikh wangu? Kule Simba huwa hahitaji kutembea na bango kutangaza yeye ni Simba. Wewe wajipigia zumari na kucheza mwenyewe. Vijana wasema....WAJIPAKULIA MINYAMA.🤣 Next week bila shaka nitakuwa nimemaliza mapumziko nikija Tanzania nitakutafuta.

Kwa sasa nakutia moyo uendelee kumiliki jukwaa la historia.🤣 Usichoke kupost sheikh wangu.
Minjingu...
Mimi nimezungumza Northwestern University, Chicago.

Hawa ndiyo wanaongoza ulimwenguni katika African History.

Nije leo nishtuke hapa?
Mimi sijipigii zumari.

Kile nilichoandika ndicho kilichonifikisha kote huko.

1735624388273.jpeg

Northwestern University, Evanston, Chicago​
 
Minjingu...
Mimi nimezungumza Northwestern University, Chicago.

Hawa ndiyo wanaongoza ulimwenguni katika African History.

Nije leo nishtuke hapa?
Mimi sijipigii zumari.

Kile nilichoandika ndicho kilichonifikisha hapa
🤣🤣🤣🤣🤣 Nitakujulisha nikirudi. Usijal hayo mambo madogo. Nakutia moyo
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Nitakujulisha nikirudi. Usijal hayo mambo madogo. Nakutia moyo
Minjingu...
Unadhani Northwestern University walitiwa moyo na wewe kunialika chuoni kwao kuzungumza?

Utadhani Harvard walitiwa moyo na wewe kunijumuisha katika mradi wa Dictionary of African Biography kama mwandishi na mshauri?

Wewe nani anakutia moyo kufanya mjadala na mie?
 
Minjingu...
Unadhani Northwestern University walitiwa moyo na wewe kunialika chuoni kwao kuzungumza?

Utadhani Harvard walitiwa moyo na wewe kunijumuisha katika mradi wa Dictionary of African Biography kama mwandishi na mshauri?

Wewe nani anakutia moyo kufanya mjadala na mie?
Mi nikiwa sina chakufanya, so napokuwa free naona nichat nawe angalau ku buy sometime. ila uliniambia wewe ndo mbabe jukwaa la historia. Nakupongeza sana. Kwa kweli umepost nyuzi nyingi sana mpaka zinakosa wasomaji au wachangiaji. Ila usikate tamaa sheikh wangu ni kuendelea kupambana hiyo nafasi asichukue mtu.
 
Akaandike historia ya Gaza wenzie wanavyokung’utwa aache stori za uongo na ukweli za miaka ile nyerere anapigania uhuru wazee wake wamejificha kwenye mashamba ya mihogo kigamboni leo anawajumlisha nao wapigania uhuru
Comment bara kweli kweli hii!😅🤣
 
Mi nikiwa sina chakufanya, so napokuwa free naona nichat nawe angalau ku buy sometime. ila uliniambia wewe ndo mbabe jukwaa la historia. Nakupongeza sana. Kwa kweli umepost nyuzi nyingi sana mpaka zinakosa wasomaji au wachangiaji. Ila usikate tamaa sheikh wangu ni kuendelea kupambana hiyo nafasi asichukue mtu.
Minjingu...
Tumefikia mwisho wa mjadala huu.
Hutonisikia tena.
 
Back
Top Bottom