Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Hata Yericko amepewa tuzo nyingi za undishi huko tanzania na someplaces ila sometimes anaandika pumba sana.

Mi nakupongeza hukati tamaa.na usikate tamaa hata iweje. Endelea kuwaaandikia watu.
Minjingu...
Mimi ni Yericko ni watu tofauti sana.

Sina haki ya kuzungumza tuzo zake kwa kuwa watoa tuzo siwafahamu na hii mitandao haina mwenyewe.

Wazungu wanasema, "Free for all."

Mimi kazi zangu zimechapwa na Oxford University Press, Nairobi na New York nikiwa mshiriki katika miradi yao ya historia.

Unaweza kunisoma katika Dictionary of African Biography (2011), Kamusi la volume sita lililoandikwa na waandishi 500 kutoka kila kona ya dunia.

Unaweza pia kunisoma katika Nyerere Biography (2020).

Kwenye kitabu hiki wametaja Maktaba yangu kuwa kati ya maktaba tatu zilizosheheni historia ya Julius Nyerere.

Maktaba ya kwanza ni ya Dr. Salim Ahmed Salim kisha yangu na ya tatu ni ya Brig. General Hashim Mbita.

Hii ndiyo tofauti iliyopo baina yangu na wengi.
 
Minjingu...
Mimi ni Yericko ni watu tofauti sana.

Sina haki ya kuzungumza tuzo zake kwa kuwa watoa tuzo siwafahamu na hii mitandao haina mwenyewe.

Wazungu wanasema, "Free for all."

Mimi kazi zangu zimechapwa na Oxford University Press, Nairobi na New York nikiwa mshiriki katika miradi yao ya historia.

Unaweza kunisoma katika Dictionary of African Biography (2011), Kamusi la volume sita lililoandikwa na waandishi 500 kutoka kila kona ya dunia.

Unaweza pia kunisoma katika Nyerere Biography (2020).

Kwenye kitabu hiki wametaja Maktaba yangu kuwa kati ya maktaba tatu zilizosheheni historia ya Julius Nyerere.

Maktaba ya kwanza ni ya Dr. Salim Ahmed Salim kisha yangu na ya tatu ni ya Brig. General Hashim Mbita.

Hii ndiyo tofauti iliyopo baina yangu na wengi.
Oxford Un Press etc wanachapa kazi yoyote ambayo unaweza iandika na una uwezo wa kwenda chapa huko.

Mfano:
Immodest Acts: The Life of a Lesbian Nun in Renaissance Italy: A book about a lesbian nun in Renaissance Italy.

Walichapa wao. But ni kitabu chenye ushetani.
 
Oxford Un Press etc wanachapa kazi yoyote ambayo unaweza iandika na una uwezo wa kwenda chapa huko.

Mfano:
Immodest Acts: The Life of a Lesbian Nun in Renaissance Italy: A book about a lesbian nun in Renaissance Italy.

Walichapa wao. But ni kitabu chenye ushetani.
Minjingu...
Umesema kweli lakini mimi katika Oxford University Press niko katika "catalogue: Islam, Politics, History."

Halikadhalika niko katika "catalogue" ya uandishi wa vitabu vya watoto.

Naamini umenielewa mimi na halikadhalika umewaelewa Oxford University Press.
 
Hiyo ni dhihaka.. nakutaka kumdogosha Nyerere kama ilivyodhamiri yako kuu
Kwamba kwa utu uzima wako mtu kama nyerere aliwapa watu wangapi, msaada kama huo?!
Inside10:
Ulisema umecheka nikakujibu mimi sijakutana na kichekesho katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Nimekuwekea video ya historia ya siku za mwanzo za TANU zilikuwaje.

Unasema ni dhihaka.
Mimi sifanyi dhihahaka.

Dhihaka unayo wewe unaechekeshwa na majibu nipewayo mimi.

Sasa angalia video hii:


View: https://youtu.be/ZrfyEHlxr7I?si=3u09Oy4VQVSm6cZ-
 
Minjingu...
Umesema kweli lakini mimi katika Oxford University Press niko katika "catalogue: Islam, Politics, History."

Halikadhalika niko katika "catalogue" ya uandishi wa vitabu vya watoto.

Naamini umenielewa mimi na halikadhalika umewaelewa Oxford University Press.
NLitaka tu ujue kuwa Ox Un Press wanaweza chapisha vitu mbalimbali si kwamba ni vitu vya kutisha sana kwa madini.
 
NLitaka tu ujue kuwa Ox Un Press wanaweza chapisha vitu mbalimbali si kwamba ni vitu vya kutisha sana kwa madini.
Minjingu...
Mimi sihitaji kuelezwa hilo kwani ninafanyakazi na Oxford University Press kutoka mwaka wa 2007 walipochapa kitabu changu cha kwanza na wao, "The Torch on Kilimanjaro."

Kitabu hiki kinakwenda toleo la tatu.
 
Sijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio wanajadili.

Pia soma:
Au tunaongoja sheikh Mohammed Said amefariki ndio tuitane Nkurumah hall ili tukose majibu?


Kwani wanaoyapinga humu jf siyo wazi wazi au unataka hadharani iwe wapi?
 
Mwongo huwa mwoga sana kuwekwa kitimoto...
Ni kama mwizi ukimkamata, lazima atabisha sijaiba...hata kuna uthibitisho wa cctv...
Sasa kwanini msilete uthibisho kupinga historia ya kweli badala kuleta majibu ya mihemko..
 
Minjingu...
Mimi sihitaji kuelezwa hilo kwani ninafanyakazi na Oxford University Press kutoka mwaka wa 2007 walipochapa kitabu changu cha kwanza na wao, "The Torch on Kilimanjaro."

Kitabu hiki kinakwenda toleo la tatu.
OK. Kumbe hujaanza zamani kufanya nao kazi ni miaka ya karibuni tu. Basi ndo maana. Mimi mzee wangu amefanya kazi na oxford toka mwaka 1994 na alihusika pia kwa namna flani kwenye kitabu cha Mwembechai Killings and Political Future of Tanzania. (Si mtunzi)

Anyway nakutia moyo uendelee hivyo hivyo usikate tamaa hata kama watu watachoka au wataona huna jipya. Wewe usife moyo. Andika tu.
 
OK. Kumbe hujaanza zamani kufanya nao kazi ni miaka ya karibuni tu. Basi ndo maana. Mimi mzee wangu amefanya kazi na oxford toka mwaka 1994 na alihusika pia kwa namna flani kwenye kitabu cha Mwembechai Killings and Political Future of Tanzania. (Si mtunzi)

Anyway nakutia moyo uendelee hivyo hivyo usikate tamaa hata kama watu watachoka au wataona huna jipya. Wewe usife moyo. Andika tu.
Minjingu...
Toka asubuhi na mapema nilijua hutofika mbali.

Wewe unitie moyo mie...
Hiyo video nazungumza Ikwiriri kwenye Bibi Titi Festival hivi majuzi:

 
Minjingu...
Toka asubuhi na mapema nilijua hutofika mbali.

Wewe unitie moyo mie...
Hiyo video nazungumza Ikwiriri kwenye Bibi Titi Festival hivi majuzi:

Nipo mbali sana sheikh wangu. Nipo Dubai kwa sasa mapumziko ya mwisho wa Mwaka. Mi napenda spirit uliyo nayo ya kutokata tamaa
 
Nipo mbali sana sheikh wangu. Nipo Dubai kwa sasa mapumziko ya mwisho wa Mwaka. Mi napenda spirit uliyo nayo ya kutokata tamaa
Minjingu...
Labda unifafanulie.
Sielewi unachosema.

Hii kukata tamaa unakusudia kitu gani?

Hii kunambia kuwa uko Dubai kuna uhusiano gani na mimi?

Hivi Dubai kwako ndiyo mbali sana?

Nimekuwekea video nazungumza na Watanzania kuhusu historia ya Bibi Titi Mohamed.

Hivi kweli hujui muradi wake?
Nakuwekea video nyingine niko Ikwiriri Bibi Titi Festival mwaka jana 2023:


View: https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=EOKKi3yU_yeuOJRL
 
Minjingu...
Labda unifafanulie.
Sielewi unachosema.

Hii kukata tamaa unakusudia kitu gani?

Hii kunambia kuwa uko Dubai kuna uhusiano gani na mimi?

Hivi Dubai kwako ndiyo mbali sana?

Nimekuwekea video nazungunza na Watanzania kuhusu historia ya Bibi Titi Mohamed.

Hivi kweli hujui muradi wake?


View: https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=EOKKi3yU_yeuOJRL

Ulisema ulijua nisingefika mbali ndo nimekujibu nipo mbali kwa sasa nipo Dubai sheikh wangu. Nimesema uendelee kuandika JF usikate tamaa mbona hilo ni jambo jema sheikh wangu? Hupendi weye nikutie moyo?
 
Ulisema ulijua nisingefika mbali ndo nimekujibu nipo mbali kwa sasa nipo Dubai sheikh wangu. Nimesema uendelee kuandika JF usikate tamaa mbona hilo ni jambo jema sheikh wangu? Hupendi weye nikutie moyo?inji
Minjingu...
Maana yangu hutofika mbali ni kuwa nitakushinda.

Hicho ni Kiswahili.

Mtu akikuambia "hutofika mbali" ni kuwa hujiwezi yaani una uwezo mdogo.

Hapa JF Jukwaa la Historia mimi natawala.

Sihitaji mtu wa kunibidiisha.
Post zangu zinajitosheleza.

Nimeshinda Mwandishi Bora mara mbili.

Kipi cha kunikatisha tamaa?

Sihitaji kutiwa hima na yeyote awaye yule.
 
Minjingu...
Maana yangu hutofika mbali ni kuwa nitakushinda.

Hicho ni Kiswahili.

Mtu akikuambia "hutofika mbali" ni kuwa hujiwezi yaani una uwezo mdogo.

Hapa JF Jukwaa la Historia mimi natawala.

Sihitaji mtu wa kunibidiisha.
Post zangu zinajitosheleza.

Nimeshinda Mwandishi Bora mara mbili.

Kipi cha kunikatisha tamaa?

Sihitaji kutiwa hima na yeyote awaye yule.
Oooooooh....basi hata sikujua kuwa unashindana nami. Nlijua twapeana Ilimu/darsa kumbe sheikh wangu ulikuwa unashindana? Hapana kwa sasa napumzika na nina mambo ya maana ya kufanya kuliko kushindania bure.

Endelea kuandika utashinda zaidi naona wote mwapambania tuzo we na mwenizo Yericko naye akusanya tuzo...hongereni sheikh wangu.
 
Oooooooh....basi hata sikujua kuwa unashindana nami. Nlijua twapeana Ilimu/darsa kumbe sheikh wangu ulikuwa unashindana? Hapana kwa sasa napumzika na nina mambo ya maana ya kufanya kuliko kushindania bure.

Endelea kuandika utashinda zaidi naona wote mwapambania tuzo we na mwenizo Yericko naye akusanya tuzo...hongereni sheikh wangu.
Minjingu...
Mimi nishindane na wewe na Yericko Nyerere naanzia wapi?

Mimi nishindane na wewe na Yericko Nyerre tunashindania nini?

Bahati mbaya hata sheria za uandishi huzijui sasa naanza wapi kushindana na wewe?

Mimi ni wa kukufunza wewe kama mwanafunzi si mshindani wangu.

''Ooooooooh....''
Hizo sifuri za nini?

Katika uandishi dots zinakuwa tatu tu...

Jifunze kwanza kuandika.

''Mwenizo.''
Nini hiki?

Hatuandiki kwa ''bold'' yaani ''heavy ink'' pasi na sababu.

Baada ya hayo hapo juu sasa tufahamiane:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam, Sal Davis, An Autobiography, Readit, 2023 (Amazon)

In Praise of Ancestors
(1987) Africa Events (London).
Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards
Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED
Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.

Minjingu unapaona Dubai kwako ni mbali.

Nakuandikia haya kutoka shajara yangu ya mwaka wa 1991 tarehe 23 December niko Glasgow Scotland likizo shule zimefungwa.

Nimeamka saa 5am nimepika chai na mayai ya kuchemsha niko nyumbani kwangu Cardiff, South Wales.

Nimeondoka na treni kuelekea Crewe 7.49 am.
Tumewasili Crewe 10.30 am.

Tumeondoka kuelekea Glasgow 11.25 am.

Tumewasili Glasgow 3.30 am.

Mji umefurika X Mass shoppers hakuna hata pa kutia mguu.

Nimefika Edinburgh mara kadhaa.

Nimefika hadi North Sea.

Gleneagles, North Sea, Kaskazini kabisa ya Uingereza nikifananisha na nilikotoka Kariakoo hakika ni mbali.

Mbali yako ni Dubai.

Ati mimi nishindane na wewe na Yericko Nyerere.

Naanzia wapi?
1735568569655.jpeg

Carlton Hotel, Dubai 1999
1735568923100.png

Burj Khalifa, Dubai 2016​
 
Minjingu...
Maana yangu hutofika mbali ni kuwa nitakushinda.

Hicho ni Kiswahili.

Mtu akikuambia "hutofika mbali" ni kuwa hujiwezi yaani una uwezo mdogo.

Hapa JF Jukwaa la Historia mimi natawala.

Sihitaji mtu wa kunibidiisha.
Post zangu zinajitosheleza.

Nimeshinda Mwandishi Bora mara mbili.

Kipi cha kunikatisha tamaa?

Sihitaji kutiwa hima na yeyote awaye yule.
Sheikh wangu mbona wabadili maneno?wayakana maneno yako mwenyewe?
"Minjingu...
Maana yangu hutofika mbali ni kuwa nitakushinda..."

Hayo juu ni maneno yako mwenyewe. Unayakana tena? Kweli napaswa niamini usemacho?

Kumbe unatawala jukwaa la historia? How?ooooh ni kweli unatawala. Maana wapost threads nyingi mpaka nyingine zakosa wachangiaji. Umesema vyema watawala sheikh wangu.😁
 
Sheikh wangu mbona wabadili maneno?wayakana maneno yako mwenyewe?
"Minjingu...
Maana yangu hutofika mbali ni kuwa nitakushinda..."

Hayo juu ni maneno yako mwenyewe. Unayakana tena? Kweli napaswa niamini usemacho?

Kumbe unatawala jukwaa la historia? How?ooooh ni kweli unatawala. Maana wapost threads nyingi mpaka nyingine zakosa wachangiaji. Umesema vyema watawala sheikh wangu.😁
Minjingu,
Mimi niko hapa kwa sura, sauti yangu na jina langu halisi.
Sikujificha.
Mtu anachangia anachokijua.
Mtu hachangii asichokijua.
Naamini sasa tunafahamiana.

1735576994791.jpeg

Mahojiano na Al Jazeera
Dar es Salaam 2006
1735577109176.jpeg

Mahojiano na VoA
Washington DC 2011​
 
Back
Top Bottom