Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Mwanahistoria Mohammed Said anaeleza, "Hermann von Wissmann alifanya mauwaji makubwa. Ndiye aliyemkamata na kumyonga Abushiri kisha akaendesha vita sehemu nyengine katika Tanganyika".
 

Hatua hii ina maana gani?​

Baada ya hatua ya Ujerumani kuomba radhi Watanzania kwa ukatili wakati wa ukoloni, Regina Mziwanda wa BBC amezungumza na mwanahistoria Mohamed Saidi, ambaye kwanza anaeleza maana ya hatua hiyo.
 
Upumbavu wa wanajf ni kuleta udini katika mambo ya kweli,wakati mwingine tukubali ukweli maboss

Mzee wetu analeta historia kwa vielelezo makini halafu wanatokea wapumbavu wachache wanaleta porojo zao hapa

Tukubali ukweli waislamu walikuwa mstari wa mbele katika harakati za uhuru period.
 
Wekeni na nyie wagalatia angalau kapicha kamoja tu hamna,
Labda muanze kutengeneza na kuedit
za uongo uongo
 
Sijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio wanajadili

Au tunaongoja sheikh Mohammed Said amefariki ndio tuitane Nkurumah hall ili tukose majibu?



View attachment 3080932

View attachment 3080935
Nani apinge? Wana ubavu kwanza
Wanabaki kuruka ruka na kutusi tu
Bila waislam uhuru wangeusikia kwenye redio tu
 
Sijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio wanajadili

Au tunaongoja sheikh Mohammed Said amefariki ndio tuitane Nkurumah hall ili tukose majibu?



View attachment 3080932

View attachment 3080935
Kwa vile tumemdharau na uwongo wake. Mtu anayesifia wazee wake wa Kariakoo kwa nini uhangaike naye?

Kama ni vitabu vya maana basi hata Wizara ta Elimu wangeviweka kwenye mitaala ya elimu. Lakini vimeishia kuuzwa misikitini tu hasa msikiti wa Kwa Mtoro
 
Kwa vile tumemdharau na uwongo wake. Mtu anayesifia wazee wake wa Kariakoo kwa nini uhangaike naye?

Kama ni vitabu vya maana basi hata Wizara ta Elimu wangeviweka kwenye mitaala ya elimu. Lakini vimeishia kuuzwa misikitini tu hasa msikiti wa Kwa Mtoro
Hui...
Tuna maduka ya vitabu katika misikiti mitatu Dar-es-Salaam: Msikiti wa Mtoro, Manyema na Kichangani kama vile Wakatoliki walivyokuwa na duka la vitabu la pale St. Joseph's Cathedral.

Kuhusu Wizara ya Elimu na vitabu vyangu hiyo inataka muda ila kwa ufupi wamekwepa kitabu changu, "The Torch on Kilimanjaro," cha Oxford University Press, Nairobi (2006).

Kitabu hiki kinasomeshwa Kenya, Uganda na kwengineko ila Tanzania.
 
Kwa vile tumemdharau na uwongo wake. Mtu anayesifia wazee wake wa Kariakoo kwa nini uhangaike naye?

Kama ni vitabu vya maana basi hata Wizara ta Elimu wangeviweka kwenye mitaala ya elimu. Lakini vimeishia kuuzwa misikitini tu hasa msikiti wa Kwa Mtoro
mtunga mitaala ndio wewe, hapa umeonesha chuki zako zidi ya msikiti. ndio utaiweka katika mitaala ya shule ambapo mwanao asome?
 
Sijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio wanajadili

Au tunaongoja sheikh Mohammed Said amefariki ndio tuitane Nkurumah hall ili tukose majibu?



View attachment 3080932

View attachment 3080935


WATU WAMEMDHARAU .... HATA NYUZI ZAKE KAANGALIE KAMA ZINA WATU WANACHANGIA SIKU HIZI. WATU WAMEMWACHA AONGEE ANAVYOJISIKIA APATE AHUENI. AANDIKE ANACHOJISIKIA. SI KILA KITU CHA KUJIBU
 
WATU WAMEMDHARAU .... HATA NYUZI ZAKE KAANGALIE KAMA ZINA WATU WANACHANGIA SIKU HIZI. WATU WAMEMWACHA AONGEE ANAVYOJISIKIA APATE AHUENI. AANDIKE ANACHOJISIKIA. SI KILA KITU CHA KUJIBU
bbc swahili, Germany wanamsikiliza na wanamualika. Nyinyi wachungaji wa makanisa ya Mbagala ndio mnaambia waumini wenu wasisome huku nyinyi hata historia ya kanisa unaliloongoza hujui, umejengewa wala huulizi pesa zimetoka wapi
 
bbc swahili, Germany wanamsikiliza na wanamualika. Nyinyi wachungaji wa makanisa ya Mbagala ndio mnaambia waumini wenu wasisome huku nyinyi hata historia ya kanisa unaliloongoza hujui, umejengewa wala huulizi pesa zimetoka wapi

UNAMFAHAMU SALMAN RUSHDIE? AMEHOJIWA NA WATU WENGI SANA NA MASHIRIKA MAKUBWA. UMESOMA KITABU CHAKE MAARUFU?
" AYA ZA KISHETANI"
 
Komeo...
Kuwa nadharauliwa hapana.

Hapa JF nimechaguliwa mwandishi bora mara mbili 2021 na 2022.
Hongera sheikh Moahmmed Said, wapagani wakisikia hio wanatype kwa uchungu humu, wao hata kitabu cha faida ya kufuga kuku hawajuwi kuandika,
 
Kwa mtu anayeijua Kariakoo kwa kirefu atagundua mzee Mohamed hajawahi kuandika historia,huyo anaandika zile stories wanazosimuliana vijiweni watu jioni wanapokuwa wametoka kwenye mihangaiko yao huyu akisema hili yule akisema lile alimradi saa ziende waingie ndani kulala.

Na kizazi kilichosimuliana hayo ni kile kilichoishia 2005 kurudi nyuma,anachofanya mzee anayakusanya anayajengea lugha ya kisomi ukichanganya na sympathy ya kidini anayotafuta jambo linakuwa supported na jamii aliyoilenga(anaofanana nao dini) ndiyo maana ana kundi linalomsikiliza na kumuamini.
Hahahahaha akaamua kuweka ktk vitabu ,akaita historia
 
Back
Top Bottom