imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Watanganyika wa Dini zote waligombania UHURU na wengine walikuwa na Agenda zao wenyewe.
Sidhani hao akina Sykes kama Mkoloni angekuwa ni Sultani wa Kiarabu sidhani kama wangedai UHURU.
Ilibidi JOHN OKELLO awasaidie huko Zanzibar kumng'oa Sultani wa Kiarabu.
Sidhani hao akina Sykes kama Mkoloni angekuwa ni Sultani wa Kiarabu sidhani kama wangedai UHURU.
Ilibidi JOHN OKELLO awasaidie huko Zanzibar kumng'oa Sultani wa Kiarabu.