Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Wacha kujipakazia😜😜😜😜Kwa taarifa yako mimi ni Kocha mchezaji sitegemei kuwadanganya Wazenj wa Tandika ili mkono uende kinywani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kujipakazia😜😜😜😜Kwa taarifa yako mimi ni Kocha mchezaji sitegemei kuwadanganya Wazenj wa Tandika ili mkono uende kinywani.
Naona HOJA zimekushinda.Wacha kujipakazia😜😜😜😜
Wewe naona unazimwaga tu mbeba boxNaona HOJA zimekushinda.
Kama umeishiwa na HOJA ni vizuri ukakaa kimyaWewe naona unazimwaga tu mbeba box
Elimu hii unayosema, sehemu nyingi ni uongo fikra za watu waovu na kututengeneza wanavyotaka, mfano sasa hivi wanatufunza tuwe mashoga na wasagaji, kuoana jinsia moja na haki ya sawa kwa sawa.Huyu mzee shida yake anaamini nchi hii ni waislam pekee yao
So unapokuwa na mwana historia mwenye perspective ya upande mmoja hawez keta history ya kweli
.
Kama walivyo waislam wengine duniani kuamini kuwa wao ndo watu bora zaidi kuliko wengine na wenye uelewa zaidi kuliko wengine basi pia mzee said anaamini waislam wa tanzania ni bora zaidi na walifanya mengi zaidi kuliko wengine
Pia anaamini waislam ndo wasomi zaidi kuliko watu wengine n wana uelewa zaid kuliko watu wengine
Kwa mantiki hiyo huyu mzee ni mwanahistoria wa jamii ya kiislamu na maandiko yake yataishia kwa jamii husika kuja kwenye jamii ya kisomi ni ngumu yataishis kwenye misikit vijiwe vya kahawa nje ya misikiti..... huko zanzibar maana maandiko yake ni ya jamii hiyo tu na mara nyingi kulalamika mara mfumo kristo mara sijui tunaonewa
LA MWISHO MZEE SAID UKISOMA COMMEMT HII ANDIKA KITABU KITACHOFANYA WAISLAM WENZIO WAPENDE ELIMU DUNIA ......SIO KUKAA TU ELIMU ZA MADRASSA BAAADAE KUJA KUANDIKA HISTORIA ZA MALALAMIKO
Wewe naona unazimwaga tu mbeba boxKama umeishiwa na HOJA ni vizuri ukakaa kimya
Nakupuuza rasmi.Wewe naona unazimwaga tu mbeba box
nakuona hapo , au mbowe anakuita ??Nakupuuza rasmi.
Wewe mbuzi tokea mada imeaanza hakuna cha maana ulichochangia zaidi ya mbaambaa za kilokoleMkiambiwa mna akili fupi mnasema mnatukanwa,nikuulize wewe Jagina mada mezani unai-relate vipi na ulichokiandika hapa?
Hoja mfu kwa sababu anajua moto ungewaka kama angeenda kuisalimisha nchi vatikaniHivi Nyerere angekuwa ni Mdini angeruhusu Nchi hii iwe ya Kisecular?!.
Labda kama mwanamke lakini kama mwanaume aliyekamilika (kama umekamilika lakini) ukishafikia hatua ya kutumia kauli za hovyo kama hizi kwenye mjadala halafu ukataka upewe fact na waliokuzidi akili wewe moja kwa moja unakuwa mbuzi kama mbuzi wa khitma unakufa kuburudisha wanaohuzunika!Wewe mbuzi tokea mada imeaanza hakuna cha maana ulichochangia zaidi ya mbaambaa za kilokole
Umeambiwa ulete research kupinga hoja unaleta hadithi za Sungura
Kaa kwa kutulia shwain wewe kama hoja inayoyobebwa na UTAFITI
Shut up baba paroko,Labda kama mwanamke lakini kama mwanaume aliyekamilika (kama umekamilika lakini) ukishafikia hatua ya kutumia kauli za hovyo kama hizi kwenye mjadala halafu ukataka upewe fact na waliokuzidi akili wewe moja kwa moja unakuwa mbuzi kama mbuzi wa khitma unakufa kuburudisha wanaohuzunika!
Itoshe kusema “wewe hujitambui“kkkk
Shut up baba paroko,
Wewe kilaza huna zaidi ya mbaamba ulizorudinazo maana yake huna uwezo hata wa kujitutumua wa kiakili kujibu yaliyoletwa na hii mada.
Njoo na hoja zenye tafitiUzi futuhi sana huu.🤔🤔
Unamkimbiza aliyenyakua nguo zako mtoni ulipokua unaogelea.Itoshe kusema “wewe hujitambui“
Kwa ujumla wahenga walioleta hii misemo inaakisi maisha duni ya mtu mweusi anaeoga mtoni na mwizi anaeiiba nguo, typical shithole countriesUnamkimbiza aliyenyakua nguo zako mtoni ulipokua unaogelea.
Kwa sababu umekulenga wewe ndiyo haufai?Na umehakiki wapi kwamba wote humu JF ni watu weusi?🤔Kwa ujumla wahenga walioleta hii misemo inaakisi maisha duni ya mtu mweusi anaeoga mtoni na mwizi anaeiiba nguo, typical shithole countries
You did not get the "Irony"Kwa sababu umekulenga wewe ndiyo haufai?🤔