Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Unajitoa kwenye mada aidha kwa wembamba wa akili yako au umeshindwa kuenenda nayo.Unaelezwa mambo ya maana,wewe unaleta mambo ya mapori yenu,vumbi,mahindi mara kupunjwa ugali.Upo timamu kweli?Hebu hapohapo ulipo lia kidogo uhakikiwe utimamu wako.
Wewe mbuzi unajizima data
jibu maswali yangu ?
Makao makuu ya ukoloni nchini yalikuwa wapi ?
Na yalipokuwepo, ni idadi gani ya watu wenye imani gani ndio walikuwa wazawa na wingi wa idadi?
Kwa nini nyerere asingebaki huko uzanikini na kutetea uhuru ?
Lakini aliona mikoa ya pwani ndio iliyokuwa na vuguvugu la uhuru ndio akatia timu?
Na bado kwa ulokole mavi wenu mnabisha alikaribishwa wapi na nani na kupewa nyumba ya kuishi
 
Wewe mbuzi unajizima data
jibu maswali yangu ?
Makao makuu ya ukoloni nchini yalikuwa wapi ?
Na yalipokuwepo, ni idadi gani ya watu wenye imani gani ndio walikuwa wazawa na wingi wa idadi?
Kwa nini nyerere asingebaki huko uzanikini na kutetea uhuru ?
Lakini aliona mikoa ya pwani ndio iliyokuwa na vuguvugu la uhuru ndio akatia timu?
Na bado kwa ulokole mavi wenu mnabisha alikaribishwa wapi na nani na kupewa nyumba ya kuishi
Kama huko kwenu huwa mnajibiwa maswali ya kijinga na mbuzi wenye ulokole mavi basi itoshe na mjitambue mpo vema sana.
 
Uzi umekushinda sasa unaanza visingizio.Mkiambiwa huwa mmezaliwa na ujinga sugu mnakua wakali.
Kwanza unaishi maporini na hujabisha hili na hujawaji kutoka nje nchi hata kufika mipaka ya nchi ujue huko upande wa pili wanaishi vipi, kama vipi weka hapa ushahadi unasema unaishi majuu
Pili, kama ni elimu hio yako ya madesa inaakisi umezaliwa wapi, na umeishi kwenye mfumo upi
Tatu, huwezi na hutaweza kulinganinisha akili ya maisha yako ya kimasikini ulionganga mpaka kustaafu huku una mzigo wa kulea uliowaleta kuunga tela kwenye umasikini wako kulinganisha na maisha yangu
 
Kwanza unaishi maporini na hujabisha hili na hujawaji kutoka nje nchi hata kufika mipaka ya nchi ujue huko upande wa pili wanaishi vipi, kama vipi weka hapa ushahadi unasema unaishi majuu
Pili, kama ni elimu hio yako ya madesa inaakisi umezaliwa wapi, na umeishi kwenye mfumo upi
Tatu, huwezi na hutaweza kulinganinisha akili ya maisha yako ya kimasikini ulionganga mpaka kustaafu huku una mzigo wa kulea uliowaleta kuunga tela kwenye umasikini wako kulinganisha na maisha yangu
Nikikuonesha hayo yatakununulia wembe mpya unyolee ndevu?Halafu nikuoneshe wewe kama nani?Wewe kaombe kazi ya kutunza wanyama na bustani Doha.Utapata.
 
Kwa mtu anayeijua Kariakoo na watu wake kwa kirefu atagundua mzee Mohamed hajawahi kuandika historia,huyo anaandika zile stories wanazosimuliana vijiweni watu jioni wanapokuwa wametoka kwenye mihangaiko yao huyu akisema hili yule akisema lile alimradi saa ziende waingie ndani kulala.

Na kizazi kilichosimuliana hayo ni kile kilichoishia 2005 kurudi nyuma,anachofanya mzee anayakusanya anayajengea lugha ya kisomi ukichanganya na sympathy ya kidini anayotafuta jambo linakuwa supported na jamii aliyoilenga(anaofanana nao dini) ndiyo maana ana kundi linalomsikiliza na kumuamini.
Mzee kaandika ngano na zina wafuasi wengi sana jamii ya kobaaaz. Ndo maana haitokaa itokee vitabu vyake viingizwe kwenye elimu ya Tz labda madrasatul
 
Mzee kaandika ngano na zina wafuasi wengi sana jamii ya kobaaaz. Ndo maana haitokaa itokee vitabu vyake viingizwe kwenye elimu ya Tz labda madrasatul
Ndio tatizo la akili zilizojaa tope zilizozoea kulishwa upupu kupitia elimu ya kibongo nyoso isiyotambulika hata nchi za jirani hata Kenya au Uganda hamlambi kazi, zaidi ya uhausiboi.
Ni wapi kwenye hayo maandiko yamehitaji kuingizwa kwenye elimu ya kukariri ya upupu wa nacte
 
Nikikuonesha hayo yatakununulia wembe mpya unyolee ndevu?Halafu nikuoneshe wewe kama nani?Wewe kaombe kazi ya kutunza wanyama na bustani Doha.Utapata.
Wewe fwamba kaa kwa kutulia huko maporini, naona humu mtandaoni ndio sehemu ya kujifariji kuyamaliza maisha ya ustaafu wa umma na kiinua mgongo, maana umeshinda humu JF tokea 19kweusi kujaza pumba humu
 
Mzee kaandika ngano na zina wafuasi wengi sana jamii ya kobaaaz. Ndo maana haitokaa itokee vitabu vyake viingizwe kwenye elimu ya Tz labda madrasatul
Salari,
Oxford hawachapi kitabu ila kiwe cha maana.

"The Torch on Kilimanjaro,'' hakikupata ithibati kwa kuwa ni kitabu kibaya la hasha.

Hakikupata ithibati kwa kuwa jina la mwandishi linawatia hofu.

Oxford University Press Nairobi waliopogundua hili walinieleza na nilikuwa nimewapa mswada wa pili wakasitisha kuuchapa kwa masikitiko wakanirejeshea.

Hata hivyo huu mswada wa pili umechapwa nchini.

Lakini wakaniingiza katika Anthology ambako nilikuwa katika waandishi kadhaa kutoka nchi mbalimbali za Afrika tulioandika kitabu, "The Mermaid of Msambweni."

Kitabu hiki kinasomwa Kenya, Uganda na kwengineko.

Baada ya hapo Oxford University Press New York wakanitia katika mradi wa Dictionary of African Biography mwaka wa 2008 nikiwa kati ya waandishi 500 kutoka Kila pembe ya Dunia kuandika kamusi la volume 6.

Mimi niliombwa kuandika historia ya Kleist Sykes.
Hili kamusi limechapwa mwaka wa 2011.

Huu ni mradi wa Harvard na Oxford University Press New York.

1724987598092.png
1724987473264.png

 
Salari,
Oxford hawachapi kitabu ila kiwe cha maana.

"The Torch on Kilimanjaro,'' hakikupata ithibati kwa kuwa ni kitabu kibaya la hasha.

Hakikupata ithibati kwa kuwa jina la mwandishi linawatia hofu.

Oxford University Press Nairobi waliopogundua hili walinieleza na nilikuwa nimewapa mswada wa pili wakasitisha kuuchapa kwa masikitiko wakanirejeshea.

Hata hivyo huu mswada wa pili umechapwa nchini.

Lakini wakaniingiza katika Anthology ambako nilikuwa katika waandishi kadhaa kutoka nchi mbalimbali za Afrika tulioandika kitabu, "The Mermaid of Msambweni."

Kitabu hiki kinasomwa Kenya, Uganda na kwengineko.

Baada ya hapo Oxford University Press New York wakanitia katika mradi wa Dictionary of African Biography mwaka wa 2008 nikiwa kati ya waandishi 500 kutoka Kila pembe ya Dunia kuandika kamusi la volume 6.

Mimi niliombwa kuandika historia ya Kleist Sykes.

Hili kamusi limechapwa mwaka wa 2011.
Pole mzee hizi ngano zako za kidini kama ulivyokiri mwenyewe nje wapo watakaokupa attention kwa kiasi fulani lakini Tanzania kwa maana ya taasisi za Elimu hakuna mwenye time nazo😆😅🤣😂 labda kwenye mijadala yenu ya kiislamu na taasisi za kiislamu ndo wanaweza kukupa attention hii ni kumaanisha vitabu vyako vina walakini tena mkubwa sana najua wewe hulioni hilo maana ipo roho nyuma ya wewe kuandika hivi.
 
Pole mzee hizi ngano zako za kidini kama ulivyokiri mwenyewe nje wapo watakaokupa attention kwa kiasi fulani lakini Tanzania kwa maana ya taasisi za Elimu hakuna mwenye time nazo😆😅🤣😂 labda kwenye mijadala yenu ya kiislamu na taasisi za kiislamu ndo wanaweza kukupa attention hii ni kumaanisha vitabu vyako vina walakini tena mkubwa sana najua wewe hulioni hilo maana ipo roho nyuma ya wewe kuandika hivi.
Salari,
Unaandika ukiwa una hasira.

Hasira ndiyo inayokufanya wewe utumie hata maneno ya kudhalilisha mathalan kuita kazi ya kisomi ''ngano.''

Wala hii si mijadala ya Kiislam vitabu nilivyoandika na kazi nilizofanya na kuchapwa hazikuchapwa na Waislam.

Mimi niko katika Cambridge Journal of African History na pia katika Dictionary of African Biography.

Hawa ni Waingereza na Wamarekani.

Mada nilizoandika zipo katika maktaba ya vyuo vikuu vingi Afrika, Ulaya na Marekani na ndani ya Library of Congress.

Ukishikilia kuwa hii ni mijadala ya Kiislam unadhihirisha kuwa kwanza haupo katika duru hizi za kisomi na pili una chuki tu na Waislam.

Labda nikufahamishe upate kunielewa vyema.
Soma hapo chini:

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin, Germany

Kati yetu mimi na wewe unadhani wa kuhurumiwa na kupewa pole ni nani?

Wa kuwekewa vikatuni vinacheka ni nani?
Mimi au wewe?

Lakini mimi sitofanya hivyo kwani heshima yangu katika jamii hainiruhusu.
Niko hapa kubadilishana mawazo na fikra.

Siko hapa kumkejeli mtu yeyote.
 
Salari,
Oxford hawachapi kitabu ila kiwe cha maana.

"The Torch on Kilimanjaro,'' hakikupata ithibati kwa kuwa ni kitabu kibaya la hasha.

Hakikupata ithibati kwa kuwa jina la mwandishi linawatia hofu.

Oxford University Press Nairobi waliopogundua hili walinieleza na nilikuwa nimewapa mswada wa pili wakasitisha kuuchapa kwa masikitiko wakanirejeshea.

Hata hivyo huu mswada wa pili umechapwa nchini.

Lakini wakaniingiza katika Anthology ambako nilikuwa katika waandishi kadhaa kutoka nchi mbalimbali za Afrika tulioandika kitabu, "The Mermaid of Msambweni."

Kitabu hiki kinasomwa Kenya, Uganda na kwengineko.

Baada ya hapo Oxford University Press New York wakanitia katika mradi wa Dictionary of African Biography mwaka wa 2008 nikiwa kati ya waandishi 500 kutoka Kila pembe ya Dunia kuandika kamusi la volume 6.

Mimi niliombwa kuandika historia ya Kleist Sykes.

Hili kamusi limechapwa mwaka wa 2011.
Mzee mjivuni una mbwembwe wewe jina lako liliwapa hofu Oxford? kwa kipi hasa?
 
Mkwawa Kinjekitile Ngwale John Okelo Chief Songea Milambo nk. nk.
Huyo Mzee atakwambia Mkwawa alikuwa Muislam Kwa kuwa yeye anaangalia Dini ya aliyepo mistari wa mbele, lakini ukweli Ni kwamba watu walikuwa wanajumuika kupigania nchi yao kiumoja wa asili Yao ya uzaliwa, siyo udini.
Sasa yeye akiona mkutano mkubwa anawaza wa Dini yake walikuwa wangapi? Uchambuzi na ujumuishaji wa hadhara Kwa misingi ya Dini ya wahudhuriaji siyo advantage rasmi.
 
Mzee mjivuni una mbwembwe wewe jina lako liliwapa hofu Oxford? kwa kipi hasa?
Salari,
Jitulize na nisome vyema.

Oxford University Press Nairobi walichapa kitabu.
Wangekuwa na hofu wasingekichapa kitabu changu.

Waliokikataa ndiyo walioingiwa na hofu.

Kenya na Uganda na kwengineko Oxford wameuza sana kitabu changu na wako hivi sasa katika toleo la pili.

1724989632024.png

1724989720425.png

Toleo la Kwanza
1724990461783.png

Toleo la Pili​
 
Back
Top Bottom