Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Unatumia past perfect kwa maandishi yaliyojibiwa baada ya dakika moja?Na umeiacha "irony" inaelea bila kisaidizi cha kuiweka kiufasaha?Kwa ubongo wako unadhani unabadilishana miandiko na watoto wa madrasa?
Ndio maana mna chekwa sana twitani na huu upupu wa kufuatilia vitenzi na vishirihishi
 
Upumbavu wa wanajf ni kuleta udini katika mambo ya kweli,wakati mwingine tukubali ukweli maboss

Mzee wetu analeta historia kwa vielelezo makini halafu wanatokea wapumbavu wachache wanaleta porojo zao hapa

Tukubali ukweli waislamu walikuwa mstari wa mbele katika harakati za uhuru period.
You seem reasonable.
Mimi sitaki kujua uhuru uliletwa na 'dini' gani, nachojua watanzania weusi ndiyo walipigania uhuru.
Labda Nkuulize wewe, kuclassify hao wapigania uhuru kwa dini zao kunaleta faida gani?? Kwanni mnafanya hivyo?
 
You seem reasonable.
Mimi sitaki kujua uhuru uliletwa na 'dini' gani, nachojua watanzania weusi ndiyo walipigania uhuru.
Labda Nkuulize wewe, kuclassify hao wapigania uhuru kwa dini zao kunaleta faida gani?? Kwanni mnafanya hivyo?
Akijibu kwa weledi apewe zawadi ya kifuko cha tende atafune polepole.
 
You seem reasonable.
Mimi sitaki kujua uhuru uliletwa na 'dini' gani, nachojua watanzania weusi ndiyo walipigania uhuru.
Labda Nkuulize wewe, kuclassify hao wapigania uhuru kwa dini zao kunaleta faida gani?? Kwanni mnafanya hivyo?
Umeelewa kwanini nimejibu hivyo,,kuna sababu ya watu wanaclassify ndio nikasema hivyo

Yaan kuna upuuzi flan hv huku jf
 
Akijibu kwa weledi apewe zawadi ya kifuko cha tende atafune polepole.
Ndio maana nawatafuta mbuzi brain kama nyinyi mnaokuwa na narrow minded religious brain na itoshe kusema kama mwanzoni akili yako imejaa tope linalotokana na vumbi unalokula huko maporini
Turudi kwenye mada
Makao makuu ya ukoloni nchini yalikuwa wapi ?
Na yalipokuwepo, ni idadi gani ya watu wenye imani gani ndio walikuwa wazawa na wingi wa idadi?
Kwa nini nyerere asingebaki huko uzanikini na kutetea uhuru ?
Lakini aliona mikoa ya pwani ndio iliyokuwa na vuguvugu la uhuru ndio akatia timu?
Na bado kwa ulokole mavi wenu mnabisha alikaribishwa wapi na nani na kupewa nyumba ya kuishi
 
Ndio maana nawatafuta mbuzi brain kama nyinyi mnaokuwa na narrow minded religious brain na itoshe kusema kama mwanzoni akili yako imejaa tope linalotokana na vumbi unalokula huko maporini
Turudi kwenye mada
Makao makuu ya ukoloni nchini yalikuwa wapi ?
Na yalipokuwepo, ni idadi gani ya watu wenye imani gani ndio walikuwa wazawa na wingi wa idadi?
Kwa nini nyerere asingebaki huko uzanikini na kutetea uhuru ?
Lakini aliona mikoa ya pwani ndio iliyokuwa na vuguvugu la uhuru ndio akatia timu?
Na bado kwa ulokole mavi wenu mnabisha alikaribishwa wapi na nani na kupewa nyumba ya kuishi
Una changamoto ya akili aisee.Kwani hauwezi kuandika jambo bila matusi?Na kiingereza kinakupiga mitama tu.Tumia kiswahili.
 
Una changamoto ya akili aisee.Kwani hauwezi kuandika jambo bila matusi?Na kiingereza kinakupiga mitama tu.Tumia kiswahili.
Sio kosa lako
Kaa hukohuko maporini, usije mijini bila ya debe la mahindi unakofikia ili usilaumu unapunjwa ugali wa mgeni
 
Sio kosa lako
Kaa hukohuko maporini, usije mijini bila ya debe la mahindi unakofikia ili usilaumu unapunjwa ugali wa mgeni
Unajitoa kwenye mada aidha kwa wembamba wa akili yako au umeshindwa kuenenda nayo.Unaelezwa mambo ya maana,wewe unaleta mambo ya mapori yenu,vumbi,mahindi mara kupunjwa ugali.Upo timamu kweli?Hebu hapohapo ulipo lia kidogo uhakikiwe utimamu wako.
 
Back
Top Bottom