Umeonaeeee !!!!, nakiona kitu kwa hawa jamaa, pia kaushirikiano wanacho pia. Kwetu sisi kuitana ka kukaa pamoja tu ni shida kila mtu anataka kuruka na bawa lake.Kuhusu kuchapa kazi hilo ni la kweli kabisa, ni mfano wa kuigwa kwa hilo. Discipline, commitment, persistence na focus katika kutafuta pesa na maendeleo kwa ujumla ni sifa nzuri waliyonayo hawa jamaa. Jambo jingine wanathamini sana elimu, unaweza kukuta jamaa ni shoe-shiner au muuza supu ya makongoro lakini anasomesha watoto wake private schools hadi university!
Bwana G-taxi sioni shida kuzungumzia kabila lao nafikiri aliwalenga watu wao labda. Umelipokea very negative sijui kwa nini? sio kila kitu lazima ukoment acha lipite. Kwenye forum huwezi kuchangia kila kitu utaoneka una chuki ambayo sioni kiini chake ni nini?.Hawa ni wakabila na wabaguzi wakubwa, wanasahau nchi hii hatuzungumzi makabila, sisi ni waTanzania na lugha yetu ni Swahili kwisha.
Mimi ni Msukuma tulio zaidi ya watu Milion 10 nchi hii, 16% ya waTanzania... Tukizungumzia ukabila itakuaje, wapuuzi tu hawa
Sent from my RMX2185 using JamiiForums mobile app
Ukabila wenu tuliuona awamu ya 5. Hebu nyamaza kabisa na Mungu akusamehe.Hawa ni wakabila na wabaguzi wakubwa, wanasahau nchi hii hatuzungumzi makabila, sisi ni waTanzania na lugha yetu ni Swahili kwisha.
Mimi ni Msukuma tulio zaidi ya watu Milion 10 nchi hii, 16% ya waTanzania... Tukizungumzia ukabila itakuaje, wapuuzi tu hawa
Sent from my RMX2185 using JamiiForums mobile app
Kweni wewe huoni alicho andika? Hata wewe umekuja na chuki zako za kikabila, fanya upite pembeni maana hata wewe basi hukupaswa kukoment hapa kwangu iwapo umeeona sikupaswa kument ktk kila mada, wewe umefata nini?Bwana G-taxi sioni shida kuzungumzia kabila lao nafikiri aliwalenga watu wao labda. Umelipokea very negative sijui kwa nini? sio kila kitu lazima ukoment acha lipite. Kwenye forum huwezi kuchangia kila kitu utaoneka una chuki ambayo sioni kiini chake ni nini?.
We nyang'au nini? Kuna asiyejua ubaguzi wa kaskazini na hasa Kabila hili? Mimi nafanya kazi hapa Arusha miaka 11 sasa, nawajua vzr na wengine ni majirani zangu huko Mwanza nawajua vzr sanaUkabila wenu tuliuona awamu ya 5. Hebu nyamaza kabisa na Mungu akusamehe.
Hii umesema wewe hapa JF, haipo katika uhalisia. Ubaguzi wa wasukuma a.k.a "sukuma gang" ulienea nchi nzima awamu ya tano, na wasukuma mkawa mnaneemeka na mema ya nchi kwa kodi zetu.We nyang'au nini? Kuna asiyejua ubaguzi wa kaskazini na hasa Kabila hili? Mimi nafanya kazi hapa Arusha miaka 11 sasa, nawajua vzr na wengine ni majirani zangu huko Mwanza nawajua vzr sana
Sent from my RMX2185 using JamiiForums mobile app
Mji wa Mwanza ni mkubwa kuliko Arusha,uliendelea Kwa kipindi cha JPM peke yake?jibu ni hapana kiasi useme hauna wahangaikaji?Hii umesema wewe hapa JF, haipo katika uhalisia. Ubaguzi wa wasukuma a.k.a "sukuma gang" ulienea nchi nzima awamu ya tano, na wasukuma mkawa mnaneemeka na mema ya nchi kwa kodi zetu.
Hao unaowasema Arusha hata mimi napajua sana, ni wahangaikaji, na hata wakila mema huwa ni ya bidii zao wala siyo ya kupendelewa kwa kigezo cha eti "ni wapiga kura wangu". Hivi hamuoni aibu watu mmewaandama na kuwapiga vita kila mahali lakini bado wapo imara?
Naungana yule mzee Anayetuletea kucha taarifa hapa kuhusiana na ushiriki wa Waislam kwenye kupambania uhuru wetu lakini wakaenguliwa kwenye historiaWakuu nimewahi kusoma vizuri Historia ya Wachagga kwenye kitabu kimoja kilichoandikwa na Msweden mmoja, akimzungumzia vyema Mangi Marriale Obe II, na Binti aliyekuwa anaitwa Sia,
Aliyesome udaktari huko Sweden,
Pia inaonekana Mangi Marriale Obe II alikuwa msomi, na Hadi mwaka 1954 alikuwa anakaribia kuhitimisha kuomba uhuru wa Wachagga waliokuwa wamefika mbali kimaendeleo bila msaada wa Wazungu, hicho kitabu kinaeleza vizuri kuwa Gavana wa Uingereza kipindi hicho alikuwa hachangii chochote kwenye maendeleo ya Wachagga, hawa walikuwa wanakatwa kodi kutoka kwenye zao la kahawa.
Mipango ya kibajeti ilikuwa inawekwa vizuri sana kupitia kodi hizo na nyingine mbalimbali.
Kulikuwa na mfumo mzuri wa Elimu, pamoja na Miundo mbinu. Niliona bajeti kuu yao iliyochapishwa mwaka 1954.
Na kila mwaka walifanya mkutano mkuu wa Wachagga, uliokuwa unafanyikia Moshi...
Najiuliza ni kwanini Historia hii haisemwi popote katika utaratibu wa Mafundisho ya Historia!
Mkuu Malcom Lumumba nakupa copy hapa...na wanahistoria wengine
Wahangaikaji wa Mwanza wametoka Moshi na Arusha kwa asilimia kubwa. Bisha.Mji wa Mwanza ni mkubwa kuliko Arusha,uliendelea Kwa kipindi cha JPM peke yake?jibu ni hapana kiasi useme hauna wahangaikaji?
Nina hakika huna akili, sina sababu ya kubishana na wewe
Mhuu G-tax nimemaliza sina la kuongeza.Kweni wewe huoni alicho andika? Hata wewe umekuja na chuki zako za kikabila, fanya upite pembeni maana hata wewe basi hukupaswa kukoment hapa kwangu iwapo umeeona sikupaswa kument ktk kila mada, wewe umefata nini?
Sent from my RMX2185 using JamiiForums mobile app
Bro hili ndio kabila na ku-copy na ku-paste kwa makabila mengine!Kwa sababu ndiyo kabila lisilopendeka sana hapa mjini
Acha chuki za kifala wewe, hawa ndio walioweza kubadilisha elimu kuwa pesa elewa hilo!Short and clear hamna elimu hapo ni trash 🗑️ kwa zama za sasa .kila kabila lilikuwa na elimu nenda kwa wamakonde walikuwa na ujuzi kutengeneza vinyago na kujichora kama Kinga kutichukuliwa na wakoloni
Chuki zipi? Wapi nimeonyesha chuki eti elimu kuwa pesa mbona hatuoni leo ,wachaga sio elimu ni wafanya biashara wakubwa nimepinga rejea Uzi wa wakinga nimeandikaje hao ni wafanyabiashara wakubwa biashara zipo damuni ..wahaya mbona bukoka Pako vile kuwa na akili tahira mkubwa!!!Acha chuki za kifala wewe, hawa ndio walioweza kubadilisha elimu kuwa pesa elewa hilo!
Hyo elimu ya mkoloni si ndo hii wagraduates wengi Haina msaada kwao we matako nn!! Kwan huoni?Acha chuki za kifala wewe, hawa ndio walioweza kubadilisha elimu kuwa pesa elewa hilo!
Wewe acha ujinga wako Nitajie tajiri mmoja tu kutoka Arusha au Moshi ambaye anatikisa Mwanza zaidi ya shoe shine wa kichagga na viduka uchwara vya mitaani. Uchumi wa Jiji hili umeshikwa na wanakanda ya ziwa wenyewe yaani wasukuma, wakurya na wahaya. Peleka huko uongo wako.Wahangaikaji wa Mwanza wametoka Moshi na Arusha kwa asilimia kubwa. Bisha.
Wewe ndiyo huna akili, pisha wenye akili waendelee kuchangia hoja.
Pellleka ujinga kule! Kwendraaaaa!Wewe acha ujinga wako Nitajie tajiri mmoja tu kutoka Arusha au Moshi ambaye anatikisa Mwanza zaidi ya shoe shine wa kichagga na viduka uchwara vya mitaani. Uchumi wa Jiji hili umeshikwa na wanakanda ya ziwa wenyewe yaani wasukuma, wakurya na wahaya. Peleka huko uongo wako.