Kwanini Hitler aliwakamata Waisrael, kuwafunga Sobibor, kuwatesa na kuwaua?

Kwanini Hitler aliwakamata Waisrael, kuwafunga Sobibor, kuwatesa na kuwaua?

Wakati Izraeli wanayapata fizikale. tuliobakia tunayapata spirichuale. Ukisoma Isaya 54 kuna maneno...katika kitambo kidogo nalikuficha uso wangu... Ukiangalia kiroho kuna uhasama mkubwa kati ya mchawi na mcha Eloi. Na ukitetereka tu mchawi anakumaliza. wa kukutoa hapo mostly ukiondoa imani yako ni matibabu tu. Hospital/waganga wa jadi ambao wanapatikana dunia yote. ktk jamii zote.
 
Wakati Izraeli wanayapata fizikale. tuliobakia tunayapata spirichuale. Ukisoma Isaya 54 kuna maneno...katika kitambo kidogo nalikuficha uso wangu... Ukiangalia kiroho kuna uhasama mkubwa kati ya mchawi na mcha Eloi. Na ukitetereka tu mchawi anakumaliza. wa kukutoa hapo mostly ukiondoa imani yako ni matibabu tu. Hospital/waganga wa jadi ambao wanapatikana dunia yote. ktk jamii zote.
 
Ujerumani baada ya vita ya kwanza, uchumi ulidorora lakini wayahudi sababu walikuwa hawaruhusiwi kumiliki ardhi lakini waliweza kuwa na interectural career pamoja na kujiajiri walikuwa wanafanya vizuri kwenye kuuza madini, picha za kuchora na innovations nyingi. Wayahudi wengi ndo walikuwa wasomi wazuri mfano Einstein na wengine wengi hivyo Ingawa Hitler hakuwa mjerumani alikuwa mtu wa Austria aliweza kupata upenyo na kuweza kushinda na chama chake. Hitler alitaka kila mtu amchukie myahudi sababu siyo Caucasian na siyo Aryan yaani watu wenye rangi nyeupe, macho ya blue na nywele blonde ndo wateule waliokuwa wamechaguliwa na Hitler kuwa watatawala ulimwengu. Ndo maana kwenye olyimpic ya 1938? kuna mmarekani alishinda gold medal 4 lakini huyu bwana alikataa kumshika mkono na US ilitishiwa sana sababu ya kuwa na wanegro na wayahudi kwenye timu.
Wayahudi wamekuwa wakimbizi wa kwanza duniani kabla ya kristo ndo maana ukisoma agano la kale unaona Joseph alivyolelewa Misri na vizazi vya wayahudi walivyotoroka toka misri Exodus. Ulaya nzima imejaa mazila ya wayahudi waliokimbia utumwa wa warumi, waarabu na baadaye mauaji ya kimbali ya manazi. Myahudi ni mtu ambaye ameweza kuweka ustaarabu wake kichwani pamoja na kukimbilia kila mahali duniani na ndo maana hata ukienda New York utafikiri upo Jerusalem. History ni ndefu sana ndugu google utawaelewa hawa watu wengine wapo Africa hata Zimbabwe wapo na wana rangi nyeusi kama sisi lakini ni Jews.
Good Enough,Ahsante
 
Wakati wa Vita ya Kwanzaa ya dunia mwaka 1914-1918 wayahudi waliokua wanaishi Ujerumani hawakujiunga na mjerumani ktk iyo Vita.

Wayahudi waliohofia kupambana wakati huo kwani walikua wanadominate biashara mbalimbali, kumsapport ujerumani wakati wa Vita kungeharibu biashara zao.

Finally ujerumani anashindwa ktk Vita... ""ujerumani haijashindwa Vita kwa sababu ya udhaifu bali imeshindwa Vita kwa sababu ya usaliti wa wayahudi. Hitler akatangaza ku deal nao, inasemekana zaidi ya wayahudi million 6 waliuawa.
 
Hakuwaua wala.nini. Russian ndio walikuwa wa kwanza kufika germany wakati wa vita na hawakukuta matanuru na kweny hayo.makambi ya wafungwa walikuta watu wenye afya tele wanafanya kazi za kulima
Mi nnafanya kazi na wa Jews na wengi wao wanatumia volvo na sio BMW sababu vinu vya BMW ndio vilitumika kuwachoma moto.
 
Wale jamaa now wapo.kama 9milioni. So kama hutler aliwaua 6milioni mwaka miaka ya 40+ nadhani wangetakiwa kuisha .....or kwa upande mwingine jamaa hawazaliani kabisa yaaani wameongezeka ileile 6 iliyopotezwa??
Kingine kuwaua na kuwakusanya watu mili 6 na uwaweke kwenye tanuru lazima uweze kuwatofautisha. Kama black n white.
Hivi ukimuangalia netanyau n mama angel.markel au bastian mchezaji wa man u je kuna tofauti kati yao?? Aliwatambuaje hawa jamaa??
Hutler alikuwa katili but nyingine ni chumvi tu za western pipo...hizi za kuua 6mil kwa matunuru ni.kamba na wakakoleza na movie ile ya escape from sobibo basi ikatukaa akilini kuwa ni.kweli
Kama wa China , Korea , Japan na Vietnam wanatambuana, itakuwa Myahudi na Mjerumani !
 
Wale jamaa now wapo.kama 9milioni. So kama hutler aliwaua 6milioni mwaka miaka ya 40+ nadhani wangetakiwa kuisha .....or kwa upande mwingine jamaa hawazaliani kabisa yaaani wameongezeka ileile 6 iliyopotezwa??
Kingine kuwaua na kuwakusanya watu mili 6 na uwaweke kwenye tanuru lazima uweze kuwatofautisha. Kama black n white.
Hivi ukimuangalia netanyau n mama angel.markel au bastian mchezaji wa man u je kuna tofauti kati yao?? Aliwatambuaje hawa jamaa??
Hutler alikuwa katili but nyingine ni chumvi tu za western pipo...hizi za kuua 6mil kwa matunuru ni.kamba na wakakoleza na movie ile ya escape from sobibo basi ikatukaa akilini kuwa ni.kweli

na hiyo gharama na space ya kuwaua watu 6 m ilitoka wapi
 
Wandugu,mwenye historia fupi ya huyu Hitler kwa nini aliwakata Waisrael,na Kule walienda wakitokea wapi, na Hitler akawafanyia vibaya na huenda hii ndio sababu hata Mungu akawabariki,usithubutu kumchokoza Netanyahu yule kiongozi wao yeye hata ajari kama kuna UN akiamua kupiga sehemu ni lazima apige tu au anakumbuka maumivu ya kizazi chake?
Hitler alitaka kuimaliza kabisa hii jamii ya kiyahudi katika Europe ns unauliza kwa nini? Angalia USA sasa hivi ilivyo anaendesha nchi ni myahudi wakiingia nchini mwako wanakutawala bila kujijua
 
Wakati wa Vita ya Kwanzaa ya dunia mwaka 1914-1918 wayahudi waliokua wanaishi Ujerumani hawakujiunga na mjerumani ktk iyo Vita.

Wayahudi waliohofia kupambana wakati huo kwani walikua wanadominate biashara mbalimbali, kumsapport ujerumani wakati wa Vita kungeharibu biashara zao.

Finally ujerumani anashindwa ktk Vita... ""ujerumani haijashindwa Vita kwa sababu ya udhaifu bali imeshindwa Vita kwa sababu ya usaliti wa wayahudi. Hitler akatangaza ku deal nao, inasemekana zaidi ya wayahudi million 6 waliuawa.
Daaaa.wonderful million 6
 
Wandugu,mwenye historia fupi ya huyu Hitler kwa nini aliwakata Waisrael,na Kule walienda wakitokea wapi, na Hitler akawafanyia vibaya na huenda hii ndio sababu hata Mungu akawabariki,usithubutu kumchokoza Netanyahu yule kiongozi wao yeye hata ajari kama kuna UN akiamua kupiga sehemu ni lazima apige tu au anakumbuka maumivu ya kizazi chake?
Ni kwa sababu Hitler alidhhani kila shida zake zimetokana na uwepo wa wayahudi.Yaani aliona wivu kwamba jamaa wanafanikiwa badala ya kujifunza kwao akaona ni bora wafe na yeye atakuwa kama wao.Nisichojua ni kama alifanikiwa au vipi.
 
Ujerumani baada ya vita ya kwanza, uchumi ulidorora lakini wayahudi sababu walikuwa hawaruhusiwi kumiliki ardhi lakini waliweza kuwa na interectural career pamoja na kujiajiri walikuwa wanafanya vizuri kwenye kuuza madini, picha za kuchora na innovations nyingi. Wayahudi wengi ndo walikuwa wasomi wazuri mfano Einstein na wengine wengi hivyo Ingawa Hitler hakuwa mjerumani alikuwa mtu wa Austria aliweza kupata upenyo na kuweza kushinda na chama chake. Hitler alitaka kila mtu amchukie myahudi sababu siyo Caucasian na siyo Aryan yaani watu wenye rangi nyeupe, macho ya blue na nywele blonde ndo wateule waliokuwa wamechaguliwa na Hitler kuwa watatawala ulimwengu. Ndo maana kwenye olyimpic ya 1938? kuna mmarekani alishinda gold medal 4 lakini huyu bwana alikataa kumshika mkono na US ilitishiwa sana sababu ya kuwa na wanegro na wayahudi kwenye timu.
Wayahudi wamekuwa wakimbizi wa kwanza duniani kabla ya kristo ndo maana ukisoma agano la kale unaona Joseph alivyolelewa Misri na vizazi vya wayahudi walivyotoroka toka misri Exodus. Ulaya nzima imejaa mazila ya wayahudi waliokimbia utumwa wa warumi, waarabu na baadaye mauaji ya kimbali ya manazi. Myahudi ni mtu ambaye ameweza kuweka ustaarabu wake kichwani pamoja na kukimbilia kila mahali duniani na ndo maana hata ukienda New York utafikiri upo Jerusalem. History ni ndefu sana ndugu google utawaelewa hawa watu wengine wapo Africa hata Zimbabwe wapo na wana rangi nyeusi kama sisi lakini ni Jews.
Good, umeeleza vizuri
 
Back
Top Bottom