Shuleless
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 4,957
- 6,221
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaNgoja ni concentrate kwanza,kumbe Wall Street ni ya muda!!
Kafiri bashawako kenge wwLoooh !! kumbe wadhungu WaGerumani na maKafiri ndiyo waliwachoma wenzao...
kunbe siyo waarabu??????? Lakini wakabadilisha kibao...eenh!!
Upo sahihi mkuuWaisrael halisi ni watu weusi haya yakina Netanyau ni mazungu tu yalioamua kuifuta historia Mu-Israel halisi.
Unaharufu ya udini bilashaka wewe ni alshababuLoooh !! kumbe wadhungu WaGerumani na maKafiri ndiyo waliwachoma wenzao...
kunbe siyo waarabu??????? Lakini wakabadilisha kibao...eenh!!
Nitakupa na wapi unaweza soma history yote. Kungekuwa na library Tz zipo up to date ningekwambia uende wapi. Mimi nilianza kusoma haya mambo toka nipo Primary in sixtees. shule niliyosoma ilikuwa na lib nikawa interested kusoma nilijifunza mengi kuhusu Holocaust na mateso ya manazi. Shule ilikuwa inaendeshwa na waholanzi. Sisemi wapi.My email emma.mhecha@yahoo.com au. emheche@vodacom.co.tz
Nipe Historia yao hawa Jamaa nawakubali sana.
Samahani mimi nimemjibu mtoa hoja na naongelea kutokana na historia haya unayoyaongelea wewe ni yako. Am not a politician am just a person who love to read history and make research. I have even visited some of the sites of the atrocities where they happened just for completing my curiosity.Hao wayahudi unaowaongelea wewe si hawa akina netanyahu & co
Tafuta kitabu kinaitwa 13th Tribe utajua mchezo mzima.Hiki ni kitu kingine ambacho wengi hatukijui.
Shikamoo mjomba,Nitakupa na wapi unaweza soma history yote. Kungekuwa na library Tz zipo up to date ningekwambia uende wapi. Mimi nilianza kusoma haya mambo toka nipo Primary in sixtees. shule niliyosoma ilikuwa na lib nikawa interested kusoma nilijifunza mengi kuhusu Holocaust na mateso ya manazi. Shule ilikuwa inaendeshwa na waholanzi. Sisemi wapi.
Shikamoo mjomba,bila samahani mjomba ila kwanini ufanye historia ya upande mmoja tu?hauna hata skepticism kidogo?tafuta kitabu 13th tribe uongeze maarifa uishughulishe na akili yako.Samahani mimi nimemjibu mtoa hoja na naongelea kutokana na historia haya unayoyaongelea wewe ni yako. Am not a politician am just a person who love to read history and make research. I have even visited some of the sites of the atrocities where they happened just for completing my curiosity.
Samahani nilikuwa namjibu mleta mada na sikuwa natoa recture hivyo kama wewe unahitaji kuelezea zaidi au kutoa picha ya kwako, hii ni forum na ndiyo uwanja wake. Karibu.Shikamoo mjomba,bila samahani mjomba ila kwanini ufanye historia ya upande mmoja tu?hauna hata skepticism kidogo?tafuta kitabu 13th tribe uongeze maarifa uishughulishe na akili yako.
Hao ndo masheikhe !!Unaharufu ya udini bilashaka wewe ni alshababu
kafiri utabaki...K A F I R IiiiiiKafiri bashawako kenge ww
Tafautisha Israel Na UyahudiWandugu,mwenye historia fupi ya huyu Hitler kwa nini aliwakamata Waisrael,na Kule walienda wakitokea wapi, na Hitler akawafanyia vibaya na huenda hii ndio sababu hata Mungu akawabariki,usithubutu kumchokoza Netanyahu yule kiongozi wao yeye hata ajari kama kuna UN akiamua kupiga sehemu ni lazima apige tu au anakumbuka maumivu ya kizazi chake?
Mmmmmmmmh!!!Tafautisha Israel Na Uyahudi
Uyahudi NI dini.Israel NI nchi.
Wa Israel (nchi) wako Wayahudi,Waislamu,Wakristo Na Wapagani.
Barter System kidogo imtokee Museven....! Alitaka nasikia kubadilishana chakula na madini na watu wa kongo...eh! UNHCR eti nasikia ikamwaga mahindi ya bure ya kufa mtu! Deal likaishia pale (Hii ni Tetesi )
Yaani acha tu mpaka balaaHumu kuna watu wabishi balaaaa....