Kwanini Hitler aliwakamata Waisrael, kuwafunga Sobibor, kuwatesa na kuwaua?

Escape from Sobibor, halafu kuna moja inaitwa Ingluorious Basters (kacheza Brad Pitt), sijui kwanini ilionesha chuki kati ya Germany na Jews.
Hebu nichek hiyo ya brad pitt
 
Hakuna myahudi aliyeuliwa na Hitler,Wayahudi 6m alowatoa wapi kipindi hicho?na kwanza hao wanaojiita wayahudi wote ni Khazars kutokea ulaya mashariki.
 
Hao wayahudi unaowaongelea wewe si hawa akina netanyahu & co
 
Wayahudi wana tabia moja mbaya sana na Hitler aliishtukia. Wana ubinafsi uliovuka mipaka wakihamia kwenye nchi yako watataka wao ndio wawe icons na kutambulika na pia kushika njia zote za siasa ,uchumi na biashara. Mbaya zaidi hawataki kuchanganya jamii yao na jamii iliyowakuta. Hitler akaona isiwe tabu akaanza kuwaua. Na kuwafukuza ujerumani.
 
Aliwauwa kwa sababu aliamini wao ndio walichangia ujerumani kushindwa katika WWI
Na huo ndio ukweli.fikiria Ujerumani inapigana vita Albert Einstein anatorokea na anashirikiana na Marekani kutengeneza nuclear bomb kumsaidia marekani na uingereza kushinda vita. Hapo yeye alizaliwa na kuishi ujerumani na wazazi wake. Ni wanafiki sana Hawa viumbe
 
Tatizo letu kubwa Waafrika ni ushirikina. Jambo tusilolielewa tunaamua ni uchawi au mapenzi ya Mungu. Uki-google maneno kama Jewish Exodus utapata majibu yote. Wayahudi wa kale siyo kitu kimoja na Waisraeli wa sasa. Nguvu za Israel ni utajiri na uthibiti wa nguvu za kifedha/kiuchumi duniani pamoja na kuiteka USA.
 
Ubaguzi wa ujerumani ulichagizwa sana na enzi za vita ya dunia na hii ilisambazwa sana baada ya Hitler kuwaua wayahudi. Lakini amini nakwambia ujerumani ni sawa na mataifa mengine tu yenye baadhi ya watu wenye kuwa na Tabia ya ubaguzi wa rangi. Nyingi ni propaganda zilizoenezwa na maadui wa German. Kama ingekuwa ni hivyo kwa sasa tusingeshuhudia German kuwa kitovu cha kimbilio la wakimbizi kutoka middle east. Zaidi ya nchi yeyote ya Europe.
 
Hakuna myahudi aliyeuliwa na Hitler,Wayahudi 6m alowatoa wapi kipindi hicho?na kwanza hao wanaojiita wayahudi wote ni Khazars kutokea ulaya mashariki.
Hiki ni kitu kingine ambacho wengi hatukijui.
 
Siku zote kumbuka kuwa 'fiction is not reality'. Sinema ni maoni au muono wa mtengenezaji.
 
Hawakutoa ushirikiano katika ww1 so Germany Ikapigwa, Hitler akajiapiza kuwamaliza kwani aliona ni wasaliti wa nchi yake
Ubaguzi dhidi ya Wayahudi Ujerumani na Ulaya ulikuwepo miaka mingi sana kabla ya WW1. Ulikuwepo miaka mingi sana kabla hata ya Hitler kuzaliwa.

Kwa habari zaidi tafuta kitabu kinaitwa
"The Origins of The Final Solution: The Evolution of Nazi Jewish Policy, September 1939 -March 1942". Cha Christopher R. Browning. This is a comprehensive history of the holocaust. Kingine "The Rise and Fall of The Third Reich: A History of Nazi Germany". Cha William L. Shirer.

Every educated person interested in the subject should have the sad pleasure of reading at keast one of the two.

I have read both.
 
Hakuwaua wala.nini. Russian ndio walikuwa wa kwanza kufika germany wakati wa vita na hawakukuta matanuru na kweny hayo.makambi ya wafungwa walikuta watu wenye afya tele wanafanya kazi za kulima
Acha uongo wako. Picha za Awchwitz na makambi mengine zipo kibao. Wayahudi waliuawa ila hiyo takwimu ya milioni 6 kuna watu wanaitilia mashaka. Na utamaduni wa Wayahudi kujinadi kuwa wao ni watu tofauti, taifa teule la Mungu hivyo kustahili kutendewa tofauti na wengine husababisha wao kuchuliwa kila kona. Mpaka sasa kuna sheria za kimataifa ambazo wao hawazitambui na hakuna anayehoji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…