Kwanini hospitali zina mchoro na picha ya nyoka?

Sasa mkuu hizo ni story ndani ya kitabu cha Biblia Tuna uhakika gani kuwa siyo hadithi kama hadithi zingine??? Tuna uhakika UPI wa kuamini yaliyopo ndani ya Biblia ni ukweli na siyo story za kutunga???
 
Kasome kitabu cha Hesabu 21:4-9 juu ya safari ya wana wa Israel.

Muhimbili Hosp wanaitumia sana nembo hiyo.
Siyo mhimbili tu sehem nyingi Sana sasa Tuna uhakika gani na story ya Hes 21:4-9 kuwa siyo story kama story zingine??
 
Siyo nyoka ni mnyoo na hiyo fimbo iliweka ili mnyoo ufuate fimbo. Hayo maelezo niliwahi kuyasikia kutoka kwa daktari wa muhimbili
Mkuu Hayo maelezo ya huyo Dr hukumuuliza sasa mnyoo ukifuata fimbo ndo inakuaje labda
 

Pia kuna miungu ya kiyunani na kigiriki kwenye michoro inaonekana inebeba fimbo zenye nyoka kwa kukujuza zaidi majina ya sayari ni majina ya miungu ya kigiriki upende usipende hata uwe mlokole utaitukuza hii miungu bila kujua
 
Sasa mkuu kama nyoka ni Genius kiasi hicho kwa nini wasitumiwe kutafuta Dawa za magonjwa sugu kama Ukimwi na Saratani??? Yaani nyoka anaambukiwa Ukimwi Then Anakuwa karibu na nyoka wengine na Akikaribia kufa wenzake lazima wataenda pori kutafuta Dawa then wanamfuatilia kimya kimya na kumfanyia surveillance hadi kwenye hiyo dawa watakayomleta mwenzao na tayari Dawa ya Ukimwi inakuwa imepatikana kupitia huo MTU utakaoenda kuchumwa na Nyoka wenzake
 
Pia kuna miungu ya kiyunani na kigiriki kwenye michoro inaonekana inebeba fimbo zenye nyoka kwa kukujuza zaidi majina ya sayari ni majina ya miungu ya kigiriki upende usipende hata uwe mlokole utaitukuza hii miungu bila kujua
Aiseee kumbe tunavyopita hapo getini Tunaabudu hiyo miungu bila kujua???
 
Mtaani kwetu wananikoma aiseee...wananiita mi mtaalam wa kila kitu kumbe nakuja huku nazoa maujanja bureeee then naenda kumwaga mavitu. Jamsn JF idumu milele
Wote tuseme aaameni.
Hahahahahah sawa dk machale
 
mshana jr
uwanja wako
 
Nafikiri kwa maelezo uliyotoa Fimbo ya Asclepius ndo ukweli na uhalisia wa Alama hii ktk sehem zinazotoa Huduma za Afya Ila Historia ya Fimbo na nyoka wa shaba Imeingizwa maksud ili kuwapotosha Wakristo na kuwavuta japo hawamaanishi Hbr za Musa
 
Ile ya muhimbili ni mnyoo (una historia yake na research, kasome) sio nyoka,,

Ila machame hospital nliona wanatumia nyoka na fimbo- hii nahis inahusiana na biblia
Unaweza tupatia hiyo historia ya huo mnyoo wa mhimbili au tukasome wapi kupata habari hiyo??
 
Hakuna ambacho kinawekwa kikakosa maana.. Utajuzwa hivi punde
 
Mtaani kwetu wananikoma aiseee...wananiita mi mtaalam wa kila kitu kumbe nakuja huku nazoa maujanja bureeee then naenda kumwaga mavitu. Jamsn JF idumu milele
Wote tuseme aaameni.
duh!haya bana wasalimie idodi
 
Nyoka ndiye mnyama mwerevu kuliko wote duniani basi hiyo alama itakuwa inamaanisha kuwa hospitali inatumika akili na werevu zaidi kufanya uponyaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…