Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kahama hapo mkuu cyo!!!! [emoji53][emoji53]Habari zenu wana Jamvi.
Nimefuatilia sana hili swala na nimeamua kuomba msaada na majibu,kwa wale wanaoiamini Biblia ktk historia ya Kuumbwa kwa Adamu na HAWA kiumbe huyu Nyoka ndiye aliyetumiwa na shetani kumdanganya HAWA na baadae Adamu na hivyo wakaingia ktk Dhambi na Mungu akaweka Uadui kati ya uzao wa Nyoka na mwanadamu hivyo Nyoka ni Adui wa mwanadamu, Sasa Hospitals na sehemu zingine za kutolea Huduma za Afya ni sehemu tunazokuwa na matumaini ya kupata uponyaji.sasa kwa nini kuna hii picha au mchoro wa huyu kiumbe Nyoka?? Nani mwanzilishi wa Nembo hii ya nyoka na ilianza kutumiwa wapi na maana halisi ya nembo ya kiumbe huyu ni nini?
Naombeni majibu na ufafanuzi AhsanteniView attachment 501467
Wao wanakuona mjanja, wewe binafsi unajionaje? Fara?Mtaani kwetu wananikoma aiseee...wananiita mi mtaalam wa kila kitu kumbe nakuja huku nazoa maujanja bureeee then naenda kumwaga mavitu. Jamsn JF idumu milele
Wote tuseme aaameni.
Uko vizuri sana na upo sahihi hapo kahama hospitalkahama hapo mkuu cyo!!!! [emoji53][emoji53]
Nyoka huwa haumwi kivipi?? Ulimaanisha kuugua au kuumwa kupi mbona huwa anaumwa na Siafu??fafanua kiswahili kipanaNyoka huwa haumwi ndio maana anawakilisha uponyaji.
Akikujibu nami unistue aiseeeeWao wanakuona mjanja, wewe binafsi unajionaje? Fara?
Ulipaswa ujazie kidogo ili utufumbue na wengineInaitwa alama ya nyoka wa utabibu.
Duhhhhhh hii KaliIli msipende kwenda hospital
Hiyo mpya me pia nimemnyoshea mikonoMmmmh hii nimeitoa kwako, aiseee umetisha.
Ahsante sana mkuu kwa kweli Freemasons basi ni ngumu kuwakwepa na tunaabudu wakati mwingine bila kujua ila huyo nyoka wa kwenye noti zetu sijui anamaanisha nini wanaweza tudanganya ni maliAsili haaaa,haaaaHiyo inaitwa the stuff of wisdom miungu ya kale kama hermes anaonekana akiwa ameishika hii fimbo.
Hii ni miongoni mwa symbol ambazo tunaziita allegories.Hizi alama huwa ziko on plain sight lakini kuna truths behind them. Kuna nadharia zinafichwa behind hizi allegories.
Mysteries au secret societies kama freemasonry huwa hutumia hizi allegories kukufumba usiye mason usijue falsafa zao hivo hizi ni symbolic philosophy.
In reality hii symbol ya fimbo iliyokuwa coiled na snake imekuwa originated from ancient mysyeries.
Ukisoma kuhusu mystery religions especially greek mystery rekigions unaweza kupata mwanga.
Hiyo alama pia ipo kwenye noti yetu ya shilingi 500
Mkuu vipi we mwenyeji wa Kahama?? Mimi nimetupia tuYaani muanzisha mada ametupia picha ya hospital ya mji wa Kahama
Sijui kwan wewe unanionaje?Wao wanakuona mjanja, wewe binafsi unajionaje? Fara?
Nmeshamjibu,vpi kakustua?Akikujibu nami unistue aiseeee
Mnyoo=worm√Ile sio picha ya Nyoka, Bali ni picha ya mnyoo worms .
Ile ni Alama ambayo ukiwatafuta waJuvi wa mambo watakwambia maana yake. Sh 500/= ya noti ina Alama kama hiyo. Je Jero inatumika katika mambo ya Uponyaji?Habari zenu wana Jamvi.
Nimefuatilia sana hili swala na nimeamua kuomba msaada na majibu,kwa wale wanaoiamini Biblia ktk historia ya Kuumbwa kwa Adamu na HAWA kiumbe huyu Nyoka ndiye aliyetumiwa na shetani kumdanganya HAWA na baadae Adamu na hivyo wakaingia ktk Dhambi na Mungu akaweka Uadui kati ya uzao wa Nyoka na mwanadamu hivyo Nyoka ni Adui wa mwanadamu, Sasa Hospitals na sehemu zingine za kutolea Huduma za Afya ni sehemu tunazokuwa na matumaini ya kupata uponyaji.sasa kwa nini kuna hii picha au mchoro wa huyu kiumbe Nyoka?? Nani mwanzilishi wa Nembo hii ya nyoka na ilianza kutumiwa wapi na maana halisi ya nembo ya kiumbe huyu ni nini?
Naombeni majibu na ufafanuzi AhsanteniView attachment 501467