kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Nipitaga tu kwenye barizi zangu Mara moja moja kumechangamkaMkuu vipi we mwenyeji wa Kahama?? Mimi nimetupia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipitaga tu kwenye barizi zangu Mara moja moja kumechangamkaMkuu vipi we mwenyeji wa Kahama?? Mimi nimetupia tu
Christian mysteries were probably borrowed from the fragments of the mystery religionsThe image of serpents wrapped around a staff is a familiar one in the medical field, decorating
pharmaceutical packaging and hospitals alike. Snakes bites are generally bad news, and so the animal might seem ill-fitting as the symbol of the medical profession, but the ancient emblem actually has a quite a story behind........
Hapo pagumu sasaNYOKA NI NEMBO YA ASILI YA ANGUKO LA BINADAMU connect the dots
Fuatilia hii link:Nyoka huyu ni tishio kwa binadamu na viumbe vingine, lakin nyoka huyuhyu kuna baadhi ya taasisi humtumia kama logo yake, kuna siri gani hapa nyuma yakeView attachment 1003739View attachment 1003742
Sent using Jamii Forums mobile app
Link hii ina shida. Ila tafuta Masquerading sorcery: Satan secret trap ndani ya hiyo website utaelewa zaidi
1.Biblia inaelezea juu ya nyoka wa shaba ambapo wana Wa Israeli walipoumwa na nyoka jangwani walielekezwa kumwangalia nyoka wa SHABA iliyekuwa amewekwa juu ya mti na walipona pale walipoumwa. Hospitali , mashirilka hayo yameiga mfano huo na kutumia alama hiyo kama ishara ya uponyaji.Nyoka juu ya mti tafsiri zake ni nyingi,wapo wanaosema ni alama ya maarifa wengine wanasema ni alama ya ushetani,lakini maana halisi ya hij alama ni alama ya umeme,nguvu chanya ya mwanaume,inasemekana nguvu za mwaume uwa zinatembea mwilini Kama nyoka,wanaita Kundalini sexual energy na Pia umeme unapokuwa unatembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine hutembea mithili ya nyoka! Sasa imetumikaje kwenye mambo ya Medicine nk sijui ila inahisiwa kuwa umeme unaweza ukatumika kujenga au kuangamiza kwamba sekta ya masuala ya kitabibu inatakiwa isaidie watu ingawa ikitumika vibaya inaweza angamiza
But all in all hizi ni moja ya alama za Siri Sana zinazojulikana na aina Fulani za watu mm nilizipata kwenye kitabu kinaitwa Numerology,secret meaning of numbers and symbols
Sent using Jamii Forums mobile app
Alama ya nyoka aliejikunja kwenye kijiti ni alama rasimi ya taaluma ya tiba na huduma toka enzi za Hippocrates, ni alama inayotumika dunian kote ktk hospital, vyuo na vitabu vyote vya tiba ktk mataifa yote, dini zote na kabila zote...
Sasa mbn Freemasons wao wanatafsiri tofauti juu ya nyoka ?Freemanson