Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Wakuu nimejaribu kufuatilia huko mambele nimegundua wasomi wakubwa hawajitokezi sana directly kupambania madaraka kama huku kwetu gizani Africa. Huko kwa mabeberu wasomi wakubwa wako huru sana (autonomy) kutoa ushauri hata kukosoa huku kwetu wasomi wanatoka jalalani wengine ni chawa promax.
Mfumuko wa bei uko juu, wasomi wapo tu hatuoni maandiko yao wala juhudi zao kulisaidia taifa. Vitu vingi vimepanda bei kuanzia chakula mpaka vifaa vya ujenzi lakini tuna wasomi wa phd ambao ni political decision makers wapo tu.
Ni muda sasa wasomi kuachana na siasa wajikite kwenye utaalamu wao kulisaidia taifa badala ya kulamba ubuyu na kuashia kumtukuza mfalme huku ndugu zao wakiteseka na kuzika ndoto zao.
Mfumuko wa bei uko juu, wasomi wapo tu hatuoni maandiko yao wala juhudi zao kulisaidia taifa. Vitu vingi vimepanda bei kuanzia chakula mpaka vifaa vya ujenzi lakini tuna wasomi wa phd ambao ni political decision makers wapo tu.
Ni muda sasa wasomi kuachana na siasa wajikite kwenye utaalamu wao kulisaidia taifa badala ya kulamba ubuyu na kuashia kumtukuza mfalme huku ndugu zao wakiteseka na kuzika ndoto zao.